Morogoro: Dereva bodaboda auawa, atobolewa macho

Morogoro: Dereva bodaboda auawa, atobolewa macho

Mwanaume ndiye mtu mwenye akili timamu tangu Dunia inaumbwa


Mwanamke ni kiumbe dhaifu sana licha ya wadhifa na cheo kikubwa alichonacho bado ukimuimbisha vizuri unapiga.

Licha ya kupewa Kila kitu bado mwanamke anaweza kutembea na bonge la fala yaani ili mradi lijue kutongoza.

Mwanamke hajui anataka nini,
Mwanaume nitakaye msamehe ni yule atakayetembea na mke wangu bila kujua

Lakini Kuna vidume wanakujua wanamleta hadi kwako mkeo Kisha anakucheka na kukutangazia, lengo akuvue utu weeeeeeeeeeeeee
Huyu mwanamke unayezungumzia anapatikana mtaani kwenu tu au pengine kwenye jamii unayoishi tu. Mimi kwenye maisha nimeona wanawake wenye msimamo na hawako kama unavyotaka kuniaminisha. Upande mwingine wa shilingi: Je wewe ni wale wenye mawazo kuwa mwanamme ni lazima achepuke na mwanamke akichepuka basi ni kiumbe dhaifu? Wewe ni wale wanaume wanadhani ukimtimizia mke wako mahitaji yake yote na familia unaitimizia kila kitu basi una uhuru wa kuchepuka mara moja moja ila mwanamke ni marufuku?
 
Heh!!
Inakuwa personal tena ..
Sometimes comment tunazotoa hapa j.f huenda ni maumivu Fulani ndani ya moyo yaliyowahi kumkumba mtu.. kwa mfano uliposema kwamba bodaboda huyo kilichompata ni matokeo ya kutembea na mke wa mtu , Mimi kwa upande wangu nikawaza labda nawe ni mhanga wa hao bodaboda na visa vya kutembea na wake za watu. What if huyo bodaboda kilichomkuta ni visasi ambavyo havihusiani na mapenzi? au labda wahuni walifanya hivyo kwa lengo la kumpora bike?
 
Sometimes comment tunazotoa hapa j.f huenda ni maumivu Fulani ndani ya moyo yaliyowahi kumkumba mtu.. kwa mfano uliposema kwamba bodaboda huyo kilichompata ni matokeo ya kutembea na mke wa mtu , Mimi kwa upande wangu nikawaza labda nawe ni mhanga wa hao bodaboda na visa vya kutembea na wake za watu. What if huyo bodaboda kilichomkuta ni visasi ambavyo havihusiani na mapenzi? au labda wahuni walifanya hivyo kwa lengo la kumpora bike?
Weweee...
🤣🤣..

Kuwa uyaone.
 
Hayo mauwaji hayana usiano na mapenzi,ni unyanganyi, ingekua kisasi chombo kisingechukuliwa, atakae kutwa na chombo ataliwa kichwa na Mahakama!!
Watu huchukua chombo ionekane ni wizi wa kawaida
 
wake za watu sumu, unamuona mke wa mtu ana tako kanga kujifunga haitoshi unadhani katoka nalo kwao hilo, ni matunzo GHALI sasa ww na tvs yako ukajiona henisamu boi😂.

Wenda hausiki na haya, poleni wafiwa
 
Hakuna ukweli wowote kuhusu kiini cha macho kutunza picha. Ila wauaji wengi wa Bongo ndivyo wanavyoamini ndiyo maana wanatoboa macho wanapooua.
Kamsome Willy Kuhne kuhusu optograms

Halafu kuna rekodi ya mwaka 1857 iliyoripotiwa nchini London kuonesha kufanikiwa kupata image ya muuaji kupitia retina ya jicho.

Pia kuna mwana physiologist anaitwa Franz Boll huyu ndio aliyegundua biochemical mechanism inayofanya hicho kitu kiwezekane.

Pia nakubaliana na wewe kuwa vipo vyanzo ambavyo vimepinga haya madai
 
.

Mwenyekiti wa Mtaa wa Kilongo B Paul Laurence amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema kwa sasa wanaanza msako kuwatafuta Vijana wote ambao wanakaa vijiweni na kuvuta bangi ili waweze kuchukuliwa hatua kwani huenda ikawa sababu ya matukio kama hayo kutokea katika Mtaa wake.

Chanzo: Millard Ayo
Khaaaaaaa khumamaeee kweli ,hizi ni akili au matope
 
Nilijua tu lazima watu watahusianisha na mambo ya mapenzi yaan akili zetu wa bongo zinawaza mapenzi tu, mtu akijirusha ghorofani mapenzi, mtu akijinyonga mapenzi, mtu akijipiga risasi mapenzi , mtu akiuliwa mapenzi
yaan kila kitu huwa tunahitimisha kwa jibu la mapenzi bila kuwa na taarifa kamili

Hakuna anaewaza labda katobolewa macho akiwa anajaribiwa kuporwa pikipik au labda mambo mengine
 
Nilijua tu lazima watu watahusianisha na mambo ya mapenzi yaan akili zetu wa bongo zinawaza mapenzi tu, mtu akijirusha ghorofani mapenzi, mtu akijinyonga mapenzi, mtu akijipiga risasi mapenzi , mtu akiuliwa mapenzi
yaan kila kitu huwa tunahitimisha kwa jibu la mapenzi bila kuwa na taarifa kamili

Hakuna anaewaza labda katobolewa macho akiwa anajaribiwa kuporwa pikipik au labda mambo mengine
😅😅😅 Mke wa mtu ni sumu yakhee
 
Back
Top Bottom