kwaku the traveler
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 218
- 586
Ungeandika vigwaza afu na mji ingeleta maana, kwahyo watu waje na thread zao humu waandike miji midogo afu uwape watu shida ya kuijua ipo wapi ni ujinga kama hamjui hata namna ya kuandika kaa kimya siyo lazima kupost humuAchana naye huyo asiyepajua vigwaza muulize mizani iliyokuwa mail Moja kwasasa Iko wap kama hajui basi hawezi kupajua vigwaza ,huko kwenye nyama za mbuzi Wala usimpeleke tu atakwambia Hata vingunguti zipo. Japo hajui utofaut wake.