Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inamaana pikipiki mbili zimehusika kwenye ajali?Aisee maisha ni mafupi nimepita bwawani -moro mida hii ya saa 1 jioni kuna bodaboda wawili wamekanyagwa vibaya sana na lorry , kiufupi wamekufa , yaani vichwa havieleweki
Msinidai picha nimeshindwa kupiga
Mhhhh!!! Sasa mbususu ndio zinasababisha ajali? Hiyo si ni sawa na tunavyokula mkate au chungwa?Na tutakufa kweli....Mungu adhihakiwi.Tumrudie Muumba wajamen...kilasiku mbususu mbususu utadhani ndo zimerushwa Leo dunian
Haina shida,mi nimeandika nimemaliza mkuu...maasi yamezidi mnoMhhhh!!! Sasa mbususu ndio zinasababisha ajali? Hiyo si ni sawa na tunavyokula mkate au chungwa?
Unaweza kukuta bodaboda walikuwa wanaenda kula tunda kimasiharaNa tutakufa kweli....Mungu adhihakiwi.Tumrudie Muumba wajamen...kilasiku mbususu mbususu utadhani ndo zimerushwa Leo dunian
We tulia tu,mambo yote yatapita lakini neno litasimamaUnaweza kukuta bodaboda walikuwa wanaenda kula tunda kimasihara
TrueWe tulia tu,mambo yote yatapita lakini neno litasimama
Leo Roho mtakatifu yupo katika ubora wake kwako nin?We tulia tu,mambo yote yatapita lakini neno litasimama
Watu hawaoani ila wanachakatana tu mkuu.....kama limeruhusiwa hilo bas ni halali mkeo kuliwa na mleta mkaa na houseboy,bodaboda piaLeo Roho mtakatifu yupo katika ubora wake kwako nin?
But Neno hilo hilo linasema "zaeni muongezeke mkaijaze dunia" , sasa watazaaje pasipo mbususu kuchakatwa?