Morogoro: Watu 22 Wamefariki dunia kwenye ajali ya Basi la Ahmed linalofanya safari kati ya Tanga-Mbeya. Limegongana na Lori

Morogoro: Watu 22 Wamefariki dunia kwenye ajali ya Basi la Ahmed linalofanya safari kati ya Tanga-Mbeya. Limegongana na Lori

Sio tuu umakini,Tzn hii tuna viongozi wajinga Sana wanathamini pesa kuliko gharama.

Hiyo ndio barabara kuu Tzn yenye traffick kubwa lakini cha ajabu ni single carriage,we drive on opposite direction.

Serikali iache upuuzi, barabara hiyo yote kutoka Dar hadi Tunduma ijengwe kwa dual carriage with multiple lanes kutegemea maeneo.
lile shetani lilokufa nasikia lilikataa kuipanua
 
Salamu za rambirambi

Screenshot_20220319-084008.png
 
Yaan Dereva Aovertake Bodaboda kisa ni left hand asione Mbele?? Serious? Yaan bodaboda imemzuia Dereva asione mbele ryt?
Hapo kuna uzembe na moja ya Uzembe ni Maamuzi. Kutokufanya Maamuzi sahihi kwa wakati sahihi.

Pili tunarud katika Imani... Ni kwamba Mwenyezi Mungu kapanga hilo litokee...
Pole kwa ndugu na Jamaa na sote tuendelee kuwa Makini kisha tutangulize Maombi.
 
Ajali mbaya maeneo ya Mzumbe maiti ni nyingi.

Walioko Mzumbe tujuzeni basi la Mbeya.

UPDATE:

1). Basi la kampuni ya Ahmed Coach linalofanya safari Kati ya Tanga kuelekea Mbeya, limepata ajali maeneo ya Sangasanga Mkoani Morogoro muda si Mrefu, chanzo na Habari zingine tutatoa baada ya uchunguzi kufanyika.

UPDATES;

2). Watu 13 wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha basi la Kampuni ya Ahmeed baada ya kugongana uso kwa uso na lori lililokuwa likisafirishwa kwenda nje ya nchi lenye namba za IT 2816 katika eneo la Melela Kibaoni Barabara kuu ya Morogoro-Iringa.

Kamanda wa Polisi Mkoani Morogoro Fortunatus Muslim amethibitisha kutokea kwa ajalim hiyo.

UPDATES;

3). Morogoro. Vilio na simanzi vimesikika kila kona katika eneo la Malela Kibaoni wilayani Mvomero, Morogoro kufuatia ajali iliyohusisha basi la abiria na lori la mizigo.

Katika ajali hiyo, watu kadhaa wamejeruhiwa wakati lori lenye namba za usajili za IT 2816 lilikuwa likitokea Dar es Salaam kwenda DR Congo kugongana uso kwa uso na basi la kampuni ya Ahmeed lenye namba za usajili T732 ATH.

Akizungumza na Mwananchi, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Fortunatus Muslim amesema ajali hiyo imetokea leo saa 10.30 jioni na kusababisha vifo vya watu 16.

Kamanda Muslim amesema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa lori hilo kujaribu kumkwepa mwendesha pikipiki maarufu bodaboda hivyo, kupoteza mwelekeo na kukutana na basi hilo uso kwa uso.

Kwa mujibu wa Kamanda Muslim, basi hilo lilikuwa likitokea Mbeya kwenda Dar es Salaam. Miili ya marehemu hao imehifadhiwa kwenye Hospitali ya Mkoa wa Morogoro huku majeruhi wakiendelea kupatiwa matibabu hospitalini hapo.

Hata hivyo, Kamanda Muslim ametahadharisha kuwa idadi ya vifo inaweza kuongezeka kwa kuwa, kazi ya uokoaji bado inaendelea kwenye eneo hilo.
---
Rais Samia Suluhu kupitia akaunti yake rasmi ya Twitter ametoa salamu za rambirambi kufuatia ajali hiyo.

Ameandika

Nimesikitishwa na vifo vya watu 22 vilivyosababishwa na ajali ya basi kugongana na lori katika eneo la Melea Kibaoni, Morogoro.

Nawapa pole wafiwa, nawaombea Marehemu wapumzike mahali pema na majeruhi wapone haraka.

Nawasihi watumiaji wa barabara kuzingatia sheria za barabarani.
View attachment 2155817


View attachment 2155660View attachment 2155661
View attachment 2155663
View attachment 2155702
Basi lilikuwa linatoka Mbeya linakwenda Tanga na siyo Dar es Salaam.
 
Acha usukuma gang mkuu, hii ni habari ya msiba, jaribu kujiheshimu basi
DUH kumlimiki smart phone hakukufanyi ukawa na reasoning kumbe? Umeshindwa hata kujiuliza msiba umesababishwa nini? Nadhan ungepaza sauti sauti kuhusu uzembe wa medreva unaomaliza maisha ya watanzania. Juzi kuna ajali imetokea sijui Songwe au Songea sababu unaambiwa dereva alikuwa ana overtake gari ikapoteza muelekeo, ikafuatia Tanga gari imeharibika njiani coaster imetoka huko speed anasimamishwa badala ya kusimama kaongeza mafuta gari ikaenda ikasomba watu waliojitokeza kutoa msaada kwa ile gari iliyokuwa imeharibika. Hiyo hapo unaambiwa dereva wa HOWO IT alikuwa anajaribu kuipita pikipiki kaingia upande ambao siyo wake kagongana na basi.
Kwa akili yako hujaona shida iko wapi? wewe miongoni mwa wapuuzi wachache ambao ajali ikitokea badala ya kutafuta chanzo unasema ilipangwa na Mungu, hakuna ajali inayopangwa na Mungu hata moja. Get up your mind you a** h**le
 
Yaan Dereva Aovertake Bodaboda kisa ni left hand asione Mbele?? Serious? Yaan bodaboda imemzuia Dereva asione mbele ryt?
Hapo kuna uzembe na moja ya Uzembe ni Maamuzi. Kutokufanya Maamuzi sahihi kwa wakati sahihi.

Pili tunarud katika Imani... Ni kwamba Mwenyezi Mungu kapanga hilo litokee...
Pole kwa ndugu na Jamaa na sote tuendelee kuwa Makini kisha tutangulize Maombi.
katika jambo ambalo limenishangaza ni hili, marabkumi wangesema ame overtake kwenye corner.

ngoja tusubiri report ya afisa usalama barabarani.
 
Ajali mbaya maeneo ya Mzumbe maiti ni nyingi.

Walioko Mzumbe tujuzeni basi la Mbeya.

UPDATE:

1). Basi la kampuni ya Ahmed Coach linalofanya safari Kati ya Tanga kuelekea Mbeya, limepata ajali maeneo ya Sangasanga Mkoani Morogoro muda si Mrefu, chanzo na Habari zingine tutatoa baada ya uchunguzi kufanyika.

UPDATES;

2). Watu 13 wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha basi la Kampuni ya Ahmeed baada ya kugongana uso kwa uso na lori lililokuwa likisafirishwa kwenda nje ya nchi lenye namba za IT 2816 katika eneo la Melela Kibaoni Barabara kuu ya Morogoro-Iringa.

Kamanda wa Polisi Mkoani Morogoro Fortunatus Muslim amethibitisha kutokea kwa ajalim hiyo.

UPDATES;

3). Morogoro. Vilio na simanzi vimesikika kila kona katika eneo la Malela Kibaoni wilayani Mvomero, Morogoro kufuatia ajali iliyohusisha basi la abiria na lori la mizigo.

Katika ajali hiyo, watu kadhaa wamejeruhiwa wakati lori lenye namba za usajili za IT 2816 lilikuwa likitokea Dar es Salaam kwenda DR Congo kugongana uso kwa uso na basi la kampuni ya Ahmeed lenye namba za usajili T732 ATH.

Akizungumza na Mwananchi, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Fortunatus Muslim amesema ajali hiyo imetokea leo saa 10.30 jioni na kusababisha vifo vya watu 16.

Kamanda Muslim amesema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa lori hilo kujaribu kumkwepa mwendesha pikipiki maarufu bodaboda hivyo, kupoteza mwelekeo na kukutana na basi hilo uso kwa uso.

Kwa mujibu wa Kamanda Muslim, basi hilo lilikuwa likitokea Mbeya kwenda Dar es Salaam. Miili ya marehemu hao imehifadhiwa kwenye Hospitali ya Mkoa wa Morogoro huku majeruhi wakiendelea kupatiwa matibabu hospitalini hapo.

Hata hivyo, Kamanda Muslim ametahadharisha kuwa idadi ya vifo inaweza kuongezeka kwa kuwa, kazi ya uokoaji bado inaendelea kwenye eneo hilo.
---
Rais Samia Suluhu kupitia akaunti yake rasmi ya Twitter ametoa salamu za rambirambi kufuatia ajali hiyo.

Ameandika

Nimesikitishwa na vifo vya watu 22 vilivyosababishwa na ajali ya basi kugongana na lori katika eneo la Melea Kibaoni, Morogoro.

Nawapa pole wafiwa, nawaombea Marehemu wapumzike mahali pema na majeruhi wapone haraka.

Nawasihi watumiaji wa barabara kuzingatia sheria za barabarani.
View attachment 2155817


View attachment 2155660View attachment 2155661
View attachment 2155663
View attachment 2155702
Hilo bus huwa linakimbia sana kuna dereva wake anakula kitu kama ugoro
 
Wakifutwa kazi ndiyo itasaidia nini. Vitendea kazi na mifumo iboreshwe. Huoni ajabu kwanini inashindikana kuweka tochi usiku barabarani
Hayo mabasi yana mwendo mkali sana, nimpanda mara nyingi, tulishauri mabasi yafungwe tacomita ingesaidia sana kumonita mienendo ya uendeshaji, isitoshe hiyo njia yote huwa hayasimamishwi na traffic, wakikutana wanapungiana mikono tena yanakuwa kwenye speed beyond 50 kwenye maeneo ya vibao na ukaguzi
 
1). Basi la kampuni ya Ahmed Coach linalofanya safari Kati ya Tanga kuelekea Mbeya, limepata ajali maeneo ya Sangasanga Mkoani Morogoro muda si Mrefu, chanzo na Habari zingine tutatoa baada ya uchunguzi kufanyika.

UPDATES;

2). Watu 13 wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha basi la Kampuni ya Ahmeed baada ya kugongana uso kwa uso na lori lililokuwa likisafirishwa kwenda nje ya nchi lenye namba za IT 2816 katika eneo la Melela Kibaoni Barabara kuu ya Morogoro-Iringa.

Kamanda wa Polisi Mkoani Morogoro Fortunatus Muslim amethibitisha kutokea kwa ajalim hiyo.

UPDATES;

Akizungumza na Mwananchi, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Fortunatus Muslim amesema ajali hiyo imetokea leo saa 10.30 jioni na kusababisha vifo vya watu 16.

Kamanda Muslim amesema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa lori hilo kujaribu kumkwepa mwendesha pikipiki maarufu bodaboda hivyo, kupoteza mwelekeo na kukutana na basi hilo uso kwa uso.

Kwa mujibu wa Kamanda Muslim, basi hilo lilikuwa likitokea Mbeya kwenda Dar es Salaam. Miili ya marehemu hao imehifadhiwa kwenye Hospitali ya Mkoa wa Morogoro huku majeruhi wakiendelea kupatiwa matibabu hospitalini hapo.

Hata hivyo, Kamanda Muslim ametahadharisha kuwa idadi ya vifo inaweza kuongezeka kwa kuwa, kazi ya uokoaji bado inaendelea kwenye eneo hilo.
---
Rais Samia Suluhu kupitia akaunti yake rasmi ya Twitter ametoa salamu za rambirambi kufuatia ajali hiyo.

Ameandika

Nimesikitishwa na vifo vya watu 22 vilivyosababishwa na ajali ya basi kugongana na lori katika eneo la Melea Kibaoni, Morogoro.

Nawapa pole wafiwa, nawaombea Marehemu wapumzike mahali pema na majeruhi wapone haraka.

Nawasihi watumiaji wa barabara kuzingatia sheria za barabarani.
Nani mkweli kwenye idadi ya vifo kati ya asemaye 13, 16, 20 na 22
 
Back
Top Bottom