Urusi imeshindwa kufumua kainchi kadogo miaka miwili sasa, leo hii inachezea kichapo cha defensive, ndio maana nimesema mnaendelea kuchizi maana kama bado mnamtegemea Urusi kubadilisha chochote kwa hako kainchi, basi mtateseka sana.
Kisome ulichoandika halaf fikiria mara mbili , unahisi kuna hatua ukraine anafanya Poland wasijue , hao sio kama ww kushabikia mkataba wakati hujausoma
Ndio maana mnauza bandari , bado mna akili za kitumwa , Ukraine hawana akili hzo , pigania chako kibak salama mavazi ( majengo ) utayapata mengine ila hutopata kitu (ukraine/nchi) nyngne