Morogoro: Watu takriban 14 wafariki dunia katika ajali ya Lori na Coaster eneo la Mikese

Morogoro: Watu takriban 14 wafariki dunia katika ajali ya Lori na Coaster eneo la Mikese

Achana naye huyo asiyepajua vigwaza muulize mizani iliyokuwa mail Moja kwasasa Iko wap kama hajui basi hawezi kupajua vigwaza ,huko kwenye nyama za mbuzi Wala usimpeleke tu atakwambia Hata vingunguti zipo. Japo hajui utofaut wake.
Ungeandika vigwaza afu na mji ingeleta maana, kwahyo watu waje na thread zao humu waandike miji midogo afu uwape watu shida ya kuijua ipo wapi ni ujinga kama hamjui hata namna ya kuandika kaa kimya siyo lazima kupost humu
 
Vigwaza ndio kitu gani? Taja sehemu popular au mji wa karibu na vigwaza hilo yaani sawa niseme hapa Kuna ajali mkululu wewe utaelewa
Kama hupajui si lazima ujue! Kwa mtu yeyote anayetumia barabara ya Chalinze kwenda Dar Vigwaza ni kituo maarufu sana.
Sasa kama wewe upo huko Kibondo ndanindani hata ukiambiwa Vigwaza ni karibu na Mlandizi bado utauliza Mlandizi ipo Shinyanga au Tabora?!
 
Inasemekana kuna ajali imetokea Vigwaza ikihusisha bus dogo Coaster na kuua watu wengi, wenye taarifa zaidi tuambizane
Inasemekana na nani?huo muda iliposemekana kwa nini usingehoji zaidi kabla hujakimbilia Jf kupost kitu nusu.
 
Back
Top Bottom