Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

Yule yule aliye mpa ruhusa mtu asiyejulikana kumuonesha kitambulisho Nape
 
Weshaona fashion sikuizi kutukana, wameharibu jf sikuhizi nayo hovyo tu, huyo wanayemuiga yuko States na hawezi kanyaga Tz, muda si mrefu jf tunaipoteza maana naona hata mods ni kama wanatumika.
Unakerwa na upande mmoja wa shilingi?Chanzo cha haya in nini?
 
Police wenyewe ndo hawa wenye vihelehele vya kutoa pistol
 
Mmh. . Hapa nae kaenda mbali. Sawa message sent. Lakini kwa jinsi yeyote asingepona, angechuja kidogo maneno yake. Pamoja na yote atakayo pambana nayo asante sana kutufikishia ujumbe. Inahitaji ujisiri!
 
Mfano nitunge nyimbo kuhamasisha mapinduzi au ugaidi

Au mauaji kwahiyo unataka polisi wasiingilie kisa wao sio basata

Sijazungumzia Ney hapa ila nakuonyesha taswira ,polisi wanayo haki ,mbona akina sheikh ponda walikamatwa na polisi kisha kuhojiwa kwahiyo Polisi waliingilia kazi ya bakwata

Mwandishi wa habari anapotumia kalamu vibaya labda kuhamasisha vurugu polisi watamkamata kumhoji huyo mwandishi wa habari na kumhoji licha ya kuwepo chombo cha kuwasimamia wandishi,

Basata haiwazui polisi ,kazi ya polisi ni kuhoji na kulinda usalama siyo kufungia wimbo basata ndio wenye mamlaka ya kufungia wimbo au kumpiga ban au fine msanii
 
Mleta mada hana uelewa huo.
 
Weshaona fashion sikuizi kutukana, wameharibu jf sikuhizi nayo hovyo tu, huyo wanayemuiga yuko States na hawezi kanyaga Tz, muda si mrefu jf tunaipoteza maana naona hata mods ni kama wanatumika.
Hujajibi swali kamtukana nani?
 
Jibu murua hili mtu mwingine angeweza kutoa povu na pengine kuyakana maandiko yake ila swali limejibiwa kwa hoja iliyoshiba na wengi wetu hushindwa jambo hili mtu kajikita penye kuponda tu au kusifia tu. Hongera ndugu kwa kuweka rekodi sawa .
 
Bado kuna watu wanategemea viwanda vitajengwa nchi hii basi wavivu wa kufikiria, wakujenga viwanda ndo hao akina manji mnaowanyanyasa, Gwajima alikuwa na mpango wa kununua treni sasa mnamtengenezea vipindi vya kumzalilisha atapata wapi moyo wa kuwekeza nchi hii. Serikali ya awamu hii ya tano ni ya vioja na kutafuta kiki.
 
Autro yake ndio imeniua kabisa anasema
"Mtu gani wewe hupendi kushauriwa,hupendi kukosolewa umelogwa wewe unajiona ndugu yake Na yesu"

Kweli hapa akichomoza sizonje atakuwa mpenzi WA mungu kwa kusema kweli..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…