Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Sawa mama parokoShetani hana maana anakupeleka kufanya zinaa halafu anahakikisha umefia kwenye hiyohiyo zinaa
MITHALI 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Hasira na stress za tozo zinaibua maroho ya mauaji yaliyotokomea kitamboPolisi mkoani Morogoro inamshikilia Salipina Thomas (21) mkazi wa kijiji cha Kiroka kwa tuhuma za mauaji ya Rashid Maharangande (20) aliyefumaniwa akiwa ndani ya chumba cha mwanamke huyo, huku anayedaiwa kuwafumania akitoweka kusikojulikana.
Akizungumza mjini Morogoro leo Jumamosi Septemba 17, Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Fortunatus Musilimu amesema mauaji hayo yametokea saa 8 usiku wa kuamkia Septemba 16, 2022 katika kitongoji cha Temekero tarafa ya Mkuyuni wilayani Morogoro.
Amesema mauaji hayo yanahusishwa na wivu wa kimapenzi ambapo kijana aitwaye Richard Stephen Chanzila (23) mkazi wa Kitongoji cha Maembe, Kijiji cha Kiloka ndiye anatuhumiwa kutekeleza mauaji hayo, baada ya kumkuta Maharagande akiwa amelala kwa Salpina ambaye ni mzazi mwenzake.
Kamanda Musilimu amesema, mtuhumiwa huyo inadaiwa alimkata na kitu chenye ncha kali shingoni kijana Mahalagande (20), mkazi wa Sultan Area, aliyekuwa dereva wa bodaboda.
Kamanda Musilimu amesema baada ya Maharagande kukatwa na kitu chenye ncha kali, mwanamke huyo alifanikiwa kukimbia na kwenda kuomba msaada.
Musilimu amesema, Chanzila baada ya kufanya mauaji hayo aliubeba mwili wa marehemu na kwenda kuutupa porini umbali wa mita 100 kutoka eneo alilofanyika mauaji.
Amesema mtuhumiwa huyo alikimbia kijijini hapo kwenda kusikojulikana baada ya mauaji hayo na Polisi inaendelea kumtafuta ili kumtia mbaroni na kufikishwa katika vyombo vya sheria ili kuchukua mkondo wake.
“Nawasihi wananchi ya kwamba kufanya mauaji ya aina mbalimbali kutokana na mapenzi, ushirikina au migogoro mbalimbali sio maamuzi sahihi, ni kinyume cha sheria, zipo njia ambazo zinaweza kutumika kupata suluhu ya mambo yanayojitokeza badala ya kuchukua maamuzi ya kuua mtu,” amesema Kamanda Musilimu.
Mwananchi
🤣🤣🤣Hapo kwanza nicheke!! Hao wote unaweza Kuta ni vibaka unakamata vip mgoni wako kama mke haujamuoa?Huyo ameibiwa mpenzi wake na hakuna SHERIA ya kumkamata na kumuadhibu mgoni wake zaidi ya madai .Hasira yake nani anaibeba.?
Kazi ya Dola ni kulipiza kisasi badala ya mwadhirika /Malamikaji na pia kutoa adhabu Kali Inayokomesha vitendo vinavyoleta madhara .
Serikali hili suala la SHERIA ya Ndoa inalichukulia kirahisi lakini vifo havitakoma mana ni dhambi inayogusa hisia za watu. Hakuna Mwanaume anayefurahi kuona mwanaume Mwenzake anaingilia mapenzi yake na kufarakanisha familia yake.
Hayupo hapa Duniani na hata Mbinguni.
Watauawa sana wasipobadikika na serikali isipobakaa na kutafakari suala la mauaji ya wanandoa itakuja kutengeneza kizazi kibaya zaidi ya hiki Cha Panya Road ambacho ni kizazi kilichotokana na serikali kushindwa kuweka SHERIA za kuzia uhalifu unaoyotokana na mipango mizuri ya ajira na mipango miji na kuachia kundi la watu wachache kuwa na maisha ya anasa huku wengine wakiwa kama watazamaji wa mpira.
Watoto wameuanaMtu ana miaka 20 huko tayari kafa kisa mapenzi!
Miaka 20 ase
Kale katobo bwana achana nako tuu.. sijui kana nini cha ajabuYani hizi mbususu hizi, zitaondoa wengi Duniani.
Tutawatafuna tuu maana kila mtu ale kwa urefu wa kamba zakeBODABODA MTUACHIE DADA ZETU!
Jamaa kafa kisa mbususu, bodaboda wanazngua sana kaifungia safari mbususu😀😀Polisi mkoani Morogoro inamshikilia Salipina Thomas (21) mkazi wa kijiji cha Kiroka kwa tuhuma za mauaji ya Rashid Maharangande (20) aliyefumaniwa akiwa ndani ya chumba cha mwanamke huyo, huku anayedaiwa kuwafumania akitoweka kusikojulikana.
Akizungumza mjini Morogoro leo Jumamosi Septemba 17, Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Fortunatus Musilimu amesema mauaji hayo yametokea saa 8 usiku wa kuamkia Septemba 16, 2022 katika kitongoji cha Temekero tarafa ya Mkuyuni wilayani Morogoro.
Amesema mauaji hayo yanahusishwa na wivu wa kimapenzi ambapo kijana aitwaye Richard Stephen Chanzila (23) mkazi wa Kitongoji cha Maembe, Kijiji cha Kiloka ndiye anatuhumiwa kutekeleza mauaji hayo, baada ya kumkuta Maharagande akiwa amelala kwa Salpina ambaye ni mzazi mwenzake.
Kamanda Musilimu amesema, mtuhumiwa huyo inadaiwa alimkata na kitu chenye ncha kali shingoni kijana Mahalagande (20), mkazi wa Sultan Area, aliyekuwa dereva wa bodaboda.
Kamanda Musilimu amesema baada ya Maharagande kukatwa na kitu chenye ncha kali, mwanamke huyo alifanikiwa kukimbia na kwenda kuomba msaada.
Musilimu amesema, Chanzila baada ya kufanya mauaji hayo aliubeba mwili wa marehemu na kwenda kuutupa porini umbali wa mita 100 kutoka eneo alilofanyika mauaji.
Amesema mtuhumiwa huyo alikimbia kijijini hapo kwenda kusikojulikana baada ya mauaji hayo na Polisi inaendelea kumtafuta ili kumtia mbaroni na kufikishwa katika vyombo vya sheria ili kuchukua mkondo wake.
“Nawasihi wananchi ya kwamba kufanya mauaji ya aina mbalimbali kutokana na mapenzi, ushirikina au migogoro mbalimbali sio maamuzi sahihi, ni kinyume cha sheria, zipo njia ambazo zinaweza kutumika kupata suluhu ya mambo yanayojitokeza badala ya kuchukua maamuzi ya kuua mtu,” amesema Kamanda Musilimu.
Mwananchi
Aise nashukuru kwa kunijulia hali....bwana huyu bodaboda mwezetu tulimkanya mara kibao mambo ya kulala gheto la mwanamke sio...bora utuombe wana tukuoe gheto hakusikia...sasa tupo hapa tunafarijiana tuu.Ohooo, wazee naomba tushirikiane kumtafta na kumtag mzabzab kwa sababu zifuatazo
1. Ni boda boda
2. Yuko morogoro
3. Anapenda mbususu kuliko hata maisha yake.
4. Hatujui jina lake halisi
This is serious aisee usikute mzee wa mbususu tayari kala nchale
Ndio maana kila siku mabosi wanawanyang'anya pikipiki, hela ya kumpelekea bosi wewe unamuhonga Hadija wa TabataTutawatafuna tuu maana kila mtu ale kwa urefu wa kamba zake
Ah mie nashukuru nipo na ya kwangu sio ya bosi so nikujiamilia mwenyewe sasa nikagegede ama nipige kazi. Hapa kwenye nasubiria warembo wanipigie niwapeleke hapo nyumbani park.Ndio maana kila siku mabosi wanawanyang'anya pikipiki, hela ya kumpelekea bosi wewe unamuhonga Hadija wa Tabata
🤣🤣🤣🤣🤣 kwaio alichopata mwamba hakijatosha na we unataka ukatest zali?Aise nashukuru kwa kunijulia hali....bwana huyu bodaboda mwezetu tulimkanya mara kibao mambo ya kulala gheto la mwanamke sio...bora utuombe wana tukuoe gheto hakusikia...sasa tupo hapa tunafarijiana tuu.
Ila napiga mkakati na mie nikaonje utamu aliokuwa anapata maharagande
Ah yule sii ufala wake mwenyewe...mie nina ghetto langu nitagegedea huko kwanza huyu muuaji atakuwa yupo jela anakata gogo kwenye debe sie huku tuna kula utam utam🤣🤣🤣🤣🤣 kwaio alichopata mwamba hakijatosha na we unataka ukatest zali?
Wee jamaa chizi Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aise nashukuru kwa kunijulia hali....bwana huyu bodaboda mwezetu tulimkanya mara kibao mambo ya kulala gheto la mwanamke sio...bora utuombe wana tukuoe gheto hakusikia...sasa tupo hapa tunafarijiana tuu.
Ila napiga mkakati na mie nikaonje utamu aliokuwa anapata maharagande