Morogoro: Bodaboda wawili wafariki dunia kwa kugongwa na Lori

Morogoro: Bodaboda wawili wafariki dunia kwa kugongwa na Lori

Mwezi jana kupita Kibaigwa usiku nilikuta gari zimesimama na mimi nikaenda kushuhudia.

nikakuta vidume viko bize kumchomoa dereva wa boda na boda yake kanasia katikati ya akseli za nyuma ya tela.
boda waliowengi hawazingatii kabisa usalama kwasababu hawapatiwi mafunzo ya udereva.
Mafunzo yanatolewa na polisi tena bure ila hawaendi kujifunza!!

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Mafunzo yanatolewa na polisi tena bure ila hawaendi kujifunza!!

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
ndio mwaka juzi niliona gari ya polisi inatangaza mafunzo ya bodaboda Veta tena sio kutwa nzima ni kwa muda mchache tu, lakini hulka yetu inajulikana atupendi kujifunza au kujiendeleza.
 
Boda boda haziruhusiwi kutumia highways, hii ni sheria isipokua politicians wanaangalia kura tu, ukubwa wa pikipiki hizi ni mdogo kuruhusiwa kutumia freeways, pia hawavai hermits za kujikinga na ajali ,ondoa bodaboda zote kwenye barabara kuu,Mbeya kwenye ile T1 ndio uchafu zaidi maana kuna bajaji ndani ya highway kibao
Sheria zote wanasihasa wamezikanyaga
 
Bodaboda ni laana kwa taifa. Hawa watu...sijui wamelogwa?
Hata kama unatembea kwa miguu sehemu sahihi, bodaboda wanakufuata kama wanataka kukugonga. Mfyuuuuuu
boda akikufuata huko na wewe ni demu ujue kafagilia tako
 
Jamaani em tuwe serious kuhusu member mwenzetu mmoja anaitwa mzabzab ,
Wote tunajua anavopenda mbususu na udereva wake wa boda boda. Sasa kwa alieko karibu nae amshtue tujue kama yuko hai. Maana haya mambo ya fake ID, unaeza kuta mtu kalala yoo watu hawajui
dah nashukuru mwana kwa kunijali. mie nashukuru mzima kabisa nipo hapa nyumbani lounge nasubiria warembo tuu
 
boda boda ni janga na tukisema humu JF mod anafuta ila ukweli utabaki ni ukweli.
wengi elimu ya pikipiki awana alafu wana kasoro ya kuona wanaonewa pia ni wajuawaji wa kuendesha.

wanachuki na wenye magari wakikosea au kukosewa na uchukua maamuzi ya kuua watu au kuchoma gari.

Wanajua kuteteana na wakifanya kosa mbele yao utawaona wakitoa msaada ila wakifanyiwa wao au kufanya kwenye magari kosa wanaungana.

Hivi vyombo visipo undwa sheria kali tutakuwa na taifa la walemavu wasio kuzaliwa na ulemavu,wajane,yatima,nguvu kazi na n.k

Leo ukisema ufanye gafla kukagua leseni na makosa ndani ya lisaa unaweza kukamata pikipiki 1500 kwa kushtukisa
 
Wafee tu
Wameua dadayangu majuzi hawana adabuu....
Aisee maisha ni mafupi nimepita Bwawani -Moro mida hii ya saa 1 jioni kuna bodaboda wawili wamekanyagwa vibaya sana na lorry , kiufupi wamekufa , yaani vichwa havieleweki

Msinidai picha nimeshindwa kupiga
 
Bodaboda nyingi zinamilikiwa na walimu wananunua kwa biashara ya mkataba. Hawa wajinga acha wamalizike tu.
 
Back
Top Bottom