Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Ndivyo ulivyoelewa?Unamaamisha hawakujali lolote kuhusu uhai wa watu wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo ulivyoelewa?Unamaamisha hawakujali lolote kuhusu uhai wa watu wao
Picha za kwanza za magaidi zinechapishwa na media za Urusi.
Kwa sura tu nakubaliana na post# 122 by bibiPicha za kwanza za magaidi zinechapishwa na media za Urusi.
Ugaidi kwa sababu inatumika nguvu kutisha watu pasipo kufuata sheria.Kama zile vurugu zinazotokeaga wakati wa Uchaguzi ni Ugaidi sio Ugaidi?
Kupitia ulivyo andikaNdivyo ulivyoelewa?
Hata Urusi kuvamia Ukraine na kupiga mabomu kwa raia kila siku ni ugaidi pia.Tatizo mnajua ugaidi lazima mtu awe muislamu kavaa kanzu na kujilipua.
Gaidi hata wewe ukienda kulipua watu pale kariakoo kisa serikali imewafunga wachungaji flani jela huo ni ugaidi pia.
Ugaidi ni matumizi ya vurugu zisizo halali au tishio la vurugu kinyume cha sheria ili kuleta hofu;
Hawa ni waarabu wa wapi ? Syria au Iraq ?Picha za kwanza za magaidi zinechapishwa na media za Urusi.
Ni sawa na afanyacho Israel kwa Palestine na kile afanyacho marekani pale middle east.Hata Urusi kuvamia Ukraine na kupiga mabomu kwa raia kila siku ni ugaidi pia.
Huyo wa 3 ni mtoto wa 2000? Dah, huku kwetu wale wa w000 ni maboya sanaRussian media claims that the security services are looking for a number of Islamist Ingushetians, including:
- Gurazhev Amirkhan (1989)
- Ozdoev Adam (1987)
- Tsuroev Zelimkhan (2000)
Certified lierHakuna source
Hakuna link
Hakuna picha
Hakuna akili pia
Hapa hoja ni kuzuia mauaji ya raia na sio mauaji yana fanyikaje au yanafanywa na nani, kwani mauaji yakifanywa na gaidi kuna tofauti gani na mauaji takifanywa na nwendawazimu au mtu asiye kuwa gaidi?Usichanganye mambo jikite kwenye mada husika, CIA hata hawahusiki sana na mambo ya ndani ya Marekani.
Pia suala la silaha kwa raia Marekani ni kubwa mno juu ya uwezo wako kulielewa. Pia hakuna nchi yenye bunduki nyingi mikononi mwa raia zaidi ya Marekani na hakuna nchi ambayo sheria za kununua na kumiliki bunduki ni rahisi kuliko Marekani.
Sura zao zina shabihiana zaidi na watu wa middle east tofauti na wale wa eastern EuropeWa hukohuko Urusi
Hii mada hatuwezi imaliza hapa tutajaza uzi tu.Hata Urusi kuvamia Ukraine na kupiga mabomu kwa raia kila siku ni ugaidi pia.
Russian media removed the photos of the alleged terrorists. They were actually killed during a shootout in Ingushetia in early March.Russian media claims that the security services are looking for a number of Islamist Ingushetians, including:
- Gurazhev Amirkhan (1989)
- Ozdoev Adam (1987)
- Tsuroev Zelimkhan (2000)
Inasmekana ni fakes, hao watu walishashughuliliwa zamaniRussian media claims that the security services are looking for a number of Islamist Ingushetians, including:
- Gurazhev Amirkhan (1989)
- Ozdoev Adam (1987)
- Tsuroev Zelimkhan (2000)
Hawa ni wachechinia.Russian media claims that the security services are looking for a number of Islamist Ingushetians, including