168cmUrefu wako ni ft ngapi
Kwa kweli safari njema πππEeeh mashosti zangu wote wewe na Tayana-wog mmenigomea Bora niombe ushost na Depal maana naona katika hili yupo tayariπ€£π€£π€£
Kuna siku ntakuja niliwe na mamba π€£π€£π€£Ila wewe nae Kwa kuoga kwenye vimito haujambooo,,π€£π€£π€£
Asante shooPoleee jmn shooπ
π€£π€£π€£π€£Au kibokoKuna siku ntakuja niliwe na mamba π€£π€£π€£
Tungeenda nae Ili mfike vizuri kileleni kabisaaKwa kweli safari njema πππ
Kilele cha mlimani ntapandishwa na bwana Kantry
π€£π€£π€£ Kaniambia atanipeleka Mafia island nikaogelee na papa πTungeenda nae Ili mfike vizuri kileleni kabisaa
Yaani litanikuta jambo zito iko siku ππππ€£π€£π€£π€£Au kiboko
π€£π€£Kuna Moja Hilo kubwaa wanaliita papa potwe Angalia usije geuka kitoweoπ€£π€£π€£ Kaniambia atanipeleka Mafia island nikaogelee na papa π
Ndo hilo hilo nataka nikacheze nalo ππππ€£π€£Kuna Moja Hilo kubwaa wanaliita papa potwe Angalia usije geuka kitoweo
Jamani mi sitaki taarifa mbaya mwisho wa mwaka huuπππBora tukateleze uluguruniNdo hilo hilo nataka nikacheze nalo πππ
ππππ Tutajua huko hukoJamani mi sitaki taarifa mbaya mwisho wa mwaka huuπππBora tukateleze uluguruni
π€£π€£π€£π€£π€£Haya mi mnipe ofa ya kuwasubiri Kizimkazi,boss wangu hashindwi na jamboππππ Tutajua huko huko
Wewe si unaenda kupanda vilima vya choma? π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Haya mi mnipe ofa ya kuwasubiri Kizimkazi,boss wangu hashindwi na jambo
Huko mbali ..kuna Materuni hapo kilimanjaro karibu tu.. tukuje Mwl halafu ndo tujue huko kwingine.. Panatazamika kishenziPlan Master usije πππ
Yan mwal utaenda, utake usitake.. lazima nikubebe tukapate quality time huko njee mbali na kelele za mjini.
Kwa huo uzito ukishindwa wale jamaa wanakubeba bila shida π€£π€£π€£π€£π€£Nina 72tu kg.
Sasa mabosi mkisafiri si lazima na Mimi niwasindikize,au hamuoni mwenzenu Mond vyenye anasafiri anafanyajeπππ?Wewe si unaenda kupanda vilima vya choma? π€£π€£π€£π€£
Mi nitaomba unibebe wewe π πKwa huo uzito ukishindwa wale jamaa wanakubeba bila shida π€£
Nakwambia twende Mafia tukale samaki za kuchoma, we umekomalia kwenda kupanda vilima!! Mwisho uote vigimbi π€£π€£π€£Sasa mabosi mkisafiri si lazima na Mimi niwasindikize,au hamuoni mwenzenu Mond vyenye anasafiri anafanyajeπππ?