Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
Kwanini wasizuie?Wana milango mizuri sana ya fahamu hasa kunusa hatari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini wasizuie?Wana milango mizuri sana ya fahamu hasa kunusa hatari.
Hilo lingepaswa kuwa jukumu la Warusi wenyewe.Kwanini wasizuie?
CIA walipata taarifa mapema miezi kadhaa kabla ya tukio ila kulitokea mkanganyiko kati yao na FBI pamoja wanasiasia kutotilia maanani baadhi ya taarifa za tahadhari hali iliyopelekea taarifa muhimu kutofanyiwa kazi na maafa baadaye.9/11 ?
Miafrika minafiki sana hii ya JF tukio la Oct 7 ilikuwa inakesha JF kusema Magaidi wa Hamas lazima wamalizwe mabwana zao hapo Urusi yamejificha kwenye mashimo kama nguchiro hayajui hata yaandike nini🤣Miisiramu hiyo.
Umeshajua ni watu gani wamehusika na huo ugaidi??Miafrika minafiki sana hii ya JF tukio la Oct 7 ilikuwa inakesha JF kusema Magaidi wa Hamas lazima wamalizwe mabwana zao hapo Urusi yamejificha kwenye mashimo kama nguchiro hayajui hata yaandike nini[emoji1787]
Umeshafahamu??Miisiramu hiyo.
Hayo mauaji kwann yasitokee kwenye nchi zingine lakini yatokee Marekani tu ,au Marekani ni nchi yenye wendawazimu wengi kuliko nchi yeyote duniani?Kwa sababu ugaidi ni tofauti sana na matatizo ya akili au ugomvi binafsi wa watu mitaani. Ugaidi huwa unapangwa, visa vya ufyatulianaji risasi Marekani watu hawakai chini wakafanya mipango.
Wao ndio huoanga haya matukioWana milango mizuri sana ya fahamu hasa kunusa hatari.
Tatizo mnajua ugaidi lazima mtu awe muislamu kavaa kanzu na kujilipua.Gaidi si angerusha bomu tu?
Itakuwa ni waharifu tu
Usichanganye mambo jikite kwenye mada husika, CIA hata hawahusiki sana na mambo ya ndani ya Marekani.Hayo mauaji kwann yasitokee kwenye nchi zingine lakini yatokee Marekani tu ,au Marekani ni nchi yenye wendawazimu wengi kuliko nchi yeyote duniani?
Kama ni suala la umiliki wa silaha mbona zipo nchi nyingi ambazo udhibiti wake wa silaha sio mkali kama Marekani lakini hatusikii mauaji ya kiholela ndani ya nchi hiyo?
Kitendo cha vyombo vya usalama vya nchi yeyote kushindwa kulinda maisha ya maelfu ya watu wake bila kujali yanatishiwa na nani ni ishara ya udhaifu tena mkubwa.
Hiyo sio kazi ya CIA.Hiyo CIA mbona imeshindwa kuzuia mauaji ya maelfu ya raia wa Marekani wanao kufa kila mwaka kwa sababu ya ufyatulianaji wa risasi?
Unamaamisha hawakujali lolote kuhusu uhai wa watu waoCIA walipata taarifa mapema miezi kadhaa kabla ya tukio ila kulitokea mkanganyiko kati yao na FBI pamoja wanasiasia kutotilia maanani baadhi ya taarifa za tahadhari hali iliyopelekea taarifa muhimu kutofanyiwa kazi na maafa baadaye.
😂😂😂😂Picha za kwanza za magaidi zinechapishwa na media za Urusi.
Ughaidi wa kupangwa haujatokea marekani tangu 9/11; kinachotokea ni mass shootings za kiholela ambazo siyo planned bali ni matukio ya mtu mmoja mmoja kuchukua mabunduki yake na kwenda kuua watu hovyo.America katoa tahadhari na kweli imetiki, cha ajabu katoa tahadhari kwa nchi pinzani, ila kwake matukio kama haya huwa yanatokea na wala hashituki.
Uchawi upo duniani 😂
Kama zile vurugu zinazotokeaga wakati wa Uchaguzi ni Ugaidi sio Ugaidi?Tatizo mnajua ugaidi lazima mtu awe muislamu kavaa kanzu na kujilipua.
Gaidi hata wewe ukienda kulipua watu pale kariakoo kisa serikali imewafunga wachungaji flani jela huo ni ugaidi pia.
Ugaidi ni matumizi ya vurugu zisizo halali au tishio la vurugu kinyume cha sheria ili kuleta hofu;