Morogoro: Watumishi wa Umma Walazimishwa kwenda kwenye mkutano wa Rais Samia leo hii

Hivi mbona idara ya afya huwa hawafanyiagi mambo haya ? Why Walim daily, aisee shida nini kwa walim
 
Halafu kuna fala mmoja humu ndani utasikia anammwagia sifa mama, eti watu wanabubujikwa na machozi ya furaha.
 
Nipo na Wafanyakazi wa NHC wanalalamika maboss wamejilipa posho wao hawana kitu chochote cha kufurahia ujio wa Mama.
Sio NHC Tu peke yake taasisi zote za serikali hapo Moro mameneja wamewapiga wafanyakazi Wao wa chini mfano tenesco, NIDA, moruwasa etc,
Kazi iendelee
 
Nakulilia Tanganyika
Jana familia yako imelala njaa kwa sababu hela umemalizia kwenye pombe, na haukulia.

Waacheni wakamuone mtumishi namba moja anawapa maelekzo gani, wanafunzi wakamuone kiongozi wao anayewapa elimu bure
 
Jana familia yako imelala njaa kwa sababu hela umemalizia kwenye pombe, na haukulia.

Waacheni wakamuone mtumishi namba moja anawapa maelekzo gani, wanafunzi wakamuone kiongozi wao anayewapa elimu bure
Kwani tumebisha basi?
 
Tumeanza kupata mwanga kidogodogo.Baada ya Mwambukusi kuja,kiufupi ziara zote za Hawa wasenge wasenge wanalazimishaga watu kuhudhuria mikutano kwa lazima.
Nchi sijui mwelekeo Gani zama hizi.

Aibu aibu aibu.
Isiwe lazima kwani lazima.
Afu na matanzani mengi yalivyo mazombi yaliyochangamka hutasikia yanalikemea hili.
Inshu inatakiwa ianze na watumishi wanaolazimishwa kwanza.

Ila hawajielewi,anahofia kazi.unahofiaje kazi wakati unataaluma.

Au umepazta kazi kimchongo na huwezi kuajiliwa popote๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mwanzisha mada is stupid hajui hata Government inavyoendeshwa.

President is a Head of State
President is a Leader of Executive

CEO amekuja kwenye Department yenu msiendeke kwenye kikao?

Gen Z always stupid
 
Mwanzisha mada is stupid hajui hata Government inavyoendeshwa.

President is a Head of State
President is a Leader of Executive

CEO amekuja kwenye Department yenu msiendeke kwenye kikao?

Gen Z always stupid
 
Mwanzisha mada is stupid hajui hata Government inavyoendeshwa.

President is a Head of State
President is a Leader of Executive

CEO amekuja kwenye Department yenu msiendeke kwenye kikao?

Gen Z always stupid
Mbona wewe inaonekana kuwa stupid kuliko wachangiaji wote!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ