Morogoro: Profesa wa SUA afikishwa Mahakamani kwa shitaka la ugoni, mkewe adai fidia ya Milioni 100

Morogoro: Profesa wa SUA afikishwa Mahakamani kwa shitaka la ugoni, mkewe adai fidia ya Milioni 100

Arusha ipo sana. Kijana (Rasta) mwenye ndoa (anakana Ndoa na mkewe mweusi) anajitongozesha kwa Mzungu wanaenda kwao Ulaya wanaoana na baada ya kumchuna mzungu ama anakimbia kurudi au mzungu anadanganywa kuwa yule mke ni dada na wale ni watoto wa dada. NJAA MBAYA SANA.
in short bank teller hana tofauti na aliyoyaakanyaga mdogo wangu Jack wa Mengi hakuna atakachorithi anadanganywa tu.. naamini prof agewise ameshastaafu na hili sekeseke sijui
 
in short bank teller hana tofauti na aliyoyaakanyaga mdogo wangu Jack wa Mengi hakuna atakachorithi anadanganywa tu.. naamini prof agewise ameshastaafu na hili sekeseke sijui
Hapo labda tu huyo jamaa awe na utu. Japo ilipaswa ianze kuanzia day 1 amuandalie vitu vyake separate (Jack alianzishiwa mpaka Furniture centre ila ndo vile). Lakini, kwa nn wanawake hudhani wao ni wa kusaidiwa tu? huyo ndugu yako ni mlemavu asiyeweza kufanya kazi mpaka abaki kuuza nyapu kwa strangers?
 
Mkuu bila hata kutamka upo team gani kwenye hii kesi ila unajipamabanua live na tunashukuru
mimi ningemuona mdau amshauri bank teller na wengine kama bank teller waache kutafuta maisha yashortcut......watafute vijana wenzao watengeneze legacy yao na brand yao najua hata huyo bank teller angekuwa upande wa matilda siamini kama angekubali kuwa grounded hivyo.... kwa brand uliyoijenga toka ujana wako.
 
mimi ningemuona mdau amshauri bank teller na wengine kama bank teller waache kutafuta maisha yashortcut......watafute vijana wenzao watengeneze legacy yao na brand yao najua hata huyo bank teller angekuwa upande wa matilda siamini kama angekubali kuwa grounded hivyo.... kwa brand uliyoijenga toka ujana wako.
Bank teller mshahara hauzidi 400,000/= TSH lini ataweza kununua plot, kujenga, IST na iPhone? Kipochi manyoya (ndoa za mchongo) ndio njia rahisi kufikia yote kwa muda mfupi.
 
mimi ningemuona mdau amshauri bank teller na wengine kama bank teller waache kutafuta maisha yashortcut......watafute vijana wenzao watengeneze legacy yao na brand yao najua hata huyo bank teller angekuwa upande wa matilda siamini kama angekubali kuwa grounded hivyo.... kwa brand uliyoijenga toka ujana wako.
Sina wa kumshauri Ila nyinyi mnaangalia personality za mtu mimi naangalia kesi ilivyo hapo ndio tupo separate ways,
 
Hoja yako hasa ni ipi? kuwa hamna adultery?
Nyinyi mnajaji vyeo vyao ndio nnapowaona mnakosea mahakamani hawaangalii cheo, yes ni utambulisho wako lakini hawatoi maamuzi kwa kuangalia wewe bank teller au wewe ni Matrida mama wa nyumbani au wewe ni Prof wa SUA, copy that?
 
Bank teller mshahara hauzidi 400,000/= TSH lini ataweza kununua plot, kujenga, IST na iPhone? Kipochi manyoya (ndo za mchongo) ndio njia rahisi kufikia yote kwa muda mfupi.
sasa unatafuta kufika mbali kwa mtu ambaye hata kuwa naye huru unaogopa yuko age of 65..kweli Mwanamke sijui alichoongea na nyoka bustanini huenda ndiyo hiki cha kupenda kuolewa na baba zao wengine vibabu vya kizungu..huu upofu wa fikira unafundishwa wapi...kwa nini mwanamke aamini kuwa mwanaume wa mZURI KWA SASA NI HUYU WA AGE KUANZIA 40 +
 
Nyinyi mnajaji vyeo vyao ndio nnapowaona mnakosea mahakamani hawaangalii cheo, yes ni utambulisho wako lakini hawatoi maamuzi kwa kuangalia wewe bank teller au wewe ni Matrida mama wa nyumbani au wewe ni Prof wa SUA, copy that?
Sheria haijataja vyeo lakini (ambayo mahakama itaitumia kufanya ruling) au wewe unatumia sheria ipi?
 
Sheria haijataja vyeo? au wewe unatumia sheria ipi?
Evidence of character

Rejea kusoma Evidence Act utaelewa nnachomaanisha, nyinyi mnaangalia maamuzi yatatolewa kwa kuangalia cheo cha mtu au muonekano wa mtu hell no wanaweza hata wasiwe na kosa la ugoni Ila Matrida kapika kesi kwa sababu zake binafsi you never know
 
Nyinyi mnajaji vyeo vyao ndio nnapowaona mnakosea mahakamani hawaangalii cheo, yes ni utambulisho wako lakini hawatoi maamuzi kwa kuangalia wewe bank teller au wewe ni Matrida mama wa nyumbani au wewe ni Prof wa SUA, copy that?
Ila Mkuu Wakili Msomi kweli hata kama bank teller amekuweka kama Taem ya wakili wake hata kama mnampango wa kuitupilia mbali kwa illegulaties na technical mistake katika ufunguaji wa shauri off which siamini kama upo lakini nimekupenda umekuwa na ukweli kuwa shauri lina mashiko ila unampa muongozo kuwa angeenza na hatua fulani ambapo huo ushauri nao nautilia mashaka unataka kumuingiza chaka ili mmpige goli la mkono.. Nashauri Dada yangu Matilda usifanye withdraw na refilling upya kama huyu jamaa anavyotaka kufanya kuna kaujanja fulani katumwa.. Be carefull..
 
M
Evidence of character

Rejea kusoma Evidence Act utaelewa nnachomaanisha, nyinyi mnaangalia maamuzi yatatolewa kwa kuangalia cheo cha mtu au muonekano wa mtu hell no wanaweza hata wasiwe na kosa la ugoni Ila Matrida kapika kesi kwa sababu zake binafsi you never knowMk

Mkuu hakuna mahala ambapo mfano mimi nimesema mahakama itaangalia cheo cha mtu ila hilo linaweza likawa la kinidhamu ndani ya taasisi husika pale ambapo taasis inapoteza imani ya intergrity ya mfanyakazi kuwa chanzo cha mteja wake kuingia kwenye mgogoro wa kindoa
 
Back
Top Bottom