Morogoro: Polisi wazuia Msafara wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika

Morogoro: Polisi wazuia Msafara wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika

Kwa hiyo watu wachelewe kwenye foleni kisa wanachama wa chadema.hivi mkijifungia hotelini na media ikafanya yake kuna shida?
 
Kuna kitu flan jpm alikipanda , kinatakiwa kiondoke maana kitaleta ugomvi mkubwa mbeleni

Kuna roho mbaya ya kipepo amepandikiza wafuasi wake Bila maombi haitoki. Nimeona hadi watu wenye heshima zao hiyo roho imewakaa. Wapo tayari kufurahia mauaji ya mpinzani na kuona ni fahari.
 
Matokeo ya kiburi na kujiona wao ni kub mpaka Leo. hata hivyo wamemzuiaje Afu wakamuachia alitakiwa awekwe ndani Nina wasi wasi na uraia wake na alete vyeti vya kuzaliwa vya wazazi wake wote bila kusahau Cha Babu ni bibi yake

Punguza dharau na dhihaka kana kwamba wewe sio mwanadamu. Kuna mtu alikuwa na kiburi kuliko wewe na kuifanyia dhihaka na dharau CHADEMA isiyo kipimo ila Leo kaiacha CHADEMA ipo. Tuondoe roho mbaya kana kwamba wapinzani sio watanzania ni wahamiaji.
 
Uonevu wa waziwazi WHY?!

gone.png
 
Ila kipindi cha JK hayo mambo ya vibali haikuepo, huyu mwendazake ndo alianzisha huu ushenzi, katika multiparty democrancy vibali hivyo vilisha tolewa na katiba tayari kwenye kipengere cha "freedom of political expression"
Hayakuwepo lakini mlichomfanyia Kikwere Chadema kwa kuwachekea hana hamu na nyinyi!!

Maelfu walikufa mahospitalini law migomo mliyoiratibu Chadema ya madaktari na manesi

Mnyika aliongoza mgomo wa madereva wa malori na mabasi nchi ikasimama

Hakuna usafiri wa basi wala lori

Wananchi wakateseka mno wengine wakifa majumbani kwa kukosa usafiri

CCM ndio ikaona dawa ya moto ni moto ndio ikaleta Magufuli awashikishe adani na mlikoma na mlikiona cha mtema kuni hasa wapumbavu nyinyi

Huyu mama msichezee upole wake wala msimchokonoe .CCM ina watu katili wengi tu mkileta za kuleta 2025 mtaletewa katili kuliko mnayesema Magufuli kuwa alikuwa Katili!!

Shikeni adabu zenu .Msipende kumchokonoa
Kaamua kwenda siasa za kistaarabu moderate msilazimishe abadilike

CCM mkileta moto dawa ya moto ni moto muelezane huko vikao vyenu wajinga ninyi kuwa mnataka siasa za kistaarabu au mnataka za moto?

Mnasahau haraka

Mkitaka siasa za moto CCM tuko tayari sababu upole wa Kikwete mliutumia vibaya
 
Umeongea maneno mengi nje ya muktadha?. Hivi Katibu Mkuu wa Chadema Hana haki ya kuwa na msafara?. Ila wa CCM ndio ana haki ya kusafiri na msafara. Naona somo la Magufuli halijakaa vizuri.

Hayakuwepo lakini mlichomfanyia Kikwere Chadema kwa kuwachekea hana hamu na nyinyi!!

Maelfu walikufa mahospitalini law migomo mliyoiratibu Chadema ya madaktari na manesi

Mnyika aliongoza mgomo wa madereva wa malori na mabasi nchi ikasimama

Hakuna usafiri wa basi wala lori

Wananchi wakateseka mno wengine wakifa majumbani kwa kukosa usafiri

CCM ndio ikaona dawa ya moto ni moto ndio ikaleta Magufuli awashikishe adani na mlikoma na mlikiona cha mtema kuni hasa wapumbavu nyinyi

Huyu mama msichezee upole wake wala msimchokonoe .CCM ina watu katili wengi tu mkileta za kuleta 2025 mtaletewa katili kuliko mnayesema Magufuli kuwa alikuwa Katili!!

Shikeni adabu zenu .Msipende kumchokonoa
Kaamua kwenda siasa za kistaarabu moderate msilazimishe abadilike

CCM mkileta moto dawa ya moto ni moto muelezane huko vikao vyenu wajinga ninyi kuwa mnataka siasa za kistaarabu au mnataka za moto?
wa w
 
Viongozi wa Chadema washtuke. Samiah anawaingiza kingi. Anawazubaisha ikifika 2025 anawatosa. Mbowe ashtuke aache ujinga.
Sasa Mbowe atafanya nini, wakati Mbowe mwenyewe analambishwa Asali!!
 
Swali zuri sana.

Nami ningeongezea kama ifuatavyo. Kama kuna sheria inayoruhusu vyama vya siasa kufanya kazi zao, lakini sheria hiyo inavunjwa na taasisi inayotakiwa kuhakikisha sheria zinafuatwa, kwa nini hatua inayofuata isiwe kwa vyama hivi vya siasa kwenda mahakamani kutafuta haki zao?
Ninajuwa jibu litakuwa lile lile, kwamba mahakamani pia hawatatoa haki kwa vyama hivi.

Sasa kama itakuwa hivyo, si ni bora zaidi kuliko kukaa tu kimya na kubaki kulialia tu pembeni?

Matokeo hayo ya kunyimwa haki, si ndiyo yangekuwa ushahidi mkuu katika mahakama kuu zaidi mbele za wenye nchi wenyewe?
Kwa nini fursa hii hawataki kuitumia hawa CHADEMA? Hili bado silielewi.

Mahakama zipo Kenya sio huku nchi ya tozo. Mahakama za Tanzania zipo hostile kwa CHADEMA. Kuna hukumu nyingi zimetolewa baadaye zimeangushwa mahakama ya Afrika Mashariki. Inamaanisha mahakama kuu na mahakama ya Rufaa zilipitisha. Bado mahakama zetu sio za haki, bali zinaongozwa na CCM.

Sasa hivi Kuna kesi ya akina Halima Mdee ambao mahakama inawakingia kifua mpaka 2025. Kwenda mahakamani Tanzania Ni ujinga na kujichoresha. Ndio maana CHADEMA wanalili katiba mpya.
 
Back
Top Bottom