Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni pale sheria za kijinga zitakapoondolewa, kurithishana vyeo kukomeshwa na wahujumu uchumi kuanza kunyongwaSIKU TANZANIA ITAKAPOACHA UJINGA ITAFANANA NA CHINA
Mkuu, nimekusoma ni kama vile nzi atakapoacha ujinga atafanana na nyuki.SIKU TANZANIA ITAKAPOACHA UJINGA ITAFANANA NA CHINA
Nyaya zimekatwa ? Na kuziunganisha ndio ikachukua masaa 4🤔Mtaambiwa tu kuna hujuma ilikuwa imefanyika mahali nyaya zilikatwa.
Ndicho mkitarajie hicho.
Ukiwa unasema hivi uwe unatoa na suggestions tufanye nini kuepuka haya.Hili tulilitegemea tu! tofauti ni kwamba limeanza mapema mno
Mswahili anawea vitu 3Hii habari itawafurahisha wengi sana.
HATERS.
Hata nikitoa mapendekezo hawatoyafanyia kaziUkiwa unasema hivi uwe unatoa na suggestions tufanye nini kuepuka haya.
Sasa si mpaka ujue hizo nyaya zimekatwa eneo gani au unadhani ni nyaya za engine ya treni?Nyaya zimekatwa ? Na kuziunganisha ndio ikachukua masaa 4🤔