Moscow, Urusi: Shambulio la kigaidi laua Watu zaidi ya 130
Inawezekana ikawa false flag OP wapate sababu ya kuipiga ukraine kwa nyuklia.
 
Duh ina maana Ukraine imeanza kutumia mbinu za namna hii?
Unashindwa kusema UGAIDiI kila siku povu mqpovu yanawatoka walivyoshambuliwa mabwana zenu Israel ili tukio unaita mbinu.

Miafrica kwa unafiki🤣
 
BREAKING: White House says there is no indication at this time that Ukraine is involved in attack on Moscow concert hall
 
Back
Top Bottom