Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Kwa sheria ipi? hivi unafikiri Mahakama ingeruhusu kesi ifunguliwe ikiwa hawana kesi hapo? Kasome Sheria ya Ndoa (1971)72Hakuna kesi hapo, huyo mama waliomwambia afungue kesi kisa ugoni wamemuingiza choo cha kike