Morogoro: Profesa wa SUA afikishwa Mahakamani kwa shitaka la ugoni, mkewe adai fidia ya Milioni 100

100m hiyo imenogesha kesi tu. Hata hiyo kuweka Prof. wa SUA lengo ilikua ni ku-draw attention kupata mileage/viewers/likes kwenye media
Ndio maana nakwambia hii ni kesi mfu lengo ni kumchafulia Jina bwana Prof aonekane yeye ni mzinzi na ijulikane na watu kila kona ya nchi kwamba kuna Prof amefumwa na mkewe hilo ndio lengo la bibi Matrida hayo mengine hayamfikishi popote maana kesi haina mashiko uzani wa million 100 na scenario ya kesi haviendani,
 
100m hiyo imenogesha kesi tu. Hata hiyo kuweka Prof. wa SUA lengo ilikua ni ku-draw attention kupata mileage/viewers/likes kwenye media
yaani lengo la Matilda unaweza kuta yupo vizuri il kiburi cha Bank Teller kutokubali ushauri akasema potelea mbali acha afungue shitaka la fidia ambayo ni aibu kwa wazazi wa Bank Teller, Taasisi, na hata taasisi ya SUA hata Familia ya Proff kwa kutofanya due deligence
 
Ndo sheria inaeleza hivyo. So binti/marioo jiridhishe kabla hujapewa tamu ukikutwa wewe ni mzinzi tu.
 
Sasa huyo Matrida hilo ndio lengo lake kuchafua tu Ila sio kwamba atapewa million 100 kwa kikesi km hicho kafeli atunge kesi nyingine, case closed & dismissed until further notice

Cooooooourt
 
Arusha ipo sana. Kijana (Rasta) mwenye ndoa (anakana Ndoa na mkewe mweusi) anajitongozesha kwa Mzungu wanaenda kwao Ulaya wanaoana na baada ya kumchuna mzungu ama anakimbia kurudi au mzungu anadanganywa kuwa yule mke ni dada na wale ni watoto wa dada. NJAA MBAYA SANA.
 
Ndo sheria inaeleza hivyo. So binti/marioo jiridhishe kabla hujapewa tamu ukikutwa wewe ni mzinzi tu.
Yule baba alisema mke wake alikuwa malaya sijui nini sababu kibao lakini Mahakama hawakumsikiliza badala yake alikuwa awarded ushindi wa case na huyo mdogo wangu aliyevamia ndoa hadi leo nipo naye karibu asije jitoa roho bure kwa aibu ya wazazi wake na jamii nzima.. HGuys issue ya mgogoro wa ndoa isikieni tu kwa jirani
 
Sasa huyo Matrida hilo ndio lengo lake kuchafua tu Ila sio kwamba atapewa million 100 kwa kikesi km hicho kafeli atunge kesi nyingine, case closed & dismissed until further notice

Cooooooourt
Matilda atafaidi mgao baada ya divorce.
 
Huyo jamaa siku ya harusi/posa hakuwa na ndugu wala wazazi?
 
Sasa huyo Matrida hilo ndio lengo lake kuchafua tu Ila sio kwamba atapewa million 100 kwa kikesi km hicho kafeli atunge kesi nyingine, case closed & dismissed until further notice

Cooooooourt
hata ikiwa dismissed huyo bank teller atakuwa na furaha kazini, kwenmye jamii na familia yake au Huyo Prof atakuwa mentally sawa ..In short hapo case ni bandika bandua hii ngoma haipowi hata siku moja na itokee watoto wakateamup na mama yao Prof atajuta kukutana na bank teller kwenye club na kutangaza ndoa
 
Umalaya ndio ADULTERY lazima uithibitishie mahakama (eg. mimba/mtoto ambayo imethibitishwa sio yako) ndo uthibitisho ambao hausumbui. Eti sijui umefuma Message au sijui kuchelewa kurudi nyubani!!
 
Huyo jamaa siku ya harusi/posa hakuwa na ndugu wala wazazi?
brothe ndoa za mjini wazazi siunawachukuwa bar tu wakiwa wamejipigia kvant tena hata ndugu wa kuvuta na kamba au kabila moja .. Mkuu ulishawahi kutanana na mwanamke ambaye anahangover ya ndoa? Wengine hata mahali wanajilipia.. Acha kabisa haya mashela yanawafanya dada zetu muda mwingine kuwa mazuzu
 
Matilda atafaidi mgao baada ya divorce.
πŸ˜† Kwa hio amelenga divorce au amelenga ugoni au hajui anataka nini?, haya ndio matatizo ya kukurupuka unapigwa huku ndoige kabla haujainuka unapigwa sukunyo sijui, aisee mama Matrida umeyakanyaga bora ungeyamaliza kimya kimya bila kupaza sauti
 
πŸ˜† Kwa hio amelenga divorce au amelenga ugoni, haya ndio matatizo ya kukurupuka unapigwa huku ndoige kabla haujainuka unapigwa sukunyo sijui, aisee mama Matrida umeyakanyaga bora ungeyamaliza kimya kimya bila kupaza sauti
Amelenga kumchafua Prof na Mali
 
Mmh
 

Attachments

  • mfungua_code_insta2_1674487160536842.mp4
    4.7 MB
Yaan amelenga nini haswa ugoni au kupita na Mali? πŸ˜† Kwanza million 100 kashakosa, haya kingine nini divorce unatumia kifungu kipi kupatia divorce?
Matilda ndio anastahili Uprofesa kwa sasa.
 
Hivi shitaka,anaposomewa muhusika kuna ulazima gani kuhusisha na offisi anayofanyia kazi kwanini inakua ni identity rti bank teller crdb kwanza hapo ni kuchafua brand za watu pasipo ulazima mahusisno yao yapo nje ya offisi wanazofanyia kazi
 
Mwanaume hafumaniwi

Ushaelewa au nikuongezee sauti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…