Moscow, Urusi: Shambulio la kigaidi laua Watu zaidi ya 130
T
Hii ndio inadhihirisha kuwa hao jamaa wanahusika 100%. Kutoa security alert masaa kadhaa nyuma halafu tukio litokee ni kusema "tunashambulia hapo hivyo msiende hapo"
Tahadhari ilitolewa wiki mbili zilizopita.
 
Mwishoni mwa 2021, Marekani ilitangaza kuwa ina taarifa za uhakika kuwa Urusi inataka kuivamia Ukraine. Putin akasema huo ni uwongo, lakini sote tunajua yaliyotokea. CIA wana network nzuri sana ya mashushushu, siyo blah blah.

Mara nyingi sana wamekuwa wanatoa taarifa mbalimbali za ughaidi duniani kote.
Kwa kilicho kuwa kinaendelea mpakani mwa Ukraine haikuhitaji elimu ya chuo kikuu kujua kuwa Urusi alikuwa anajiandaa kuivamia Ukraine.
 
Inaarifiwa watu zaidi ya 50 wamefariki.

Wiki mbili zilizopita Marekani na Uingereza zilitoa tahadhari ya kutokea kwa tukio la kigaidi ndani ya Urusi.
---
At least a dozen people have been killed and many more wounded according to unofficial reports in the worst terror attack in Russia in years, as gunmen in combat fatigues opened fire and detonated explosives in a big concert hall in the outskirts of Moscow.

Photos showed the Crocus City Hall engulfed in flames as videos emerged from the concert hall attack, showing at least four gunmen opening fire from automatic weapons as panicked Russians fled for their lives.

In one video, three men in fatigues carrying rifles fired at pointblank range into bodies strewn about the lobby of the concert hall. The attackers also apparently detonated explosives, as the sounds of blasts could be heard in other videos from the attack. At least two blasts took place at the concert hall on Friday evening, news agencies reported.

Video published online showed horrific scenes of some people begging for help from the roof of the concert hall as it burnt behind them. Other video showed images of victims with gunshot wounds being treated in the street outside of the building.

Actions by the local government indicated that officials considered the attack a major incident. Sobyanin said that the Moscow government would cancel all cultural, sporting, and other mass events for the weekend after the attack, as the Russian railroads and other major utilities said they were increasing security.

Moscow’s mayor, Sergei Sobyanin, called the attack a “great tragedy”. At least 70 ambulances had been dispatched to the site of the attack.

Earlier this month, western countries led by the United States had issued terror warnings and told their citizens not to join public gatherings in Russia. On 8 March, the embassy wrote it was “monitoring reports that extremists have imminent plans to target large gatherings in Moscow, to include concerts, and U.S. citizens should be advised to avoid large gatherings over the next 48 hours.”

“The attackers presumably opened fire at the entrance to the building during a concert, using automatic weapons, and then a fire began in the building,” said emergency services. Authorities said that up to five people took part in the attack, although more may have been involved, according to video evidence.

Other video showed people screaming, crawling on their hands and knees out of the music venue or fleeing down stairwells. Russian media reports said that riot police units were sent to the area as people were being evacuated. Speznaz units of the Russian national guard began storming the building later on Friday evening. Some of the attackers may have escaped, the Russian news agency Baza reported.

The shooting at the concert hall was reminiscent of some of Europe’s worst terrorist incidents such as the attack on the Bataclan in Paris in November 2015. Russians are likely to recall the Nord Ost terrorist attack in Moscow in 2002, when gunmen took hostages at a theatre in one of the worst incidents in the country’s history.

The Russian news agency 112, which specialises in crime reporting, put the death toll as high as 40 killed and more than 100 injured. It was unclear if police had managed to neutralise the attackers by Friday evening, as emergency workers said they had evacuated 100 people who had been sheltering in the building’s basement.

White House national security spokesman John Kirby said that the “images of the attack were just horrible and just hard to watch”. The White House had no indication that Ukraine was involved in the attack, Kirby added. Russia is fighting a major war in Ukraine.

An eyewitness told the Mash Telegram channel that there were “at least five” attackers and that they were “bearded”.

“They act like trained fighters,” the account read. “At the moment of entering the building, the guards and people standing at the door were killed. Then they blocked the main entrance.”

“The terrorists are armed with [Kalashnikov] assault rifles,” the person said. “Some carried vests with various ammunition. At least two of the attackers are carrying backpacks, possibly with Molotov cocktails.”

The attack took place at a concert by the Russian rock band Piknik. Crocus City Hall is one of the largest and most popular music venues in the Moscow oblast.

The warnings from the Western embassies came shortly after Russia said it had foiled a planned shooting by an Afghan group linked to Islamic State.

Russian authorities had recently carried out a series of raids against armed Islamist militants in the region of Ingushetia, leading to pitched firefights between police and the fighters.

It was unclear if this was the attack referred to in the warning.

ADD Russia has not faced a large terrorist attack on its own territory since 2017, when 14 people were killed in a blast on the Saint Petersburg metro. Suicide bombers killed 34 people in Volgograd in 2013 shortly before the Sochi Olympics. And in 2011, suicide bombers killed 30 people at Moscow’s Domodedovo airport.

The Guardian
Yawezekana waliotoa taarifa ndio waharifu/ringleaders
 
Mwishoni mwa 2021, Marekani ilitangaza kuwa ina taarifa za uhakika kuwa Urusi inataka kuivamia Ukraine. Putin akasema huo ni uwongo, lakini sote tunajua yaliyotokea. CIA wana network nzuri sana ya mashushushu, siyo blah blah.

Mara nyingi sana wamekuwa wanatoa taarifa mbalimbali za ughaidi duniani kote.
🚨 🇷🇺 Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi:

Ikiwa Marekani ina habari juu ya shambulio la kigaidi karibu na Moscow, inapaswa kuwapa taarifaMoscow.

Je, ni kwa msingi gani Marekani inasema Ukraine haikuhusika katika ufyatuaji risasi karibu na Moscow?

Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi imesema vyombo vya sheria vya Urusi vitaamua nani alihusika na shambulio hilo.

Hawa siyo Gaza subiri majibu.
 
Hiyo CIA mbona imeshindwa kuzuia mauaji ya maelfu ya raia wa Marekani wanao kufa kila mwaka kwa sababu ya ufyatulianaji wa risasi?
Kwa sababu ugaidi ni tofauti sana na matatizo ya akili au ugomvi binafsi wa watu mitaani. Ugaidi huwa unapangwa, visa vya ufyatulianaji risasi Marekani watu hawakai chini wakafanya mipango.
 
Hiyo CIA mbona imeshindwa kuzuia mauaji ya maelfu ya raia wa Marekani wanao kufa kila mwaka kwa sababu ya ufyatulianaji wa risasi?
Silaha ni assets mojakubwa sn kwenye kuwaingizia hela,bila vita mmarekani anakua hana hela it’s part of their budgets kukiwa kimya hawana raha,and hawana hela.
So US to survive they need war hakuna kingine,hapo ndiowanaiba rasilimari zote kwa nchi husika.
Asilimia kubwa ya malighafi za mmarekani ameiba sio kununua
 
Maria Zakharova:

“The White House said it saw no indication that Ukraine or Ukrainians were involved in the terrorist attack in Moscow.

On what basis do officials in Washington draw any conclusions about anyone's innocence in the midst of a tragedy? If the United States has or had reliable information in this regard, then it must be immediately transferred to the Russian side.

And if there is no such data, then the White House has no right to issue indulgences to anyone.

All those involved, as stated by the Russian leadership, will be identified by the competent authorities.”
 
Hivi wewe unaelewa mambo au unajibu tu? Nimekuambia kuwa kutolewa kwa hiyo tahadhari ndio kunathibitisha NATO wanahusika?

Huwezi ku relate?

Au hujui NATO ni nini?
😂😂😂😂sasa kazi ya idara yao ya intelligence ni nini?!
 
Hiyo ni timeline ya historia ya uhalifu wa kigaidi Russia, shambulio lililotokea leo muda huu limeshakuwa updated na wahusika ndio hao unaowaona hao, Sijajua kama NATO na IS kama wana mahusiano ya moja kwa moja au vipiView attachment 2942073
Hivi mkuu unajua dunia inavyoendeshwa? Unajua makundi ya kigaidi yanafadiliwa na US au hujui?

Je unajua kwanini nchi zenye resources muhimu ndio huwa zina migogoro? Je unajua ni nani chanzo cha hiyo migogoro?

Tuanzie hapo isije kuwa napoteza muda kwa mtu asiejua dunia inavyoenda
 
Back
Top Bottom