Morogoro: Polisi wazuia Msafara wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika

Morogoro: Polisi wazuia Msafara wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika

Twende na Mama kama tulivyokubaliana tukiona kama anazingua vile tunamkumbusha, kwasasa mimi bado namuunga mkono.
Utakwenda naye hadi wapi mkuu, 'Imhotep'?
Hata akikupotezea kichakani bado utakwenda naye, huku yeye akichanja mbuga?

Ni wakati mwafaka sasa 'for CHADEMA to call her bluff'.
 
Utakwenda naye hadi wapi mkuu, 'Imhotep'?
Hata akikupotezea kichakani bado utakwenda naye, huku yeye akichanja mbuga?

Ni wakati mwafaka sasa 'for CHADEMA to call her bluff'.
Kwasababu tumechoshwa na yule Ibilisi wa Awamu ya tano tukusanye nguvu kwanza huku tunamsikiza Mazee.

Tukiona hakieleweki ndio tuangushe jumba bovu.
 
Hawa watu bhana wao wanafungua miradi na kuitangaza lakini bado wana hofu kama wanafanya vizuri kwa nini wanaendelea kuwa na Hofu wakati Wansnchi wanawaamini...

Hawako madarakani kwa ridhaa ya umma, hivyo wanajua wenye ridhaa wakajitokeza wao wanakosa wa kuwasikiliza. Magufuli aliijua vizuri ushawishi na nguvu ya CDM, ndio maana akakimbilia kupiga marufuku mikutano ya kisiasa.
 
Kwasababu tumechoshwa na yule Ibilisi wa Awamu ya tano tukusanye nguvu kwanza huku tunamsikiza Mazee.

Tukiona hakieleweki ndio tuangushe jumba bovu.
Utasubiri sana.
Kwa hili ninakuhakikishia hupati kitu chini ya CCM.

Usimtegemee Samia kukupa tofauti na huyo Mwendazake.

Tofauti pekee iliyopo kati yao ni njia tu zinazotumiwa. Chini ya Samia CHADEMA itapozwa na ahadi, huku matokeo yakiwa ni yaleyale.
In fact, matokeo kwa chama yanaweza kuwa mabaya zaidi ya yale yaliyopatikana chini ya Mwenda zake, wakati ambapo chama kiliweza kuwa na nguvu zaidi na kuanza kuenea sehemu zote nchini. Chini ya Samia, CHADEMA itakufa kimya kimya, na baadhi ya viongozi wao wakimezwa ndani ya CCM.
 
Usimtegemee
Sio kweli kunatofauti kubwa kati ya Samia na yule Ibilisi nasi tunaiona Samia anamuogopa Mungu na anajua maana ya HAKI

Lile Jinamizi lilkuwa linaabudu Uchawi.
 
Sio kweli kunatofauti kubwa kati ya Samia na yule Ibilisi nasi tunaiona Samia anamuogopa Mungu na anajua maana ya HAKI

Lile Jinamizi lilkuwa linaabudu Uchawi.
Naona hatuelewani.
Tofauti kati ya hao wawili ipo sana kama ilivyo kwenye jinsia zao.

Naomba uelewe ninachoeleza..
AAAh!, ninakuelewa mkuu 'imhotep'.

Ulishabainisha kwamba wewe upo CHADEMA. Nisome vizuri ninapoandika. Siwezi kushangaa sana baada ya CHADEMA kudhoofika sana, ukawa ni mmoja wa hao wa CHADEMA niliowazungumzia hapo juu.
 
Mkuu 'econo', nadhani hukunielewa nilichoandika hapo juu kabla ya kutumia muda wako wote huu kujibu niliyoandika.

Pamoja na kujuwa kwamba mahakama hazitatoa haki, ni sahihi kabisa kupitia njia hiyo, badala ya kutafuta njia za mkato.

Sababu ya kupoteza muda hivyo ni kutafuta ushahidi imara zaidi wa kuwasilisha kwenye mahakama 'KUU' zaidi ya mahakama zote hizi.
Mahakama KUU zaidi ya zote ipo moja tu, na hiyo ndiyo pekee yenye kutoa uamzi wa mwisho usiokataliwa na yeyote kwa njia yoote ile.

Ok, nimekuelewa
 
Huwezi kulinganisha utendaji wa vyama vya upinzani vya Nchi zingine za Afrika Mashariki kama vya Uganda,Kenya,Rwanda,Burundi na Congo

Vyama vyao vya upinzani nchini zao viko civilized

Vyama vya upinzani vingi Tanzania haviko civilised hasa Chadema ni chama cha wahuni Hawako focused na hawana agenda na Hawako civilized

Wanapenda sana provocations kuliko politics
Uongo hautakusaidia kitu
 
Civilize

Kwanza nikusaihihishe. Kwa Kenya mfumo wao unaruhusu chama chochote kushika madaraka. KANU, NARC, PNU, JUBILEE, na Sasa UDA. Sisi huku tumefungwa akili kwamba ni CCM tu mpaka milele.

Civilized kitu gani? Tanzania vyama vya upinzani vimepigwa marufuku kufanya siasa tangu 2015 mpaka leo. Yani miaka Saba, umewahi kusikia Kuna fujo au machafuko. Vyama vya upinzania vimetulia mpaka mkaanza kuvitukana kwamba vinalamba asali, unataka civilization ya namna gani?.

Mmeharibu uchaguzi wa 2020 Kuna machafuko yeyeote yalitokea?. Mmeua watu Pemba akiwemo Mbunge Bakari, umesikia machafuko au fujo yeyote?.

Mmeingia CHADEMA mkawarubuni wabunge wa viti maalum na kuwakingia kifua umeona chadema wanafanya fujo au kulichoma bunge Kama Burkina faso?

Civilization gani unayoiongelea? Mmekaa miaka mitano wenyewe mnafanya siasa , ilipofika 2020 mkaona maji marefu mkaamua kuharibu mchakato wa uchaguzi mpaka kuzima internet.

Siasa za Tanzania ni ovyo kwa sababu ya CCM ndio uncivilized. Wanaona wao ndio wenye hati miliki na Tanzania na kuwaona wengine Kama wakimbizi na sio raia wa Tanzania.
Akikujibu nistue .
 
Katika Muendelezo wa kutumiwa na ccm kisiasa , Jeshi la Polisi limetumwa tena leo kuzuia Msafara kabambe wa Katibu Mkuu wa Chadema , aliyeingia kwa kishindo mkoani humo kwa ajili ya vikao vya ndani vya chama chake ( CHADEMA DIGITAL )

Taarifa zaidi kuhusu Mtiti uliotokea zitakujia hivi punde .....

Polisi wanafanya kazi yao kwa mujibu wa sheria za nchi, sio sheria za CCM..

CHADEMA mkishapotea kwenye siasa, mnaanza kushindana na Polisi, fuateni taratibu, sio mnaanza kuzunguka mikoani wakati nyie sio watawala wa nchi hii. CCM ndio mtawala wa nchi hii.
 
Polisi wanafanya kazi yao kwa mujibu wa sheria za nchi, sio sheria za CCM..

CHADEMA mkishapotea kwenye siasa, mnaanza kushindana na Polisi, fuateni taratibu, sio mnaanza kuzunguka mikoani wakati nyie sio watawala wa nchi hii. CCM ndio mtawala wa nchi hii.
Una uwezo mdogo sana !
 
Back
Top Bottom