Ulitaka tukimbilie nini? Roho zenu mbaya tuu kuona kuwa tunaenjoyNa bado watauana sana, si wanajifanya wao ni malijari na mapenzi wanayajua, watakwisha mnooo.
Vijana wadogo wanakimbilia mapenziii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wala sio ishu.Tatizo ni SHERIA ya Ndoa ni inambeba Mwizi na haijali maumivu ya mwanye mke . Kama pangekua hakuna SHERIA Kali ya Kubaka mwanafunzi unategemea nani angewaacha wanafunzi wa sekondari walivyonona. Kwa hiyo watu wanavamia ndoa za watu na kuzivuruga wanavyotaka Kwa sababu hawana woga. Hivi nani atakubali kufungwa Kwa sababu ya kuiba mke wa mtu.? Yani ukikaa kwenye maofisi ,mitaani ,kwenye vijiwe watu wanazungumzia ngono TU na kuwalenga wake na waume za watu.Sehemu za siri bhana.
Acha kabisa we ziskiage hvy hvy.
Wao wenyewe wanashiriki hiyo michezo Leo waje kutunga Sheria sidhani. Acha tuuwane labda wataona na kuskia.Wala sio ishu.Tatizo ni SHERIA ya Ndoa ni inambeba Mwizi na haijali maumivu ya mwanye mke . Kama pangekua hakuna SHERIA Kali ya Kubaka mwanafunzi unategemea nani angewaacha wanafunzi wa sekondari walivyonona. Kwa hiyo watu wanavamia ndoa za watu na kuzivuruga wanavyotaka Kwa sababu hawana woga. Hivi nani atakubali kufungwa Kwa sababu ya kuiba mke wa mtu.? Yani ukikaa kwenye maofisi ,mitaani ,kwenye vijiwe watu wanazungumzia ngono TU na kuwalenga wake na waume za watu.
Wake za watu wamekua rahisi na waume za watu ndio ATM ya Wanawake mchanganyiko walioolewa wasioolewa wanaobinua makalio.
Vijana hawana Tena mademu Wazuri.
Pisi Kali zote ziko na wanaume wa watu.
Taifa na kizazi kinaelekea wapi?
Serikali iliangalie suala hili Kwa jicho la tatu.
Viongozi wa dini nao hawana Tena msaada wa kukemea dhambi mana nao ni sehemu ya uharibifu huo. Kilichobaki ni serikali kutunga SHERIA Kali ya Ndoa.
Tutakua na serikali na Bunge la ajabu kama litaacha jambo linalosababisha mauaji na mayatima kila kukicha bila kukitungia SHERIA Kali ya kudhibiti wanaosababisha . Kama Kuna SHERIA ya kuzuia Bangi na Gongo ambayo Haina madhara ya vifo makubwa kama ugoni inashindiakana Nini kutunga SHERIA ya kudhibiti wachepuka.Tumebeba masheria ya hovyo ya Kizungu .
Ndio ukweli hata mimi ikitokea ntafanya kama alivyofanywa huyo tuendelee tu kusubiri matukio mengine mengi.Huyo ameibiwa mpenzi wake na hakuna SHERIA ya kumkamata na kumuadhibu mgoni wake zaidi ya madai .Hasira yake nani anaibeba.?
Kazi ya Dola ni kulipiza kisasi badala ya mwadhirika /Malamikaji na pia kutoa adhabu Kali Inayokomesha vitendo vinavyoleta madhara .
Serikali hili suala la SHERIA ya Ndoa inalichukulia kirahisi lakini vifo havitakoma mana ni dhambi inayogusa hisia za watu. Hakuna Mwanaume anayefurahi kuona mwanaume Mwenzake anaingilia mapenzi yake na kufarakanisha familia yake.
Hayupo hapa Duniani na hata Mbinguni.
Watauawa sana wasipobadikika na serikali isipobakaa na kutafakari suala la mauaji ya wanandoa itakuja kutengeneza kizazi kibaya zaidi ya hiki Cha Panya Road ambacho ni kizazi kilichotokana na serikali kushindwa kuweka SHERIA za kuzia uhalifu unaoyotokana na mipango mizuri ya ajira na mipango miji na kuachia kundi la watu wachache kuwa na maisha ya anasa huku wengine wakiwa kama watazamaji wa mpira.
One man down nn sasa unaongea man down ulitaka vip one man stand au sipendi hz comment mno kuwa mwanaume ndio usife au usifie ktk mapenz Nani atakufa Sasa Kam hkn kwenda downOne-man down I repeat one-man down
duh,hiyo familia ya marehemu Kama nawafahamu, Kuna ndugu yao alikuwa diwani nadhaniPolisi mkoani Morogoro inamshikilia Salipina Thomas (21) mkazi wa kijiji cha Kiroka kwa tuhuma za mauaji ya Rashid Maharangande (20) aliyefumaniwa akiwa ndani ya chumba cha mwanamke huyo, huku anayedaiwa kuwafumania akitoweka kusikojulikana.
Akizungumza mjini Morogoro leo Jumamosi Septemba 17, Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Fortunatus Musilimu amesema mauaji hayo yametokea saa 8 usiku wa kuamkia Septemba 16, 2022 katika kitongoji cha Temekero tarafa ya Mkuyuni wilayani Morogoro.
Amesema mauaji hayo yanahusishwa na wivu wa kimapenzi ambapo kijana aitwaye Richard Stephen Chanzila (23) mkazi wa Kitongoji cha Maembe, Kijiji cha Kiloka ndiye anatuhumiwa kutekeleza mauaji hayo, baada ya kumkuta Maharagande akiwa amelala kwa Salpina ambaye ni mzazi mwenzake.
Kamanda Musilimu amesema, mtuhumiwa huyo inadaiwa alimkata na kitu chenye ncha kali shingoni kijana Mahalagande (20), mkazi wa Sultan Area, aliyekuwa dereva wa bodaboda.
Kamanda Musilimu amesema baada ya Maharagande kukatwa na kitu chenye ncha kali, mwanamke huyo alifanikiwa kukimbia na kwenda kuomba msaada.
Musilimu amesema, Chanzila baada ya kufanya mauaji hayo aliubeba mwili wa marehemu na kwenda kuutupa porini umbali wa mita 100 kutoka eneo alilofanyika mauaji.
Amesema mtuhumiwa huyo alikimbia kijijini hapo kwenda kusikojulikana baada ya mauaji hayo na Polisi inaendelea kumtafuta ili kumtia mbaroni na kufikishwa katika vyombo vya sheria ili kuchukua mkondo wake.
“Nawasihi wananchi ya kwamba kufanya mauaji ya aina mbalimbali kutokana na mapenzi, ushirikina au migogoro mbalimbali sio maamuzi sahihi, ni kinyume cha sheria, zipo njia ambazo zinaweza kutumika kupata suluhu ya mambo yanayojitokeza badala ya kuchukua maamuzi ya kuua mtu,” amesema Kamanda Musilimu.
Mwananchi
Talaka huko zinaruhusiwa?Mwanamke akizini unatakiwa umwache tena kwa talaka kabisa. Na huyo hatakiwi kuolewa tena! Mungu mkaliiiiiii
Mathayo 5:32
"Lakini mimi nawaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, anamfanya azini; na mwanamume akimwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini."
Ajali kazini mkuuuInzi hufia kidondani, mmh papuchi haijawahi kumuacha mtu salama.
Wakati mwingine wanakuwa form four leaver hao, wakishaonjeshwa mbususu na wazoefu waliozoea kujibinua kisawasawa na madoido mengine kibao ikiwemo kula koni kimadaha ya hali ya juu ndo wanakuwa hivyo. Hawasikii hata waonywe vp.Mtu ana miaka 20 huko tayari kafa kisa mapenzi!
Extraction team is on the wayOne-man down I repeat one-man down
Tulia ww hizi code huzielewiOne man down nn sasa unaongea man down ulitaka vip one man stand au sipendi hz comment mno kuwa mwanaume ndio usife au usifie ktk mapenz Nani atakufa Sasa Kam hkn kwenda down
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Na mtu anayezini na mbwa?Shetani hana maana anakupeleka kufanya zinaa halafu anahakikisha umefia kwenye hiyohiyo zinaa
MITHALI 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Haya ni mauaji ya pili kutokea huko Kiloka kwa style hiyohiyo mwaka huuPolisi mkoani Morogoro inamshikilia Salipina Thomas (21) mkazi wa kijiji cha Kiroka kwa tuhuma za mauaji ya Rashid Maharangande (20) aliyefumaniwa akiwa ndani ya chumba cha mwanamke huyo, huku anayedaiwa kuwafumania akitoweka kusikojulikana.
Akizungumza mjini Morogoro leo Jumamosi Septemba 17, Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Fortunatus Musilimu amesema mauaji hayo yametokea saa 8 usiku wa kuamkia Septemba 16, 2022 katika kitongoji cha Temekero tarafa ya Mkuyuni wilayani Morogoro.
Amesema mauaji hayo yanahusishwa na wivu wa kimapenzi ambapo kijana aitwaye Richard Stephen Chanzila (23) mkazi wa Kitongoji cha Maembe, Kijiji cha Kiloka ndiye anatuhumiwa kutekeleza mauaji hayo, baada ya kumkuta Maharagande akiwa amelala kwa Salpina ambaye ni mzazi mwenzake.
Kamanda Musilimu amesema, mtuhumiwa huyo inadaiwa alimkata na kitu chenye ncha kali shingoni kijana Mahalagande (20), mkazi wa Sultan Area, aliyekuwa dereva wa bodaboda.
Kamanda Musilimu amesema baada ya Maharagande kukatwa na kitu chenye ncha kali, mwanamke huyo alifanikiwa kukimbia na kwenda kuomba msaada.
Musilimu amesema, Chanzila baada ya kufanya mauaji hayo aliubeba mwili wa marehemu na kwenda kuutupa porini umbali wa mita 100 kutoka eneo alilofanyika mauaji.
Amesema mtuhumiwa huyo alikimbia kijijini hapo kwenda kusikojulikana baada ya mauaji hayo na Polisi inaendelea kumtafuta ili kumtia mbaroni na kufikishwa katika vyombo vya sheria ili kuchukua mkondo wake.
“Nawasihi wananchi ya kwamba kufanya mauaji ya aina mbalimbali kutokana na mapenzi, ushirikina au migogoro mbalimbali sio maamuzi sahihi, ni kinyume cha sheria, zipo njia ambazo zinaweza kutumika kupata suluhu ya mambo yanayojitokeza badala ya kuchukua maamuzi ya kuua mtu,” amesema Kamanda Musilimu.
Mwananchi
Shetani kasingiziwa, labda ni hii hapaShetani hana maana anakupeleka kufanya zinaa halafu anahakikisha umefia kwenye hiyohiyo zinaa
MITHALI 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Na mtu anayezini na mbwa?
Au ili mtu awe na akili anapaswa kuzini na nani?