Kweli. Katupa kule wa kwanza halafu kaoa. Ni sawa na kurejesha muamala uliopoteaHajaongeza mke hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli. Katupa kule wa kwanza halafu kaoa. Ni sawa na kurejesha muamala uliopoteaHajaongeza mke hapo
Well fine taja cheo cha Matrida ni nani mwalimu?M
Mkuu hakuna mahala ambapo mfano mimi nimesema mahakama itaangalia cheo cha mtu ila hilo linaweza likawa la kinidhamu ndani ya taasisi husika pale ambapo taasis inapoteza imani ya intergrity ya mfanyakazi kuwa chanzo cha mteja wake kuingia kwenye mgogoro wa kindoa
Akilipwa huyu Sigareti hiyo milioni 100 na mm navunja yanguKajipa pension ya Milioni 100.
Imeweka options 3. Unachagua mojawapo wakati ukijiapiza kwa mwenza wakoSerikali inakataza kuoa mke mwengine?
Nq prof naye kwa jicho la kiprofesa anaweza kuwa kaona upenyo wa kutokeaHapo huyo mwanamke wa crdb anaweza akajitetea,mm sijujuwa kama huyu alikuwa mme wa mtu
Msala anamuachia Prof wa sua tu
Yeye anachomoka
Ova
Labda alipwe mabox 100 ya cigarettes Ila sio million 100, 😆Akilipwa huyu Sigareti hiyo milioni 100 na mm navunja yangu
Hauchagui Bali sifa (ikiwemo dini/Imani) inakulazimisha pa kujaza.Imeweka options 3. Unachagua mojawapo wakati ukijiapiza kwa mwenza wako
Damu changa tamu unamkuta mtoto chuchu mwiba sauti inahamasisha kwanin usiuze mechi na unajua mwanaume hakatai you never know labda teller ndie aliemuanza Prof akamalizaNq prof naye kwa jicho la kiprofesa anaweza kuwa kaona upenyo wa kutokea
Umeshaambiwa huyo Ni Prof wa njia ya mkojo na viumbe jadidi mambo ya sheria za ndoa ndo Prof Matilda kampitisha word to word.Nq prof naye kwa jicho la kiprofesa anaweza kuwa kaona upenyo wa kutokea
Acha kumpaishaProf Matilda kampitisha word to word
Na Yale mataa ya mule branch lazima prof aliingia mzima-mzima. Sijawahi kuona bank teller mbovu labda kule NBC na Tena wale Ni wazee japo si wabovu.Damu changa tamu unamkuta mtoto chuchu mwiba sauti inahamasisha kwanin usiuze mechi na unajua mwanaume hakatai you never know labda teller ndie aliemuanza Prof akamaliza
Sasa kama ulijaza ndoa ya mke mmoja unategemea nini? Unadhani wanaofile divorce mahakamani ni wajinga?Serikali inakataza kuoa mke mwengine?
Why una chuki na Prof Matilda?Acha kumpaisha
Hakuna alipoandwikwa kua huyo mleta mashtaka ni Prof,Why una chuki na Prof Matilda?
Unajua maana ya Prof.?Hakuna alipoandwikwa kua huyo mleta mashtaka ni Prof,
teller aliona balance akaanza fake smile mara prof niachie nitakuletea deposit slip...bank teller wanatongoza jamaniacheni kuna mmoja branch moja wanampelekea moto yaani kila mwenye balance kubwa jioni ndiyo to do list kuwajulia hali haki yaani prof muache alikanyageNa Yale mataa ya mule branch laza prof aliingia mzima-mzima
Kayakanyaga. Ila Matilda angetumia njia ya kienyeji tu kushughulika na bank teller hiyo hamna kushindwateller aliona balance akaanza fake smile mara prof niachie nitakuletea deposit slip...bank teller wanatongoza jamaniacheni kuna mmoja branch moja wanampelekea moto yaani kila mwenye balance kubwa jioni ndiyo to do list kuwajulia hali haki yaani prof muache alikanyage
siyo huyo ni mnufaika na hii case upande wa bank teller au ndiyo bank teller mwenyewe yeye haoni damage aliyofanyiwa Matilda kwa kipindi chote cha ndoa yake ya ujana wake.Why una chuki na Prof Matilda?
Ndo maana tunasisitiza Matilda atumie njia za kiasili kumthibiti huyo bank teller kimya kimyasiyo huyo ni mnufaika na hii case upande wa bank teller au ndiyo bank teller mwenyewe yeye haoni damage aliyofanyiwa Matilda kwa kipindi chote cha ndoa yake ya ujana wake.
matilida ajishughulikieKayakanyaga. Ila Matilda angetumia njia ya kienyeji tu kushughulika na Matilda hiyo hamna kushindwa