Kuzidi weweDah kuna vijana wenzetu waoga mpaka wanakera!!
Sio mahabaKapimwe akili naona unaongelea mapenz huongelei uhalisia wa jambo nyie ndo mnaturudisha nyuma
kumbe na nyie mnamtambuaHahahha dawa inaanza kupenya mnaanza kumkana bashite hahaha
Bashite nini?Unaishi Temeke au Manzese ? maana huko mtu anaweza hata kutamka k**ma na haoni tatizo lolote
Hakuna cha kuogopa isipokuwa ni uwoga wenyeweNitasema kweli daima! Fitina kwangu................(in voice of Nape)
Tunamtambakumbe na nyie mnamtambua
NanaBashite nini?
KumbeHakuna cha kuogopa isipokuwa ni uwoga wenyewe
Unajifunza kusoma Mkuu?Nana
Ukiona hivyo hajamuelewa mwalimu wakeKama ni kweli kajitakia mwenyewe
Ndio mkuuUnajifunza kusoma Mkuu?
Yea ni kweli"AMEONGEA LILILOPO NA NI WIMBO WA WATANZANIA WOTE"
SIONI KOSA LAKE,LAKINI KATIKA NCHI ONEVU KAMA HII ATAPATA TABU"
SIONI KOSA LAKE
SIONI KOSA LAKE
SIONI KOSA LAKE
•AMEIMBA KILIO KILICHOPI MITAANI
Sukari imepanda bei au????"AMEONGEA LILILOPO NA NI WIMBO WA WATANZANIA WOTE"
SIONI KOSA LAKE,LAKINI KATIKA NCHI ONEVU KAMA HII ATAPATA TABU"
SIONI KOSA LAKE
SIONI KOSA LAKE
SIONI KOSA LAKE
•AMEIMBA KILIO KILICHOPO MITAANI
Issue siyo kumuiga Mange. Watanzania wemechoka uonevu. Kwa mwendo huu natabiri Tanzania kuzalisha wakimbizi kwa maelefu kabla 2020.Vijana mliopo bongo msijifanye kumuiga MANGE KIMAMBI mtaumia na kuzipa familia zenu shida,hari ishakuwa mbaya .