Morogoro: Polisi wazuia Msafara wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika

Morogoro: Polisi wazuia Msafara wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika

Hayo makabila mawili yamepatikana kutokana na nguvu ya ufuasi wa wapiga kura. Kenya wanaangalia zaidi kaunti.

Rais wa kwaza alitokea kiambu, Rais wa pili alitokea Baringo, Rais wa tatu alitokea Nyeri , Rais wa nne alitokea KIAMBU na Rais wa Tano katokea Uasin Ngishu.
Sasa wewe uchwara unabishana na takwimu?
 
Hayakuwepo lakini mlichomfanyia Kikwere Chadema kwa kuwachekea hana hamu na nyinyi!!

Maelfu walikufa mahospitalini law migomo mliyoiratibu Chadema ya madaktari na manesi

Mnyika aliongoza mgomo wa madereva wa malori na mabasi nchi ikasimama

Hakuna usafiri wa basi wala lori

Wananchi wakateseka mno wengine wakifa majumbani kwa kukosa usafiri

CCM ndio ikaona dawa ya moto ni moto ndio ikaleta Magufuli awashikishe adani na mlikoma na mlikiona cha mtema kuni hasa wapumbavu nyinyi

Huyu mama msichezee upole wake wala msimchokonoe .CCM ina watu katili wengi tu mkileta za kuleta 2025 mtaletewa katili kuliko mnayesema Magufuli kuwa alikuwa Katili!!

Shikeni adabu zenu .Msipende kumchokonoa
Kaamua kwenda siasa za kistaarabu moderate msilazimishe abadilike

CCM mkileta moto dawa ya moto ni moto muelezane huko vikao vyenu wajinga ninyi kuwa mnataka siasa za kistaarabu au mnataka za moto?

Mnasahau haraka

Mkitaka siasa za moto CCM tuko tayari sababu upole wa Kikwete mliutumia vibaya
Mikwara ya kijinga sana ! hivi kama huyu kijana mmoja tu amewahenyesha mtaiweza Chadema yote nyinyi wenye visukari ?

2183704_IMG_1183.jpg
 
Inaonekana kuna maigizo ya makusudi Samia huwa anawafanyia Chadema, ni kama vile akikaa nao wanasikilizana kama yupo tayari kukubaliana nao, lakini akitoka hapo anawaambia wasaidizi wake kamatieni hapo hapo, ajabu wengine wanamtetea anapotezwa na wasaidizi wake, kama vile yeye ndie yupo chini ya hao wasaidizi.
It sounds true
 
Kuna polisi hapo kavaa kiraia anayeongoza magari anaitwa samson au maarufu babu makoti huyo ni occid ambaye yupo juu ya rpc, rco na ocd wake hapo Morogoro si ajabu hii kaamua yeye wala hajatumwa na kiongozi wake yeyote!

Huyo kakaa kituoni hapo zaidi ya miaka 10 keshabadilishiwa rpc wawili na ocd watatu ila yeye haamishiwi mwanzo walisema ni ndugu wa siro anamlinda wengine wakasema anatumia sana uganga na sasa sijui watasema lipi maana huyu jamaa ukiingia 18 zake umekwisha anaua watuhumiwa kwa kipigo kuliko izirael hata wiki iliyopita maiti 3 zimetolewa sero wanadai ni kazi ya mikono yake!

Cha kushangaza hq ya polisi wanafahamu tuhuma zamakoti huyo lakini hawachukui hatua yoyote dhidi yake!
Inasikitisha sana.
 
Hawa watu bhana wao wanafungua miradi na kuitangaza lakini bado wana hofu kama wanafanya vizuri kwa nini wanaendelea kuwa na Hofu wakati Wansnchi wanawaamini...
Wafuate sheria na taratibu zilizowekwa siyo kuja kulialia huku kutafuta huruma ya wananchi
 
Mahakama zipo Kenya sio huku nchi ya tozo. Mahakama za Tanzania zipo hostile kwa CHADEMA. Kuna hukumu nyingi zimetolewa baadaye zimeangushwa mahakama ya Afrika Mashariki. Inamaanisha mahakama kuu na mahakama ya Rufaa zilipitisha. Bado mahakama zetu sio za haki, bali zinaongozwa na CCM.

Sasa hivi Kuna kesi ya akina Halima Mdee ambao mahakama inawakingia kifua mpaka 2025. Kwenda mahakamani Tanzania Ni ujinga na kujichoresha. Ndio maana CHADEMA wanalili katiba mpya.
Mkuu 'econo', nadhani hukunielewa nilichoandika hapo juu kabla ya kutumia muda wako wote huu kujibu niliyoandika.

Pamoja na kujuwa kwamba mahakama hazitatoa haki, ni sahihi kabisa kupitia njia hiyo, badala ya kutafuta njia za mkato.

Sababu ya kupoteza muda hivyo ni kutafuta ushahidi imara zaidi wa kuwasilisha kwenye mahakama 'KUU' zaidi ya mahakama zote hizi.
Mahakama KUU zaidi ya zote ipo moja tu, na hiyo ndiyo pekee yenye kutoa uamzi wa mwisho usiokataliwa na yeyote kwa njia yoote ile.
 
Katika Muendelezo wa kutumiwa na ccm kisiasa , Jeshi la Polisi limetumwa tena leo kuzuia Msafara kabambe wa Katibu Mkuu wa Chadema , aliyeingia kwa kishindo mkoani humo kwa ajili ya vikao vya ndani vya chama chake ( CHADEMA DIGITAL )

Taarifa zaidi kuhusu Mtiti uliotokea zitakujia hivi punde .....
Walikuwa wanataka kumuambia awaongezee mishahara?Bogus PT!
 
Back
Top Bottom