Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuoneRussia inaendesha ugaidi na mauaji huko Ukraine huku mlango wake wa nyuma ukiwa wazi.
Hatimaye magaidi halisi wamejipenyeza mpaka 'chumbani' kwa Supa-pawa .
Wewe myebusi zingatia usalama wa mbusii hapo sisini.Hao umbwa wanahusika asilimia 100
Hii issue ya "false flag operation" inazunguka sana mitandaoni, na hasa kutokana na historia ya siasa za Urusi. Imeturudisha katika mashambulizi ya mwaka 1999 kwenye majengo ya kiraia yaliyochochea uvamizi wa pili wa Chechnya.Inawezekana ikawa false flag OP wapate sababu ya kuipiga ukraine kwa nyuklia.
Mkaldayo wewe ni ng'ombeWewe myebusi zingatia usalama wa mbusii hapo sisini.
Umbwaaa
Putin anapenda sana hiyo michezo,sio ajabu kuhisiwa hivyo.Hii issue ya "false flag operation" inazunguka sana mitandaoni, na hasa kutokana na historia ya siasa za Urusi. Imeturudisha katika mashambulizi ya mwaka 1999 kwenye majengo ya kiraia yaliyochochea uvamizi wa pili wa Chechnya.
Kwa mujibu wa wanazuoni mbalimbali pamoja na baadhi ya maafisa wa zamani wa FSB, serikali ya Urusi pamoja na shirika la ujasusi la Urusi (FSB) lilihusika katika yale mashambulizi ili kujenga uhalali wa uvamizi wa Chechnya.
Matukio kama haya huwezi kujua wapi kitanuka!US matukio kama haya yanatokea sana!Inamaana super power wa mchongo hakuona tahadhari ya Us? Simba
Kama una kumbukumbu wakati ule jirani zetu hapo Kenya wakimenyana na Alshabab merikan alikuwa kila wakati anatoa tahadhari na kweli walipopuuzia yalitokeaHao umbwa wanahusika asilimia 100
THIS ALERT WAS PUBLISHED BY THE US EMBASSY IN RUSSIA 2 WEEKS AGO.
TAHADHARI HII ILICHAPISHWA NA UBALOZI WA MAREKANI NCHINI URUSI WIKI 2 ILIYOPITA
The Embassy is monitoring reports that extremists have imminent plans to target large gatherings in Moscow, to include concerts, and U.S. citizens should be advised to
avoid large gatherings over the next 48 hours.
Wqlijuaje?
View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1771254913634296186?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
InafikirishaEti walitoa tahadhari
Nani aliwaambia hao magaidi ya 🇺🇸
Taarifa za 9/11 ?Mwishoni mwa 2021, Marekani ilitangaza kuwa ina taarifa za uhakika kuwa Urusi inataka kuivamia Ukraine. Putin akasema huo ni uwongo, lakini sote tunajua yaliyotokea. CIA wana network nzuri sana ya mashushushu, siyo blah blah.
Mara nyingi sana wamekuwa wanatoa taarifa mbalimbali za ughaidi duniani kote.
US hakujatokea tena tukio la ugaidi tangu September 11 2001.Matukio kama haya huwezi kujua wapi kitanuka!US matukio kama haya yanatokea sana!
Ajabu US huwa hanusi matukio kama haya kwake!
Tangu ugaidi wa September 11 2001 US hakujatokea tena tukio la ugaidi.America katoa tahadhari na kweli imetiki, cha ajabu katoa tahadhari kwa nchi pinzani, ila kwake matukio kama haya huwa yanatokea na wala hashituki.
Uchawi upo duniani [emoji23]
Hiyo ni timeline ya historia ya uhalifu wa kigaidi Russia, shambulio lililotokea leo muda huu limeshakuwa updated na wahusika ndio hao unaowaona hao, Sijajua kama NATO na IS kama wana mahusiano ya moja kwa moja au vipiVikundi hasimu vya Russia? Una i-doubt intelligence service ya Russia from within?
Hapo mwenye uwezo wa ku plot tukio kama hilo ni NATO tu hata kama kuna mahasimu wa Russia from within ni lazima NATO wanahusika kuwasaidia.