M2WAWA2
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 3,285
- 5,598
HUKU BODABODA HUKU PANYAROAD, DAH MTATUA NINYIBodaboda hela tunapata tatizo chupi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HUKU BODABODA HUKU PANYAROAD, DAH MTATUA NINYIBodaboda hela tunapata tatizo chupi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawazidi kaka zao kwa urijali [emoji23] na wataisha sana
copy;One-man down I repeat one-man down
Ni kweli asilimia kubwa ya Wanawake wabunge ,wakurugenzi maDC na hata Mawaziri hawana ndoa na hawaamini katika heshima ya Ndoa . Wanazaa lakini hawajaolewa . Ngono wanaipenda ila hawataki wawekewe mipaka ya kufanya ngono na wanayemtamani. Halikadhalika wanaume wabunge na Mawaziri wabunge pia wananufaika na uholela wa kufanya ngono isiyo na utaratibu mana kwao kila kitu ni halali. Wapo juu ya SHERIA . Udanganyifu wowote ni halali Kwa mwanasiasa asiye na maadili au asiyewekewa SHERIA Kali ya maadili. JPM alikua anaharibu kuchagua watu wenye hofu ya Mungu ndio maana wengi wakajifanya ni Wacha Mungu tatizo akashindwa kuwapa wananchi uhuru wa kuchagua wachamungu wa kweli. Bunge limejaa watu wasiokubalika kwenye jamii kuanzia matendo yao na maneno yao na hisia zao na hulka zao.Wao wenyewe wanashiriki hiyo michezo Leo waje kutunga Sheria sidhani. Acha tuuwane labda wataona na kuskia.
Hapo ni two men downOne-man down I repeat one-man down
Eti wanasema kama anachepuka si umwache.Ndio ukweli hata mimi ikitokea ntafanya kama alivyofanywa huyo tuendelee tu kusubiri matukio mengine mengi.
Keleleee we!!tuache tuzitafune,Na bado watauana sana, si wanajifanya wao ni malijari na mapenzi wanayajua, watakwisha mnooo.
Vijana wadogo wanakimbilia mapenziii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
...Kila siku tunasema lakini Watu hawasikii...Usikubali kucheza Mechi Viwanja vya Ugenini!Yani hizi mbususu hizi, zitaondoa wengi Duniani.
Hawakuelewi ila Kwa Sasa ni mapambano kati ya wema na wabaya.Wadad naona hawa comment ila tuwambie wadada kama hujamaliza kuruka ruka na unajijua huwez sema no usiolewe mana hakuna mwanaume mwenye wivu kwa mwanamke malaya we kaa kitaa kila mtu ajue malaya uone ka watu watachomana visu..
Lakin hii tabia ya kujifanya mke wa mtu kumbe maharage ya mbeya ndio inaleta misala mana mke anauma...