Morogoro: Fumanizi la Wapenzi lasababisha kifo

Sehemu za siri bhana.
Acha kabisa we ziskiage hvy hvy.
Wala sio ishu.Tatizo ni SHERIA ya Ndoa ni inambeba Mwizi na haijali maumivu ya mwanye mke . Kama pangekua hakuna SHERIA Kali ya Kubaka mwanafunzi unategemea nani angewaacha wanafunzi wa sekondari walivyonona. Kwa hiyo watu wanavamia ndoa za watu na kuzivuruga wanavyotaka Kwa sababu hawana woga. Hivi nani atakubali kufungwa Kwa sababu ya kuiba mke wa mtu.? Yani ukikaa kwenye maofisi ,mitaani ,kwenye vijiwe watu wanazungumzia ngono TU na kuwalenga wake na waume za watu.
Wake za watu wamekua rahisi na waume za watu ndio ATM ya Wanawake mchanganyiko walioolewa wasioolewa wanaobinua makalio.
Vijana hawana Tena mademu Wazuri.
Pisi Kali zote ziko na wanaume wa watu.
Taifa na kizazi kinaelekea wapi?

Serikali iliangalie suala hili Kwa jicho la tatu.
Viongozi wa dini nao hawana Tena msaada wa kukemea dhambi mana nao ni sehemu ya uharibifu huo. Kilichobaki ni serikali kutunga SHERIA Kali ya Ndoa.

Tutakua na serikali na Bunge la ajabu kama litaacha jambo linalosababisha mauaji na mayatima kila kukicha bila kukitungia SHERIA Kali ya kudhibiti wanaosababisha . Kama Kuna SHERIA ya kuzuia Bangi na Gongo ambayo Haina madhara ya vifo makubwa kama ugoni inashindiakana Nini kutunga SHERIA ya kudhibiti wachepuka.Tumebeba masheria ya hovyo ya Kizungu .
 
Wao wenyewe wanashiriki hiyo michezo Leo waje kutunga Sheria sidhani. Acha tuuwane labda wataona na kuskia.
 
Ndio ukweli hata mimi ikitokea ntafanya kama alivyofanywa huyo tuendelee tu kusubiri matukio mengine mengi.
 
duh,hiyo familia ya marehemu Kama nawafahamu, Kuna ndugu yao alikuwa diwani nadhani
 
Talaka huko zinaruhusiwa?
 
Musilimu amesema, Chanzila baada ya kufanya mauaji hayo aliubeba mwili wa marehemu na kwenda kuutupa porini umbali wa mita 100 kutoka eneo alilofanyika mauaji.
 
Shetani hana maana anakupeleka kufanya zinaa halafu anahakikisha umefia kwenye hiyohiyo zinaa


MITHALI 6:32​

Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.​

Na mtu anayezini na mbwa?

Au ili mtu awe na akili anapaswa kuzini na nani?
 
Haya ni mauaji ya pili kutokea huko Kiloka kwa style hiyohiyo mwaka huu
 
Shetani hana maana anakupeleka kufanya zinaa halafu anahakikisha umefia kwenye hiyohiyo zinaa


MITHALI 6:32​

Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.​

Shetani kasingiziwa, labda ni hii hapa

 
Na mtu anayezini na mbwa?

Au ili mtu awe na akili anapaswa kuzini na nani?

TORATI 27:21​

Na alaaniwe alalaye na mnyama wa aina yo yote. Na watu wote waseme, Amina.​


TORATI 28:15;21-28
15 Lakini itakuwa usipotaka kuisikiza sauti ya Bwana, Mungu wako, usiyaangalie kufanya maagizo yake yote na amri zake, nikuagizazo hivi leo, ndipo zitakapokujia laana hizi zote na kukupata.
21 Bwana atakuambatanisha na tauni, hata atakapokwisha kukuondoa katika nchi uingiayo kwa kuimiliki.
22 Bwana atakupiga kwa kifua kikuu, na kwa homa, na kwa kuwashwa, na kwa hari ya moto, na kwa upanga, na kwa ukaufu, na kwa koga; navyo vitakufukuza hata uangamie.
23 Na mbingu zako zilizo juu ya kichwa chako zitakuwa shaba, na nchi iliyo chini yako itakuwa chuma.
24 Bwana atafanya mvua ya nchi yako iwe vumbi na mchanga; itakujilia juu yako kutoka mbinguni hata uangamie.
25 Bwana atakufanya upigwe mbele ya adui zako; utawatokea juu yao kwa njia moja, lakini utakimbia mbele yao kwa njia saba; nawe utatupwa huko na huko katika falme zote za duniani.
26 Na mzoga wako utakuwa chakula cha ndege wote wa angani, na wanyama wote wa duniani, pasiwe na mtu wa kuwafukuza.
27 Bwana atakupiga kwa majipu ya Misri, na kwa bawasiri, na kwa pele, na kwa kujikuna, ambayo hupati kupoa.
28 Bwana atakupiga kwa wazimu, na kwa upofu, na kwa bumbuazi la moyoni;
29 utakwenda kwa kupapasa-papasa mchana, kama apapasavyo kipofu gizani, wala hufanikiwi katika njia zako; nawe sikuzote utaonewa na kutekwa nyara, wala hapatakuwa na mtu wa kukuokoa.
30 Utaposa mke na mume mwingine atalala naye; utajenga nyumba usiikae; utapanda mizabibu usitumie matunda yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…