Uchaguzi 2020 Morogoro: Devotha Minja amewasilisha fomu bila picha kitendo kinachomnyima sifa ya kuwa Mgombea

Uchaguzi 2020 Morogoro: Devotha Minja amewasilisha fomu bila picha kitendo kinachomnyima sifa ya kuwa Mgombea

Picha ziambatanishwe na siyo zibandikwe kwenye fomu.

Abood Kama alibandika ni kosa.

Minja apite bila kupingwa.
Mpaka anakua disqualified means hata hakuambatanisha..achilia mbali kubandika..
Hakuweka picha kabisa.
 
Kwa Devotha mzoefu kusahau picha hainiingii akilini labda kama kavuta "FUNGU" ajitoe kama Nassari alivyofanya Kimya Kimya.
 
Wakati tunalaumu Tume ya Uchaguzi kuna makosa ambayo yanaepukika kama hili la Devota Minja ni makosa ya Kitoto yanayofanywa na aliyekua Mbunge.

CHADEMA mchunguzeni huyu kuna viashiria vya Rushwa iliyopelekea kujaza Form hovyo pasipo kuambatanisha viambatanisho muhimu kama Picha.

Unaenda Kugombea Nafasi kubwa kama hiyo lakini Form yako hata kuikagua unashindwa?

Picha za Form zimeambatanishwa hapa chini kwa marejeo.

View attachment 1547771View attachment 1547772
Inawezekana kabisa kuwa amewasilisha form zote 4 pamoja na picha 4 kama kifungu cha 4 kinavyosema. Inawezekana kabisa kuwa hizo picha hakuzibandika, kwani kipengele hicho hakisemi kuwa hizo picha zibandikwe.
 
Wakati tunalaumu Tume ya Uchaguzi kuna makosa ambayo yanaepukika kama hili la Devota Minja ni makosa ya Kitoto yanayofanywa na aliyekua Mbunge.

CHADEMA mchunguzeni huyu kuna viashiria vya Rushwa iliyopelekea kujaza Form hovyo pasipo kuambatanisha viambatanisho muhimu kama Picha.

Unaenda Kugombea Nafasi kubwa kama hiyo lakini Form yako hata kuikagua unashindwa?

Picha za Form zimeambatanishwa hapa chini kwa marejeo.

View attachment 1547771View attachment 1547772
Hata bwana yule hajaweka picha zake
 
Sasa anaepokea fomu alipokeaje hajaona picha....fukuzaa kazii hao mabwege wanaoshindwaa ata kuangalia picha wakati kuna vijana mtaani tupo tunaona mpakaa keshoo mamaye
 
Wakati tunalaumu Tume ya Uchaguzi kuna makosa ambayo yanaepukika kama hili la Devota Minja ni makosa ya Kitoto yanayofanywa na aliyekua Mbunge.

CHADEMA mchunguzeni huyu kuna viashiria vya Rushwa iliyopelekea kujaza Form hovyo pasipo kuambatanisha viambatanisho muhimu kama Picha.

Unaenda Kugombea Nafasi kubwa kama hiyo lakini Form yako hata kuikagua unashindwa?

Picha za Form zimeambatanishwa hapa chini kwa marejeo.

View attachment 1547771View attachment 1547772
Mbona sehemu ya kuweka picha haipo. Kila mmoja anaweza amua kuweka au kutoiweka
 
Wasimamizi wa uchaguzi hawatakiwi kufanya kazi Kama robot.Kosa la kusahau picha Ni kwa Nini mgombea asiruhusiwe kuziwazilisha Hata baada ya kuzisahau? Mambo mengine Ni ukosefu tu wa kutumia busara.Sio kosa linalomzuia Mbunge Bora kugombea ubunge.
 
Vyama vyote wanatakiwa wawe na watu maalum wa kukagua forms kama zimekamilika. Ni upuuzi kuwekeza uanachama kwa mapenzi mema kwenye vyama vyenu tukidhani mnajielewa kumbe mapunguwani tu . Imagine kikundi cha watu kinamsindikiza kurejesha form na kelele na shangwe kumbe hajakamilisha vipengele muhimu

Mtu kama huyu ni hata kubeba form ya mkopo wa kikoba chake huko mtaani akaacha kubeba form ya kugombea jimbo . Upuuzi huu ndio unanifanya nibakie mtazamaji tu . 😂😂😂
 
Back
Top Bottom