Morroco ni Taifa la Kiarabu linaloishi Afrika

Morroco ni Taifa la Kiarabu linaloishi Afrika

Si morocco tu hata tunisia, algeria, misri na libya ukiongeza na sudani ya kaskazini hao ni waarabu typically ndio maana wapo kwenye umoja wa nchi za kiarabu. Kama si bahari ya mediterania hizo nchi zisingekuwepo kwenye ramani ya bara la afrika. Sura ya ramani ya afrika ukiondoa hizo nchi za kiarabu itaonekana bara la afrika ni dogo. Ukweli hizo nchi ni za kiarabu daima
Afrika ni Bara na si rangi ya ngozi, Gaddafi alikua anatoa sehemu kubwa ya bajeti AU na pia alipambana kuliunganisha Bara,waarab wa afrika ni waafrika wenye asili ya kiarabu
 
Hao ni waarabu wanaoishi Afrika na sio waafrika, hata tabia na maadili yao sio ya kiafrica. Hata watawala wao awawatawali kwa mifumo SAwa na watawala wa kiafrica, Thus wananchi wao awaisomi Sana number
Waarabu wa afrika wengi kuliko waarabu wa arabini,waarab asili yao wapi!?
 
Woote mliochangia huu uzi wa kipuuzi ni wapuuzi nikiwamo na mimi mwenyewe
 
Si morocco tu hata tunisia, algeria, misri na libya ukiongeza na sudani ya kaskazini hao ni waarabu typically ndio maana wapo kwenye umoja wa nchi za kiarabu. Kama si bahari ya mediterania hizo nchi zisingekuwepo kwenye ramani ya bara la afrika. Sura ya ramani ya afrika ukiondoa hizo nchi za kiarabu itaonekana bara la afrika ni dogo. Ukweli hizo nchi ni za kiarabu daima
Sudan hamna mwarabu pale sema wanaongea kiarabu
 
Watu wenyewe hawataki kuitwa waafrika nyie mnawalazimisha wa nini? Bora france kuna ndugu zetu wana rangi nyeusi kuliko Morocco timu nzima haina rangi nyeusi hata moja wanazidiwa na Saudia! Ngozi nyeusi hatuna ubaguzi, bora FIFA iwatafutie njia nyingine ya kufuzu mashindano lakini siyo hii ya kupitia mlango wa CUF, maana wao wanaamini wanawakilisha waarabu siyo Afrika wakati wanacheza aya mashindano kwa tiketi za bara la Afrika.
 
Leo nipo na Ufaransa.

Kama kawaida, mtoto halali na chenji. Moroco anafurushwa leo, hawaendi dakika 30 wala matuta, anakula mbili mtungi.
Aisee!
Heshima kwako mkuu. Sijui wadau wameiona comment hii au wanapita tu?!!! Nilifikiri imekuja baadae lakini naona imetumwa saa 3 na dakika moja......muda ambao ndo kwanza mechi ilikuwa inaanza.
 
Morocco wametia kinyaa kwa kunyanyapaa watu weusi walioko kwenye bara wanaloishi na Mungu akaonesha utukufu wake wakachapwa bakora mbili bila majibu wakaambiwa haya we mtoto unafanya nini hapa usiku huu kimbia kule ukakojoe ulale!

Mungu aliumba anavyotaka, hakupanga madaraja ila watu duniani wakatengeneza mifumo na kuilazimisha mf mtu mweupe ni bora kuliko mweusi, watu weupe wakatawala watu weusi kwa bunduki na dini yao na watu weusi waishio Africa wakakubali unyonge na kuuendeleza. Hata viongozi wao isipokuwa Nyerere na Magufuli tu nao wakakubali unyonge na kuwaibia wenzao.

Historia ya Morocco world cup imeishia hapo na hawatapewa tena hiyo chance kufika nusu fainali maana timu za ulaya ziliwa - underestimate!mtu mweupe huwa hakubali unyonge ndio maana Ronaldo alilia sana kutolewa na mabedui akiamini wako chini yao kisoka ila maafrika yote meusi ya Senegal, Ghana na Cameroom hakuna hata chezaji moja lililia kwa kutolewa!! Yote yaliona fresh tu kurudi zao klabuni ulaya na ma head phone makubwa kichwani!!)

Watu weusi viongozi wetu wengi ni wapumbavu na ndio wanaosababishwa tutukanwe duniani hatuna akili maana yanawaza kuiba tu na si kuendeleza nchi zao, Nigeria wana mafuta kuliko Qatar, ila Qatar ni matajiri kuliko Nigeria!

Maviongozi yetu hayana akili yanakata umeme ili kuuza majenereta na solar na kuua uchumi na ona sasa Morocco wanatuona Manyani tu!! Reli SGR inasua sua , bwawa la Nyerere haliishi maana Magufuli hayupo basi waarab na wazungu wanaona watu weusi wa Afrika ni masokwe!

Kama Mungu yupo kwa mujibu wa vitabu vitakatifu basi maviongozi mengi ya Afrika yenye ugonjwa wa matumbo makubwa (obesity) basi yakifa makazi yao itakuwa Jehanam wakiwa na mashetani na ibilisi
 
Ahh iyo ni AFRIKA no MATTER what, cc waafrika ndo wakuungana sio kujibagua bagau cjui wamoroko wasenegali wacameroon haina maana kabisaa,
Africa 2simame pamoja
[emoji1421][emoji1421][emoji1421]
Mwafrika alikuwa Gadafi tu, hao nduguze wengine ni mashwaini tu
 
Back
Top Bottom