Tofauti na "Ngozi nyeusi" wengi tunavyoamini au kuaminishwa, Hakuna mataifa yenye waarabu yalioyo barani africa hupenda kutambuliwa kama waafrika.
Haya mataifa hutumia uafrika tu pale kwenye maslahi Yao Fulani Fulani nyeti, Lakini ukweli wanajisikia KINYAA kujitambukisha ni Waafrika.
Mafanikio ya Waafrika kwenye World Cup yaliishia kwa Wasenegali na Wacameroon. Hawa Wa Morroco tuna "jigonga" tu kwao kama demu anayejigonga kwa mwanaume asiyemtaka.
Haya mataifa hutumia uafrika tu pale kwenye maslahi Yao Fulani Fulani nyeti, Lakini ukweli wanajisikia KINYAA kujitambukisha ni Waafrika.
Mafanikio ya Waafrika kwenye World Cup yaliishia kwa Wasenegali na Wacameroon. Hawa Wa Morroco tuna "jigonga" tu kwao kama demu anayejigonga kwa mwanaume asiyemtaka.