Mentality zile zile za kibaguzi. Aliyekuambia uafrika ni kuwa mweusi ni nani?Utaamua ushabikie morocco eti ni timu ya Africa ila haina mchezaji hata mmoja mweusi au France ya ulaya yenye weusi akina mbappe na wenzie
Tueleze ww uafrika ni nn?Mentality zile zile za kibaguzi. Aliyekuambia uafrika ni kuwa mweusi ni nani?
Yaan miwatu inajipendekeza kwa waarabu hadi kero!Ubaguzi wapi mnaambiwa ukweli mnasingizia ubaguzi-hangaikieni timu zenye damu zenu za Uafrika zifike nusu fainali sio kudandia mafanikio ya waarabu.
Ushawahi fika nchi kati ya morocco, libya, algeria au misri? Hao jamaa ni wabaguzi mno kwa hii rangi nyeusi, endelea tu kutetea usiyo yajuaMentality zile zile za kibaguzi. Aliyekuambia uafrika ni kuwa mweusi ni nani?
HARUSHABIKII TIMU SABABU YA RACE YA WACHEZAJI AU TAIFAUtaamua ushabikie morocco eti ni timu ya Africa ila haina mchezaji hata mmoja mweusi au France ya ulaya yenye weusi akina mbappe na wenzie
Kwa hiyo Ufaransa ndo inatoka Africa auUtaamua ushabikie morocco eti ni timu ya Africa ila haina mchezaji hata mmoja mweusi au France ya ulaya yenye weusi akina mbappe na wenzie
Maisha ni kuchagua, chagua upendalo.Kwa hiyo Ufaransa ndo inatoka Africa au
Hii ni jf, uwanja huru kuongea, chagua upendacho na upendalo,HARUSHABIKII TIMU SABABU YA RACE YA WACHEZAJI AU TAIFA
.. KILA MTU ANA TIMU AIPENDAYO.
Kuna wanaoshangilia Morocco sababu wanatokea ukanda wa CAF.
Kuna wanaoshabikia Morocco sababu wanapenda mabadiliko kwenye Soka, kuna wanaochukulia ushindi wa morocco kama chachu ya kuongeza idadi ya timu tokea bara la africa kwenye WC.
Lakin siyo lazima, unaweza shangilia timu yeyote. Wengine harukushangilia Senegal wala Cameroon tulikuwa na Brazil tu .
Wengine wakawa Ureno na wengine Argentine , sababu ya CR na Leon. Reasons zipo nyingi.
KATIKA SOKA HAKUNA HUO UJINGA AISEE!!...
Sawa tufanye ni waarabu,mbona hao waarabu wenyewe hata robo fainali hawakufika?spirit ya uafrica ndio imewafikisha Morocco pale walipo....Tofauti na "Ngozi nyeusi" wengi tunavyoamini au kuaminishwa, Hakuna mataifa yenye waarabu yalioyo barani africa hupenda kutambuliwa kama waafrika.
Haya mataifa hutumia uafrika tu pale kwenye maslahi Yao Fulani Fulani nyeti, Lakini ukweli wanajisikia KINYAA kujitambukisha ni Waafrika.
Mafanikio ya Waafrika kwenye World Cup yaliishia kwa Wasenegali na Wacameroon. Hawa Wa Morroco tuna "jigonga" tu kwao kama demu anayejigonga kwa mwanaume asiyemtaka.
View attachment 2446133
Uafrika siyo weusi wa ngozi,muwe mnajielimisha na kutafakari,afrika ni Bara,humo Kuna waafrika wenye ngozi nyeusi na waafrika wenye ngozi nyeupe/angavuUtaamua ushabikie morocco eti ni timu ya Africa ila haina mchezaji hata mmoja mweusi (na hawapendi watu weusi wala hajakubali bado kwamba wako africa) au France ya ulaya yenye weusi akina mbappe na wenzie