Morogoro: Fumanizi la Wapenzi lasababisha kifo

Hasira na stress za tozo zinaibua maroho ya mauaji yaliyotokomea kitambo

Inauma haya mauaji
 
🤣🤣🤣Hapo kwanza nicheke!! Hao wote unaweza Kuta ni vibaka unakamata vip mgoni wako kama mke haujamuoa?

Fuatilia hapo huyo jamaa kazaa na demu tu inawezekana hajamuoa vyote vichalii sasa hapo aliyemaliza mwenzie ni jela moja kwa moja.
 
Ohooo, wazee naomba tushirikiane kumtafta na kumtag mzabzab kwa sababu zifuatazo
1. Ni boda boda
2. Yuko morogoro
3. Anapenda mbususu kuliko hata maisha yake.
4. Hatujui jina lake halisi
This is serious aisee usikute mzee wa mbususu tayari kala nchale
 
Jamaa kafa kisa mbususu, bodaboda wanazngua sana kaifungia safari mbususu😀😀
 
Aise nashukuru kwa kunijulia hali....bwana huyu bodaboda mwezetu tulimkanya mara kibao mambo ya kulala gheto la mwanamke sio...bora utuombe wana tukuoe gheto hakusikia...sasa tupo hapa tunafarijiana tuu.
Ila napiga mkakati na mie nikaonje utamu aliokuwa anapata maharagande
 
Niliwahi andika hapa, juu ya vijana wa bodaboda kutokana na kuwa na mzunguko mkubwa wa fedha (kipato chake sio mpaka mwisho wa mwezi).
Wengi wana mahusiano na wanawake wengi,wengine ni wake za wenyewe.Anaweza kutenga 4000 ya kununua nusu kilo ya nyama kila siku kwa ajili ya mke wa mtu. Au anaweza kulipia fedha ya vikoba ya wanawake kadha kila siku. Au kuwa na mahusiano na mwanafunzi wa kike, binti akiamini uhakika wa usafiri kila siku anao.

Ukiisha mgundua kama ni mume mwenza, unachofanya ni kutafuta wadau wamkodishe muda mbaya na kwenda naye sehemu mbaya. Huko unachapa mtu na kuondoka na pikipiki, ambayo una kuja kuuza kama spare au chuma chakavu.
Uwezo wao wa kuweka AKIBA, wakafanya makubwa hawana.na kazi ile ina chanagamoto nyingi barabarani, leo una chombo kesho huna. leo umepata ajali na kuvunja mguu au mkono na kulala kwa miezi kadha hospital.
VYEMA KUWEKA AKIBA, NI VYEMA KUHESHIMU MAHUSIANO YA WENGINE
 
🤣🤣🤣🤣🤣 kwaio alichopata mwamba hakijatosha na we unataka ukatest zali?
 
Wee jamaa chizi Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Na bado watauana sana, si wanajifanya wao ni malijari na mapenzi wanayajua, watakwisha mnooo.

Vijana wadogo wanakimbilia mapenziii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…