Moshi25
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,555
- 4,118
Wewe mmojawao!! Subiri ukakae ghetto moja na shetani huko kuzimu siku hiyo ipo!Dua la kuku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mmojawao!! Subiri ukakae ghetto moja na shetani huko kuzimu siku hiyo ipo!Dua la kuku
Waafrika ndiyo mashetani wenyewe. Hamkubaliki mbinguni wala dunianiWewe mmojawao!! Subiri ukakae ghetto moja na shetani huko kuzimu siku hiyo ipo!
Alijaribu kuwaunganisha waarabu akashindwa akaamua kuwekeza nguvu africa alikuwa akiwaita na kuwagawia bahasha.Afrika ni Bara na si rangi ya ngozi, Gaddafi alikua anatoa sehemu kubwa ya bajeti AU na pia alipambana kuliunganisha Bara,waarab wa afrika ni waafrika wenye asili ya kiarabu
Unamaanisha alijitoa OAU!?Alijaribu kuwaunganisha waarabu akashindwa akaamua kuwekeza nguvu africa alikuwa akiwaita na kuwagawia bahasha.
Usitudanganye bwana muafrika ni mtu mweusi.Mkishasomaga na vidigirii vyenu kila kitu mnakipambapamba.Uafrika siyo weusi wa ngozi,muwe mnajielimisha na kutafakari,afrika ni Bara,humo Kuna waafrika wenye ngozi nyeusi na waafrika wenye ngozi nyeupe/angavu
Afrika ni nini!?Usitudanganye bwana muafrika ni mtu mweusi.Mkishasomaga na vidigirii vyenu kila kitu mnakipambapamba.
Bara la weusi lililoingizwa waarabu kimchoro uitwao ramani.Afrika ni nini!?
Acha kuongea pumba mzee u Africa ni ngozi nyeusi NDIO MAANA french Montana ni mmoroco ila SABABU ni mwarabu hawezi itwa AFRICAN AMERICAN ILA LUPITA NYONG'O AU IDRIS ELBA NI AFRICAN AMERICAN BECAUSE OF COLORUafrika siyo weusi wa ngozi,muwe mnajielimisha na kutafakari,afrika ni Bara,humo Kuna waafrika wenye ngozi nyeusi na waafrika wenye ngozi nyeupe/angavu
Afrika imetoholewa toka neno aprika la kilatini lenye maana ya nchi isiyo baridi/nchi ya joto,Wala Haina maana ya nyeusi,na walatini wakifika afrika kaskazini,Wala hawakufika Tanganyika au kwa weusi wengine,Kuna jina jingine la afrika kabla ya kuitwa afrika,jina Hilo likitumika na waarab,waethiopia na wanubi, nimesahau,lakini waweza lipata ukilitafutaBara la weusi lililoingizwa waarabu kimchoro uitwao ramani.
African American si wanaita malayman wenzio,na wanaita siku hizi kukwepa neno negro/nigga,hawakuwa wakiitwa African American hao,martin Luther king hakuwahi kuwaita wenzie African American Bali negros au blacksAcha kuongea pumba mzee u Africa ni ngozi nyeusi NDIO MAANA french Montana ni mmoroco ila SABABU ni mwarabu hawezi itwa AFRICAN AMERICAN ILA LUPITA NYONG'O AU IDRIS ELBA NI AFRICAN AMERICAN BECAUSE OF COLOR
Ivi unajua maana ya LAYMAN?HAUJUIA KWAMBA ATA MUUZA GENGE WE UNWEZA UKAWA LAYMAN KWAKE ....ILA ALL IN ALL HAO WAMOROCCO WALIZINGUA NDIO WAZUNGU AMBAO NI WEUPE KULIKO WAO WANAWABAGUAAfrican American si wanaita malayman wenzio,na wanaita siku hizi kukwepa neno negro/nigga,hawakuwa wakiitwa African American hao,martin Luther king hakuwahi kuwaita wenzie African American Bali negros au blacks
Kuongezea elimu neno afrika ni la kigiriki,a-phrike lenye maana isiyo baridi/nchi ya joto(Leo africanus) lakini kabla wagiriki hawajaita hivyo Bara letu palikua na jina likitumika na jamii nyingi kuliita Bara hili,waliliita alkebulan(mother of mankind) jina hili likitumika na moors, Nubians,Numidians,Carthaginians na Ethiopians..so neno afrika halina uhusiano na rangi ya ngozi nyeusiAcha kuongea pumba mzee u Africa ni ngozi nyeusi NDIO MAANA french Montana ni mmoroco ila SABABU ni mwarabu hawezi itwa AFRICAN AMERICAN ILA LUPITA NYONG'O AU IDRIS ELBA NI AFRICAN AMERICAN BECAUSE OF COLOR
Kuna wauza genge Wana bachelor... Morocco hawajazingua,wanapambania nchi ya kwanza,Kisha waarabu Kisha afrika, simpleIvi unajua maana ya LAYMAN?HAUJUIA KWAMBA ATA MUUZA GENGE WE UNWEZA UKAWA LAYMAN KWAKE ....ILA ALL IN ALL HAO WAMOROCCO WALIZINGUA NDIO WAZUNGU AMBAO NI WEUPE KULIKO WAO WANAWABAGUA
Kuna wauza genge Wana bachelor... Morocco hawajazingua,wanapambania nchi ya kwanza,Kisha waarabu Kisha afrika, simpBad
Huo mtohoo baki nao wewe kila zama zinapojongea maneno na lugha hutanuka na kueleza mambo kwa utofauti na maana zingine.Baada ya kutoholewa maana imekwenda na mabadiliko.Mwafrika ni mtu mweusi, mada yangu ya mwisho nawe elimu peleka udsmAfrika imetoholewa toka neno aprika la kilatini lenye maana ya nchi isiyo baridi/nchi ya joto,Wala Haina maana ya nyeusi,na walatini wakifika afrika kaskazini,Wala hawakufika Tanganyika au kwa weusi wengine,Kuna jina jingine la afrika kabla ya kuitwa afrika,jina Hilo likitumika na waarab,waethiopia na wanubi, nimesahau,lakini waweza lipata ukilitafuta
Hakuna shida,Kaa na ujinga wakoHuo mtohoo baki nao wewe kila zama zinapojongea maneno na lugha hutanuka na kueleza mambo kwa utofauti na maana zingine.Baada ya kutoholewa maana imekwenda na mabadiliko.Mwafrika ni mtu mweusi, mada yangu ya mwisho nawe elimu peleka udsm
Kila mtu ni mjinga kwa wakati wake.Hakuna shida,Kaa na ujinga wako
Kuna kubishana(Simba,yanga) Kisha Kuna mjadalaBasi poa UMESHINDA mi SIPENDAGI KUBISHANA Kwa vitu AMBAVYO sio vya MSINGI sana
Ndiyo, ndomana nikasema Kaa na ujinga wakoKila mtu ni mjinga kwa wakati wake.
Basi tuache kutaja Afrika,tutaje watu weusi. Wazungu huwa wanathamini watu weusi kuliko waarabu wanavyotuona. Mtu mwenye utimamu hawezi kuacha kuishabikia Ufaransa halafu akaishabikia MorrocoMentality zile zile za kibaguzi. Aliyekuambia uafrika ni kuwa mweusi ni nani?