GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Hapo Mwenge (DSM) kuna mmoja amekoswakoswa na daladala niliyokuwa nimepanda.
Nimetoka huko nakaribia mtaani kwangu kuna bodaboda mmoja kanikosakosa.
Yuko speed kali kwenye kona halafu kuna watu wamesimama barabarani.
Bodaboda wapuuzi sana.
Nimetoka huko nakaribia mtaani kwangu kuna bodaboda mmoja kanikosakosa.
Yuko speed kali kwenye kona halafu kuna watu wamesimama barabarani.
Bodaboda wapuuzi sana.