Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Yaani Urusi anashambulia Kila Kona Ukraine, halafu Ukraine awe na makubaliano ya kutoshambulia ndani ya Urusi? Mkuu kesho kazi. Punguza Konyagi!!Makubaliano ya hii vita si yalikua ni hakuna kushambulia ndani Urusi? Sasa mbona kama vile Ukraine wanavunja makubaliano?