Kuambatanisha picha maana yake unapokabidhi form zako unawapa na picha zako, hujaambiwa ubandike kwenye form. unaweza hata ukazibana na pini kwenye Bahasha ndogo.Ukisoma vizuri maelekezo ya ujazaji form no.4 wameainisha kabisa..picha 4 ziambatanishwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Alifanya hvyo?Kuambatanisha picha maana yake unapokabidhi form zako unawapa na picha zako, hujaambiwa ubandike kwenye form. unaweza hata ukazibana na pini kwenye Bahasha ndogo.
Ukisoma vizuri maelekezo ya ujazaji form no.4 wameainisha kabisa..picha 4 ziambatanishwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka anakua disqualified means hata hakuambatanisha..achilia mbali kubandika..Picha ziambatanishwe na siyo zibandikwe kwenye fomu.
Abood Kama alibandika ni kosa.
Minja apite bila kupingwa.
Inawezekana kabisa kuwa amewasilisha form zote 4 pamoja na picha 4 kama kifungu cha 4 kinavyosema. Inawezekana kabisa kuwa hizo picha hakuzibandika, kwani kipengele hicho hakisemi kuwa hizo picha zibandikwe.Wakati tunalaumu Tume ya Uchaguzi kuna makosa ambayo yanaepukika kama hili la Devota Minja ni makosa ya Kitoto yanayofanywa na aliyekua Mbunge.
CHADEMA mchunguzeni huyu kuna viashiria vya Rushwa iliyopelekea kujaza Form hovyo pasipo kuambatanisha viambatanisho muhimu kama Picha.
Unaenda Kugombea Nafasi kubwa kama hiyo lakini Form yako hata kuikagua unashindwa?
Picha za Form zimeambatanishwa hapa chini kwa marejeo.
View attachment 1547771View attachment 1547772
Hata Magufuli hakubandika picha, ndio maana watu wanamla kichwa. Mkimwaga ugali wenzenu wanamwaga mboga
Hata bwana yule hajaweka picha zakeWakati tunalaumu Tume ya Uchaguzi kuna makosa ambayo yanaepukika kama hili la Devota Minja ni makosa ya Kitoto yanayofanywa na aliyekua Mbunge.
CHADEMA mchunguzeni huyu kuna viashiria vya Rushwa iliyopelekea kujaza Form hovyo pasipo kuambatanisha viambatanisho muhimu kama Picha.
Unaenda Kugombea Nafasi kubwa kama hiyo lakini Form yako hata kuikagua unashindwa?
Picha za Form zimeambatanishwa hapa chini kwa marejeo.
View attachment 1547771View attachment 1547772
Mbona sehemu ya kuweka picha haipo. Kila mmoja anaweza amua kuweka au kutoiwekaWakati tunalaumu Tume ya Uchaguzi kuna makosa ambayo yanaepukika kama hili la Devota Minja ni makosa ya Kitoto yanayofanywa na aliyekua Mbunge.
CHADEMA mchunguzeni huyu kuna viashiria vya Rushwa iliyopelekea kujaza Form hovyo pasipo kuambatanisha viambatanisho muhimu kama Picha.
Unaenda Kugombea Nafasi kubwa kama hiyo lakini Form yako hata kuikagua unashindwa?
Picha za Form zimeambatanishwa hapa chini kwa marejeo.
View attachment 1547771View attachment 1547772
Yule Malaya kauza jimbo aache UPUMBAVU.Kuna wakati nasi wapinzani tuwe makini na watu wetu.
Huenda amehongeka huyu kwa Aboud kumpatia miburungutu. Atawezaje kusahau picha?