YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Chama tawala kazi yake kusimamia ilani ya chama kinasimamia Serikali misafara inakuwa ya viongozi wa chama na Serikali kwenda kuangalia wametelekezaje ilani ya chama baada ya uchaguziUmeongea maneno mengi nje ya muktadha?. Hivi Katibu Mkuu wa Chadema Hana haki ya kuwa na msafara?. Ila wa CCM ndio ana haki ya kusafiri na msafara. Naona somo la Magufuli halijakaa vizuri.
wa w
Msafara kama wewe sio chama tawala unahitaji.kibali,hata wa kukusanyika tu.Mbona kitu kidogo akina Kakobe tu au Gwajima nk wakienda Airport na misafara huomba vibali polisi
Ndio maana hata ukitaka kufanya send off au harusi au kitchen party lazima upate kubali.