Ndio maana nakwambia hii ni kesi mfu lengo ni kumchafulia Jina bwana Prof aonekane yeye ni mzinzi na ijulikane na watu kila kona ya nchi kwamba kuna Prof amefumwa na mkewe hilo ndio lengo la bibi Matrida hayo mengine hayamfikishi popote maana kesi haina mashiko uzani wa million 100 na scenario ya kesi haviendani,100m hiyo imenogesha kesi tu. Hata hiyo kuweka Prof. wa SUA lengo ilikua ni ku-draw attention kupata mileage/viewers/likes kwenye media
yaani lengo la Matilda unaweza kuta yupo vizuri il kiburi cha Bank Teller kutokubali ushauri akasema potelea mbali acha afungue shitaka la fidia ambayo ni aibu kwa wazazi wa Bank Teller, Taasisi, na hata taasisi ya SUA hata Familia ya Proff kwa kutofanya due deligence100m hiyo imenogesha kesi tu. Hata hiyo kuweka Prof. wa SUA lengo ilikua ni ku-draw attention kupata mileage/viewers/likes kwenye media
Ndo sheria inaeleza hivyo. So binti/marioo jiridhishe kabla hujapewa tamu ukikutwa wewe ni mzinzi tu.Brother ngoja ni share kidogo kuna jamaa alimkimbia mke wake huko mikoani akaenda Dar baada ya kufika huko na kukaa miaka mitatu akakutana na binti mmoja katika haya makanisa yetu ya kilokole basi yule baba akafunga ndoa kabisa na huyo binti wakadumu kwenye ndoa kwa miaka mitatu..
Baada ya miaka hiyo Yule mwanamke wa ndoa ya awali akasikia mshikaji alishaoa na anaishi na mke mwingine Dar dada wa watu akafunga safari hadi Dar kweli akathibitisha kuwa mshikaji alishaoa miaka mitatu iliyopita.
Yule mama alienda mahakamani kufile rehabilition ya ndoa yake na kuwa anataka ndoa yake walipelekeshana mahakamani mwisho wa siku yule aliyevamia ndoa aliambia ndoa ya pili ni batili kwa hiyo mke wa wali anahaki na ndoa yake na ndoa ya pili ilitenguliwa..
Kumbuka huyu hakudai fidia ya fumanizi yeye alitaka ndoa yake tu na huyo binti haki haikumuungali.
Kwa hiyo Angalizo kwa nyie mabinti mnaotaka kula chakula kilichokwisha pikwa hii casde itawaharabia maisha yenu na soon tutaona ongezeko la vichaa mirembe
Sasa huyo Matrida hilo ndio lengo lake kuchafua tu Ila sio kwamba atapewa million 100 kwa kikesi km hicho kafeli atunge kesi nyingine, case closed & dismissed until further noticeyaani lengo la Matilda unaweza kuta yupo vizuri il kiburi cha Bank Teller kutokubali ushauri akasema potelea mbali acha afungue shitaka la fidia ambayo ni aibu kwa wazazi wa Bank Teller, Taasisi, na hata taasisi ya SUA hata Familia ya Proff kwa kutofanya due deligence
Yule baba alisema mke wake alikuwa malaya sijui nini sababu kibao lakini Mahakama hawakumsikiliza badala yake alikuwa awarded ushindi wa case na huyo mdogo wangu aliyevamia ndoa hadi leo nipo naye karibu asije jitoa roho bure kwa aibu ya wazazi wake na jamii nzima.. HGuys issue ya mgogoro wa ndoa isikieni tu kwa jiraniNdo sheria inaeleza hivyo. So binti/marioo jiridhishe kabla hujapewa tamu ukikutwa wewe ni mzinzi tu.
Matilda atafaidi mgao baada ya divorce.Sasa huyo Matrida hilo ndio lengo lake kuchafua tu Ila sio kwamba atapewa million 100 kwa kikesi km hicho kafeli atunge kesi nyingine, case closed & dismissed until further notice
Cooooooourt
Huyo jamaa siku ya harusi/posa hakuwa na ndugu wala wazazi?Yule baba alisema mke wake alikuwa malaya sijui nini sababu kibao lakini Mahakama hawakumsikiliza badala yake alikuwa awarded ushindi wa case na huyo mdogo wangu aliyevamia ndoa hadi leo nipo naye karibu asije jitoa roho bure kwa aibu ya wazazi wake na jamii nzima.. HGuys issue ya mgogoro wa ndoa isikieni tu kwa jirani
hata ikiwa dismissed huyo bank teller atakuwa na furaha kazini, kwenmye jamii na familia yake au Huyo Prof atakuwa mentally sawa ..In short hapo case ni bandika bandua hii ngoma haipowi hata siku moja na itokee watoto wakateamup na mama yao Prof atajuta kukutana na bank teller kwenye club na kutangaza ndoaSasa huyo Matrida hilo ndio lengo lake kuchafua tu Ila sio kwamba atapewa million 100 kwa kikesi km hicho kafeli atunge kesi nyingine, case closed & dismissed until further notice
Cooooooourt
Umalaya ndio ADULTERY lazima uithibitishie mahakama (eg. mimba/mtoto ambayo imethibitishwa sio yako) ndo uthibitisho ambao hausumbui. Eti sijui umefuma Message au sijui kuchelewa kurudi nyubani!!Yule baba alisema mke wake alikuwa malaya sijui nini sababu kibao lakini Mahakama hawakumsikiliza badala yake alikuwa awarded ushindi wa case na huyo mdogo wangu aliyevamia ndoa hadi leo nipo naye karibu asije jitoa roho bure kwa aibu ya wazazi wake na jamii nzima.. HGuys issue ya mgogoro wa ndoa isikieni tu kwa jirani
brothe ndoa za mjini wazazi siunawachukuwa bar tu wakiwa wamejipigia kvant tena hata ndugu wa kuvuta na kamba au kabila moja .. Mkuu ulishawahi kutanana na mwanamke ambaye anahangover ya ndoa? Wengine hata mahali wanajilipia.. Acha kabisa haya mashela yanawafanya dada zetu muda mwingine kuwa mazuzuHuyo jamaa siku ya harusi/posa hakuwa na ndugu wala wazazi?
π Kwa hio amelenga divorce au amelenga ugoni au hajui anataka nini?, haya ndio matatizo ya kukurupuka unapigwa huku ndoige kabla haujainuka unapigwa sukunyo sijui, aisee mama Matrida umeyakanyaga bora ungeyamaliza kimya kimya bila kupaza sautiMatilda atafaidi mgao baada ya divorce.
Amelenga kumchafua Prof na Maliπ Kwa hio amelenga divorce au amelenga ugoni, haya ndio matatizo ya kukurupuka unapigwa huku ndoige kabla haujainuka unapigwa sukunyo sijui, aisee mama Matrida umeyakanyaga bora ungeyamaliza kimya kimya bila kupaza sauti
Mmhbrothe ndoa za mjini wazazi siunawachukuwa bar tu wakiwa wamejipigia kvant tena hata ndugu wa kuvuta na kamba au kabila moja .. Mkuu ulishawahi kutanana na mwanamke ambaye anahangover ya ndoa? Wengine hata mahali wanajilipia.. Acha kabisa haya mashela yanawafanya dada zetu muda mwingine kuwa mazuzu
Yaan amelenga nini haswa ugoni au kupita na Mali? π Kwanza million 100 kashakosa, haya kingine nini divorce unatumia kifungu kipi kupatia divorce?Amelenga kumchafua Prof na Mali
Matilda ndio anastahili Uprofesa kwa sasa.Yaan amelenga nini haswa ugoni au kupita na Mali? π Kwanza million 100 kashakosa, haya kingine nini divorce unatumia kifungu kipi kupatia divorce?
Hivi shitaka,anaposomewa muhusika kuna ulazima gani kuhusisha na offisi anayofanyia kazi kwanini inakua ni identity rti bank teller crdb kwanza hapo ni kuchafua brand za watu pasipo ulazima mahusisno yao yapo nje ya offisi wanazofanyia kazihata ikiwa dismissed huyo bank teller atakuwa na furaha kazini, kwenmye jamii na familia yake au Huyo Prof atakuwa mentally sawa ..In short hapo case ni bandika bandua hii ngoma haipowi hata siku moja na itokee watoto wakateamup na mama yao Prof atajuta kukutana na bank teller kwenye club na kutangaza ndoa
Mwanaume hafumaniwihata ikiwa dismissed huyo bank teller atakuwa na furaha kazini, kwenmye jamii na familia yake au Huyo Prof atakuwa mentally sawa ..In short hapo case ni bandika bandua hii ngoma haipowi hata siku moja na itokee watoto wakateamup na mama yao Prof atajuta kukutana na bank teller kwenye club na kutangaza ndoa
We pangu pakavu kweli, π Matrida akili fupi kafungua kesi haina mashiko akitegemea atakula million 100 ajiandae kuwalipa mawakili tu hio million 100 hapati ng'oMatilda ndio anastahili Uprofesa kwa sasa
Mkuu bila hata kutamka upo team gani kwenye hii kesi ila unajipamabanua live na tunashukuruWe pangu pakavu kweli, π Matrida akili fupi kafungua kesi haina mashiko akitegemea atakula million 100 ajiandae kuwalipa mawakili tu hio million 100 hapati ng'o