Morogoro: Profesa wa SUA afikishwa Mahakamani kwa shitaka la ugoni, mkewe adai fidia ya Milioni 100

Morogoro: Profesa wa SUA afikishwa Mahakamani kwa shitaka la ugoni, mkewe adai fidia ya Milioni 100

Na mkishajenga uadui ni mwendo wa kukomoana tu. Kesi inaweza kuchukua hadi miaka 5 inapigwa kalenda tu. Kuna dada mmoja Muha , alijifanya mjanja amekuwa kazi yake ni kushinda mahakamani kesi haiishi. Mawakili wamemkimbia maana hana hela ya kuwalipa. Kila leo anaenda kwa waganga kuloga lakini wapi. Mkishazaa haitakiwa kuwa maadau, mnaumiza watoto na kupotezeana muda. Mimi niliona ujinga kuanza kufungua sijui kesi za ugoni na ushahifi nilikuwa nao. Nikaona naweza poteza muda ambao ningeweza kuutumiaa kuzalisha zaidi ya ninachokidai.
Uadui haufai,hata kama yeye anakufanyia uadui,we jaribu kumuepuka

Ova
 
Kweli...
Kuna mtu wangu wa karibu anatolewa machozi ,jasho na damu na mwanamke ..muha!
Kahama nyumbani mwenyewe afu anataka wagawane Mali!

Mume Ni muhadhiri hapo SUA.
Kuna mwamba ni mhadhiri UDSM, analea mwenyewe watoto toka 2010.
 
Alipiga chini mke wa kwanza lakini alimuacha Ile ya ondoka sikutaki tena, bibie akasepa Prof akavuta jiko kwa ndoa ya kiserikali ndio wajuba wakamsanua bi mkubwa kuwa Kuna mwanya wa kupiga pesa
Duh

Ova
 
Sijasema katumia S.160 ya LMA,1971 ya Presumption of Marriage,nilikuwa namaanisha kuwa zile assumptions/conditions zinazoruhusu kuoa au kuolewa kama zimetimizwa ndoa maana naongelea ndoa ya kwanza na siyo dhana ya ndoa ya kwanza(presumption of marriage)
Umechanganya Mambo kiongozi, ungetulia kwanza
 
Back
Top Bottom