Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Kwani Sept 11 USA alivopigwa nae alikua failed state?Sasa Mrusi chini ya Putin mbabe wa dunia kiboko ya ukrain alishindwa nini kungβamua haya mpa...
Watakuja kukanusha kwamba siyo ISIS bali ni Israel.
Kwa hiyo ulitaka ISIS ishinde?Russia kaonja magumu ya ISIS, anamsaidia Bashar Al-Assad asiondoke madarakani nchini Syria, sasa wazee wa vipedo wamempelekea vita nyumbani.
Russia kaonja magumu ya ISIS, anamsaidia Bashar Al-Assad asiondoke madarakani nchini Syria, sasa wazee wa vipedo wamempelekea vita nyumbani.
Waislam hawana rafiki
Duh hawa vipedo wanashindaje kwa mihemko waliyonayo. Kule Syria kuna makundi mengi ISIS ni mojawapo, lakini kuna kundi linataka utawala wa Al-Assad ufike mwisho hawataki utawala wa kifalme. Wao hawapigani ni yeyote zaidi ya Al-Assad, hao ndio nilitaka wamshinde Al-Assad kibaraka wa Iran na Russia.Kwa hiyo ulitaka ISIS ishinde?
Isis ni Wamarekani.Russia kaonja magumu ya ISIS, anamsaidia Bashar Al-Assad asiondoke madarakani nchini Syria, sasa wazee wa vipedo wamempelekea vita nyumbani.
Wapo waislam wazuri rafiki yao mmarekani, lakini hawa wa vipedo kaa nao mbali.FaizaFoxy sasa nyie Waislam rafiki yenu nani πππ€£π€£π€£
Huwajui isis ni kina nani?
Hahaha unaanza kuhamisha magoli sasa, unaanza kuwasingizia wamarekani. Mlisema hivyo hivyo kwamba Al-Qaeda ni Marekani kwamba hakuna mtu anaitwa Osama bi n Laden, mpaka walivyomuua ulimwengu ukatulia kidogo, sasa hawa ISIS watazingirwa watapigwa wawahi bikira 72.Isis ni Wamarekani.