Wewe huelewi nini hapo kwenye hilo andiko??Kuonesha kuwa gari la serikali limegonga mtu ni uchadema!? Ni sehemu gani nimeona chuki ya kisiasa mkuu!? Umetazama video hiyo, je kuna mtu ametaja Chadema au CCM!??
Hata ulaya kuna ajali. Uafrika haujajusika kwenye ajali bali uzembe wa mamlakaMwili wa mwanafunzi Yulia Samson Difrata, mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Chigela, umeondolewa eneo la ajali, katika Kijiji cha Tabu Hotel...
Huo ni msemo tu wa kiswahili, ila kwenda bure inaenda vizuri tuDamu ya MTU haiendi bure mkuu.Huu ni ushenzi na unyama wa hali ya juu. Unamgonga na gari binadamu mwenzako alafu hakuna kusimama asee. Mkapa hakukosea kutuita Malofa
Ndo ivo mzee, kama huna wa kukusemea huko juu basi ndio inakua imeisha.Tanzania yetu sijui tumekuwaje!? Uhai wa masikini hauna faida kabsa
Huwezi kuelewa kwa elimu yako ya la saba. Muulize Mshana atakupa majibu dogoHuo ni msemo tu wa kiswahili, ila kwenda bure inaenda vizuri tu
Spidi zao ni Kali sana!Mwili wa mwanafunzi Yulia Samson Difrata, mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Chigela, umeondolewa eneo la ajali, katika Kijiji cha Tabu Hotel, Kitongoji cha Stendi, wilayani Gairo, mkoani Morogoro ambapo inadaiwa mwanafunzi huyo amegongwa na gari la serikali ambalo halikusimama baada ya kumgonga.
Adui wa Mwafrika ni mwafrika mwenyewe! Mungu tusaidie sana! Poleni kwa familia ya Yulia Samson Difrata. Mpaka natetemeka sijui hawa watu wana roho gani tu?
Ni majinga sana madereva wa serikali!Spidi zao ni Kali sana!
Imani za namna hiyo hazihusiani na elimu bali kiwango cha ujinga, hicho nakiri ukemenizidi.Huwezi kuelewa kwa elimu yako ya la saba. Muulize Mshana atakupa majibu dogo
Kila siku najiuliza huwa magari STL na STM wanakimbilia wapi ? Mnahudumia wananchi ambao mnawaacha nyuma sasa mnawahi wapi ? Magari ywnu hayana bima mnalipaje mkisababisha ajali ?? Naimia sanaa huyo ni mtoto wangu wa form 1 umwmuua na kukimbia kweli ? Nitakufuata kwa njia yeyote ile damu yake juu yako sintakuacha .......ulaaniwe dereva na boss wake anaekupa kiburi cha kukimbiaaMwili wa mwanafunzi Yulia Samson Difrata, mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Chigela, umeondolewa eneo la ajali, katika Kijiji cha Tabu Hotel, Kitongoji cha Stendi, wilayani Gairo, mkoani Morogoro ambapo inadaiwa mwanafunzi huyo amegongwa na gari la serikali ambalo halikusimama baada ya kumgonga.
Adui wa Mwafrika ni mwafrika mwenyewe! Mungu tusaidie sana! Poleni kwa familia ya Yulia Samson Difrata. Mpaka natetemeka sijui hawa watu wana roho gani tu?
Kila MTU na Imani Yake. Mifano ipo kuanzia kwenye vitabu vya Dini etc Unaongea nini ww kurutaImani za namna hiyo hazihusiani na elimu bali kiwango cha ujinga, hicho nakiri ukemenizidi.
AiseeKila siku najiuliza huwa magari STL na STM wanakimbilia wapi ? Mnahudumia wananchi ambao mnawaacha nyuma sasa mnawahi wapi ? Magari ywnu hayana bima mnalipaje mkisababisha ajali ?? Naimia sanaa huyo ni mtoto wangu wa form 1 umwmuua na kukimbia kweli ? Nitakufuata kwa njia yeyote ile damu yake juu yako sintakuacha .......ulaaniwe dereva na boss wake anaekupa kiburi cha kukimbiaa
Mifano gani hiyo?? Ndio maana nikakwambia kiwango cha ujinga ndicho ulichonizidi.Kila MTU na Imani Yake. Mifano ipo kuanzia kwenye vitabu vya Dini etc Unaongea nini ww kuruta