Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Ndiyo hivyo vinavyofanya wakimbie ndoa zao za awali.Niliwahi kufanya na baadhi yao project flani asee walikuwa wakija field wako na videmu vyao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo hivyo vinavyofanya wakimbie ndoa zao za awali.Niliwahi kufanya na baadhi yao project flani asee walikuwa wakija field wako na videmu vyao
Tutajie kifungu cha sheria mkuu tujifunze sote.Tanzania sheria inaruhusu mitala hapo hamna kesi
Halafu ni wababa watu wazima...Ndiyo hivyo vinavyofanya wakimbie ndoa zao za awali.
Haya sawa.Hawana mushahara mikubwa kihivyo .
ukumbuke, fidia ya ugoni anayelipa sio mwanandoa. Hapo Prof ameshtakiwa sababu ndio mwanandoa lakini anayedaiwa fidia ni yule aliyeolewa (mama wa benki)Baada ya ugoni ataomba talaka then mgawo
Halafu ndoa zikivunjika analaumiwa mwanamke, shida sana.Halafu ni wababa watu wazima...
Prof D
Prof A
Prof Z
Yani the list continues
Ndo hivyo watajua wenyeweHalafu ndoa zikivunjika analaumiwa mwanamke, shida sana.
Nishapitia makesi hayo mkuuMzee kwenye maelezo ya talaka uko deep lazima kuna kitu sio bure
Maana uadui,chuki unakuwa ushaingia kati yaoHizi za hivi ni chache mno hapa bongo. Nyingi ni mtiti mtiti
Ni kweli kabisa. Na huyu dada anaweza kujitetea kuwa alikuwa hajui kama prof kaoa. Halafu mahakama ndio inaamua fidia sio unajipangia kiwango chako tuukumbuke, fidia ya ugoni anayelipa sio mwanandoa. Hapo Prof ameshtakiwa sababu ndio mwanandoa lakini anayedaiwa fidia ni yule aliyeolewa (mama wa benki)
Kuna janjajanja kibao, ukiingia kichwa kichwa unaangukia pua maana sheria haziko waziNishapitia makesi hayo mkuu
Nishapelekwa mahakamani kwa kesi hiyo,nishapelekwa mahakamani kwa kesi zetu zile zingine....yjanjajanja
Mahakamani hakufai in short
Maana ukishakuwa na issue huko
Kichwa chako muda wote unafikiria kuhusu kesi [emoji1]
Tukirudi kwenye kesi za ndoa civil case,nyingi badayee zinageuka kuwa criminal case
Ova
Mahakamani uwanja wa vitaKuna janjajanja kibao, ukiingia kichwa kichwa unaangukia pua maana sheria haziko wazi
Hapo sasa aushinde moyoNjia rahisi ya kusuluhisha hili; ni profesa akaanze maisha upya na huyo mke aliyemuoa oktoba 2022, na amuachie mke mkubwa zile mali zote walizochuma wakiwa pamoja na mke mkubwa (mlalamikaji)
elewa huyu hadai talaka anadai fidia ya Ugoni hii ni dai tofauti na fidia baada ya talakaHii kesi mama kashashindwa mapeeema, yaan bora angeenda kanisani angesaidiwa angalau km angeshindwa ndio angeenda mahakamani kwa ushauri wa baba paroko kwamba huku tumewashindwa nendeni mahakamani na barua wanapewa, sasa hukurupuki tu kukimbilia mahakamani unaikimbilia Marriage Act je! umefuata procedure ulienda kanisani kupata suluhu mkashindwana na kupewa kibari cha kwenda mahakamani au kalidharau kanisa?
Ha ha ha ha Kila mtu na msalaba wakeNdo hivyo watajua wenyewe
siyo dini ni nyie wanandoa baada ya kutoka honeymoon mnaenda kuisajili serikalini hasa mkitaka kubadilisha ubini wa muolewajiVyeti viwili vya ndoa? Cha kidini na Serikali? Hii ni habari mpya kwangu! Dini gani wanafanya hivyo?
huyu mbona kama Bank Teller kwa majibu yake... hahahahahahahWewe hujafuatilia huyo Mama anacholilia 100M sio ugoni anacholilia ni ndoa ya pili kwamba Prof amefunga ndoa ya pili amlipe 100M, rudia tena kusoma acha kukaza fuvu hilo la ugoni limemuongezea uzito tu Ila anacholilia ni kwamba Prof kafunga ndoa ya pili amlipe 100M, elewa ndio ukosoe, yaan unataka kusema amemfuma ugoni ndio amlipe 100M? Jichunguze
Sasa unakuta mmoja ndio anahitaji kuvunja na mwingine hayupo ready na unakuta yeye ndio tatizoMfano kama waliyopo kwenye ndoa
Hawana maelewano mazuri
Na wanataka pigana chini mahakamani kwa makubaliano,waliyoafikiana wao wenyewe.....
Kila mmoja anaweza tumia mwanasheria wake,baada ya kuafikiana kuna kitu wanatengeneza kinaitwa deed of settlement,ina draftiwa na kuandika walichokubaliana wana sign wote wawili,inapelekwa mahakamani...inakuwa registered
Mahakama itaipitia mahakama ikiridhia inatoa talaka...tena hii ni njiaa
Fupi no stress,sema sasa lazima wote waridhiane kuachana kiroho safi
Ova