Morogoro: Profesa wa SUA afikishwa Mahakamani kwa shitaka la ugoni, mkewe adai fidia ya Milioni 100

Morogoro: Profesa wa SUA afikishwa Mahakamani kwa shitaka la ugoni, mkewe adai fidia ya Milioni 100

M


Mkuu hakuna mahala ambapo mfano mimi nimesema mahakama itaangalia cheo cha mtu ila hilo linaweza likawa la kinidhamu ndani ya taasisi husika pale ambapo taasis inapoteza imani ya intergrity ya mfanyakazi kuwa chanzo cha mteja wake kuingia kwenye mgogoro wa kindoa
Well fine taja cheo cha Matrida ni nani mwalimu?
 
Damu changa tamu unamkuta mtoto chuchu mwiba sauti inahamasisha kwanin usiuze mechi na unajua mwanaume hakatai you never know labda teller ndie aliemuanza Prof akamaliza
Na Yale mataa ya mule branch lazima prof aliingia mzima-mzima. Sijawahi kuona bank teller mbovu labda kule NBC na Tena wale Ni wazee japo si wabovu.
 
Na Yale mataa ya mule branch laza prof aliingia mzima-mzima
teller aliona balance akaanza fake smile mara prof niachie nitakuletea deposit slip...bank teller wanatongoza jamaniacheni kuna mmoja branch moja wanampelekea moto yaani kila mwenye balance kubwa jioni ndiyo to do list kuwajulia hali haki yaani prof muache alikanyage
 
teller aliona balance akaanza fake smile mara prof niachie nitakuletea deposit slip...bank teller wanatongoza jamaniacheni kuna mmoja branch moja wanampelekea moto yaani kila mwenye balance kubwa jioni ndiyo to do list kuwajulia hali haki yaani prof muache alikanyage
Kayakanyaga. Ila Matilda angetumia njia ya kienyeji tu kushughulika na bank teller hiyo hamna kushindwa
 
siyo huyo ni mnufaika na hii case upande wa bank teller au ndiyo bank teller mwenyewe yeye haoni damage aliyofanyiwa Matilda kwa kipindi chote cha ndoa yake ya ujana wake.
Ndo maana tunasisitiza Matilda atumie njia za kiasili kumthibiti huyo bank teller kimya kimya
 
Back
Top Bottom