Morogoro: Gari la Serikali limegonga na kuua mwanafunzi

Morogoro: Gari la Serikali limegonga na kuua mwanafunzi

Hili ndio tatizo la baadhi ya watu kuwa juu ya sheria.
Magari ya serikali na viongozi yangekuwa yanabanwa kama tunavyobanwa watu binafsi, madereva wao wangeheshimu sheria na ajali kama hiyo pengine isingetokea.
 
Mwili wa mwanafunzi Yulia Samson Difrata, mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Chigela, umeondolewa eneo la ajali, katika Kijiji cha Tabu Hotel, Kitongoji cha Stendi, wilayani Gairo, mkoani Morogoro ambapo inadaiwa mwanafunzi huyo amegongwa na gari la serikali ambalo halikusimama baada ya kumgonga.

Adui wa Mwafrika ni mwafrika mwenyewe! Mungu tusaidie sana! Poleni kwa familia ya Yulia Samson Difrata. Mpaka natetemeka sijui hawa watu wana roho gani tu?
Spidi zao ni Kali sana!
 
Pesa ya kununua magari pamoja na kuweka mafuta ni yako na bado wanakupitia
 
Mwili wa mwanafunzi Yulia Samson Difrata, mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Chigela, umeondolewa eneo la ajali, katika Kijiji cha Tabu Hotel, Kitongoji cha Stendi, wilayani Gairo, mkoani Morogoro ambapo inadaiwa mwanafunzi huyo amegongwa na gari la serikali ambalo halikusimama baada ya kumgonga.

Adui wa Mwafrika ni mwafrika mwenyewe! Mungu tusaidie sana! Poleni kwa familia ya Yulia Samson Difrata. Mpaka natetemeka sijui hawa watu wana roho gani tu?
Kila siku najiuliza huwa magari STL na STM wanakimbilia wapi ? Mnahudumia wananchi ambao mnawaacha nyuma sasa mnawahi wapi ? Magari ywnu hayana bima mnalipaje mkisababisha ajali ?? Naimia sanaa huyo ni mtoto wangu wa form 1 umwmuua na kukimbia kweli ? Nitakufuata kwa njia yeyote ile damu yake juu yako sintakuacha .......ulaaniwe dereva na boss wake anaekupa kiburi cha kukimbiaa
 
Kila siku najiuliza huwa magari STL na STM wanakimbilia wapi ? Mnahudumia wananchi ambao mnawaacha nyuma sasa mnawahi wapi ? Magari ywnu hayana bima mnalipaje mkisababisha ajali ?? Naimia sanaa huyo ni mtoto wangu wa form 1 umwmuua na kukimbia kweli ? Nitakufuata kwa njia yeyote ile damu yake juu yako sintakuacha .......ulaaniwe dereva na boss wake anaekupa kiburi cha kukimbiaa
Aisee
 
Back
Top Bottom