Utakwenda naye hadi wapi mkuu, 'Imhotep'?Twende na Mama kama tulivyokubaliana tukiona kama anazingua vile tunamkumbusha, kwasasa mimi bado namuunga mkono.
Na hili ndilo linalowakera sana CCM na polisi wao.Msafara ubapita watu wanaushangilia kwa nguvu zote......
Kwasababu tumechoshwa na yule Ibilisi wa Awamu ya tano tukusanye nguvu kwanza huku tunamsikiza Mazee.Utakwenda naye hadi wapi mkuu, 'Imhotep'?
Hata akikupotezea kichakani bado utakwenda naye, huku yeye akichanja mbuga?
Ni wakati mwafaka sasa 'for CHADEMA to call her bluff'.
Hawa watu bhana wao wanafungua miradi na kuitangaza lakini bado wana hofu kama wanafanya vizuri kwa nini wanaendelea kuwa na Hofu wakati Wansnchi wanawaamini...
Utasubiri sana.Kwasababu tumechoshwa na yule Ibilisi wa Awamu ya tano tukusanye nguvu kwanza huku tunamsikiza Mazee.
Tukiona hakieleweki ndio tuangushe jumba bovu.
Sio kweli kunatofauti kubwa kati ya Samia na yule Ibilisi nasi tunaiona Samia anamuogopa Mungu na anajua maana ya HAKIUsimtegemee
Naona hatuelewani.Sio kweli kunatofauti kubwa kati ya Samia na yule Ibilisi nasi tunaiona Samia anamuogopa Mungu na anajua maana ya HAKI
Lile Jinamizi lilkuwa linaabudu Uchawi.
Akili za kuku kupita BARABARANI kunahitaji kibaliAna kibali?
Mkuu 'econo', nadhani hukunielewa nilichoandika hapo juu kabla ya kutumia muda wako wote huu kujibu niliyoandika.
Pamoja na kujuwa kwamba mahakama hazitatoa haki, ni sahihi kabisa kupitia njia hiyo, badala ya kutafuta njia za mkato.
Sababu ya kupoteza muda hivyo ni kutafuta ushahidi imara zaidi wa kuwasilisha kwenye mahakama 'KUU' zaidi ya mahakama zote hizi.
Mahakama KUU zaidi ya zote ipo moja tu, na hiyo ndiyo pekee yenye kutoa uamzi wa mwisho usiokataliwa na yeyote kwa njia yoote ile.
Huyo anaandika ili aongeze malipo yake ya sikuUtafikiri si wewe mwenye kuandika uzi huu
Thread 'Kama Chadema wanazuiwa kufanya mikutano nini maana ya Chama Kikuu cha Upinzani? Jaji Mutungi anapaswa kuingilia Kati jambo Hili' Kama Chadema wanazuiwa kufanya mikutano nini maana ya Chama Kikuu cha Upinzani? Jaji Mutungi anapaswa kuingilia Kati jambo Hili
Uongo hautakusaidia kituHuwezi kulinganisha utendaji wa vyama vya upinzani vya Nchi zingine za Afrika Mashariki kama vya Uganda,Kenya,Rwanda,Burundi na Congo
Vyama vyao vya upinzani nchini zao viko civilized
Vyama vya upinzani vingi Tanzania haviko civilised hasa Chadema ni chama cha wahuni Hawako focused na hawana agenda na Hawako civilized
Wanapenda sana provocations kuliko politics
Sikuwahi kudhani kwamba kumbe Vitenge vinaweza kuangusha serikali kirahisi namna hii !Wameshindwa na vitenge vya magendo wamebakia kupambana na CHADEMA.
Akikujibu nistue .Civilize
Kwanza nikusaihihishe. Kwa Kenya mfumo wao unaruhusu chama chochote kushika madaraka. KANU, NARC, PNU, JUBILEE, na Sasa UDA. Sisi huku tumefungwa akili kwamba ni CCM tu mpaka milele.
Civilized kitu gani? Tanzania vyama vya upinzani vimepigwa marufuku kufanya siasa tangu 2015 mpaka leo. Yani miaka Saba, umewahi kusikia Kuna fujo au machafuko. Vyama vya upinzania vimetulia mpaka mkaanza kuvitukana kwamba vinalamba asali, unataka civilization ya namna gani?.
Mmeharibu uchaguzi wa 2020 Kuna machafuko yeyeote yalitokea?. Mmeua watu Pemba akiwemo Mbunge Bakari, umesikia machafuko au fujo yeyote?.
Mmeingia CHADEMA mkawarubuni wabunge wa viti maalum na kuwakingia kifua umeona chadema wanafanya fujo au kulichoma bunge Kama Burkina faso?
Civilization gani unayoiongelea? Mmekaa miaka mitano wenyewe mnafanya siasa , ilipofika 2020 mkaona maji marefu mkaamua kuharibu mchakato wa uchaguzi mpaka kuzima internet.
Siasa za Tanzania ni ovyo kwa sababu ya CCM ndio uncivilized. Wanaona wao ndio wenye hati miliki na Tanzania na kuwaona wengine Kama wakimbizi na sio raia wa Tanzania.
Katika Muendelezo wa kutumiwa na ccm kisiasa , Jeshi la Polisi limetumwa tena leo kuzuia Msafara kabambe wa Katibu Mkuu wa Chadema , aliyeingia kwa kishindo mkoani humo kwa ajili ya vikao vya ndani vya chama chake ( CHADEMA DIGITAL )
Taarifa zaidi kuhusu Mtiti uliotokea zitakujia hivi punde .....
Una uwezo mdogo sana !Polisi wanafanya kazi yao kwa mujibu wa sheria za nchi, sio sheria za CCM..
CHADEMA mkishapotea kwenye siasa, mnaanza kushindana na Polisi, fuateni taratibu, sio mnaanza kuzunguka mikoani wakati nyie sio watawala wa nchi hii. CCM ndio mtawala wa nchi hii.
Viongozi wako wa baadaye jaribu kuwaheshimu basi !!Hapa polisi ametumia ustaarabu sana kuyajibu haya mavichaa.
Ingefaa huyo polisi awakong'ote virungu. Bahati yao wallahi.🤣Viongozi wako wa baadaye jaribu kuwaheshimu basi !!