Morogoro: Watu 22 Wamefariki dunia kwenye ajali ya Basi la Ahmed linalofanya safari kati ya Tanga-Mbeya. Limegongana na Lori

Morogoro: Watu 22 Wamefariki dunia kwenye ajali ya Basi la Ahmed linalofanya safari kati ya Tanga-Mbeya. Limegongana na Lori

Zinatembea kweli na ndio chaguo letu wafanya biashara inatembea knoma noma
Mkuu iyo Ahmed ATH waiita ndege ya chini inatembea balaa, kutoka mbeya hua ata kina sauli na newawaoni kitu na inavyotoka tanga hua inazipita hadi bus nyingne za kutoka dar! Iyi impact apo inaonyesha kati ya bus au iyo lorry IT moja wapo ilikua speed kali Sana au zote zilikua mafuta
 
Duh!

Kwa namna basi lilivyochakazwa ni wazi mwendokasi ulikuwa si haba...
 
Ajali za barabarani hazijawahi kupungua , sema kuna kipindi media zilifumbwa mdomo .
Upumbavu mtupu!

Na mkiendelea kutetea huu upumbavu mtachinjwa sana huko barabarani, na zamu yako inakuja.

Ukweli ni kwamba ajali zilipungua sana sababu ya usimamizi mzuri wa mambo ya barabarani, sasa hivi bora liende tu.

Na bado

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Unamkwepa mwendesha pikipiki labda kabeba watu wawili halafu unaparamia bus unaua watu 22+

Hii ni akili au tope?

BTW:Hivi hayo magari ya IT hukatiwa bima kabla ya safari?
 
Upumbavu mtupu!

Na mkiendelea kutetea huu upumbavu mtachinjwa sana huko barabarani, na zamu yako inakuja.

Ukweli ni kwamba ajali zilipungua sana sababu ya usimamizi mzuri wa mambo ya barabarani, sasa hivi bora liende tu.

Na bado

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Hatujuani lakini unaniwekea hadi visasi! What an arrogant mindset!
Zamu yangu ikifika itakuwa imefika sio kwa sababu umesema weye!
Barabarani hakujawahi kupungua ajali , sema zilipungua taarifa za ajali kwa sababu watu kama nyie mlikuwa busy kushangilia chato projects , na media zikaelekea upande huo
Ukisikia multiplier effect ya udikteta huu ndo mfano halisi , we were so covered , hadi tukahisi tupo peponi , kumbe tupo motoni,
 
Hatujuani lakini unaniwekea hadi visasi! What an arrogant mindset!
Zamu yangu ikifika itakuwa imefika sio kwa sababu umesema weye!
Barabarani hakujawahi kupungua ajali , sema zilipungua taarifa za ajali kwa sababu watu kama nyie mlikuwa busy kushangilia chato projects , na media zikaelekea upande huo
Ukisikia multiplier effect ya udikteta huu ndo mfano halisi , we were so covered , hadi tukahisi tupo peponi , kumbe tupo motoni,
Endelea kushangilia ujinga huku ukifikiri unamkomoa Magufuli!

Suala la uzembe barabarani linatakiwa kukemewa kwa ukali siyo kuacha mambo yajiendee tu!

Ajali zilipungua sana tena sana,. kwamba zilikuwa zinatokea alafu watu hawatangazi hayo ni madai ya kipumbavu sawa na yale kwamba umeme ulikuwa unakatika ila wanaficha!

Endelea kutetea ujinga soon utasomwa humu kwamba ni miongoni mwa watu kadhaa waliokufa kwa uzembe wa barabarani.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Hatujuani lakini unaniwekea hadi visasi! What an arrogant mindset!
Zamu yangu ikifika itakuwa imefika sio kwa sababu umesema weye!
Barabarani hakujawahi kupungua ajali , sema zilipungua taarifa za ajali kwa sababu watu kama nyie mlikuwa busy kushangilia chato projects , na media zikaelekea upande huo
Ukisikia multiplier effect ya udikteta huu ndo mfano halisi , we were so covered , hadi tukahisi tupo peponi , kumbe tupo motoni,
Jinga wewe
 
Tusiweke maneno Wala mbwembwe nyingi kichwa Cha Habari chajieEza , magari Sasa kutoka dar kwenda dodoma yanatumia masaa 6.5 tofauti na magufuli masaa 8, ukiweka na factor ya foleni.

Okay nchi imefunguliwa
 
Endelea kushangilia ujinga huku ukifikiri unamkomoa Magufuli!

Suala la uzembe barabarani linatakiwa kukemewa kwa ukali siyo kuacha mambo yajiendee tu!

Ajali zilipungua sana tena sana,. kwamba zilikuwa zinatokea alafu watu hawatangazi hayo ni madai ya kipumbavu sawa na yale kwamba umeme ulikuwa unakatika ila wanaficha!

Endelea kutetea ujinga soon utasomwa humu kwamba ni miongoni mwa watu kadhaa waliokufa kwa uzembe wa barabarani.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
First thing first barabarani ndo life line yangu , nime invest huko na maisha yangu kwa asilimia kubwa yapo huko, naelewa vizuri majanga ya huko
Hunitiishi ukisema nitafia barabarani , thats is purely my destiny an i know the risks involved .

T1 ndio barabara busy kuliko zote , na do barabara yenye matukio mengi, kwa wiki hii tu T1 ina matukio mawili ya ajali za basi na zote ni fatal,

Endelea kupiga siasa kwenye mambo technical , barabara hii kwa sasa inatakiwa dual carriageways kwenye sehemu korofi
 
Back
Top Bottom