Moscow, Urusi: Shambulio la kigaidi laua Watu zaidi ya 130
Wapi nimesema Kuna tatizo?! Hapo nimejibu hisia kuwa Kwa kuwa marekani alitoa taarifa basi ni yeye kahusika, ndo nikakumbushia hiyo ya 2017 ambapo CIA walitoa taarifa za tishio la kigaidi huko St Petersburg na urusi wakazifanyia kazi na kushukuru kwa taarifa. Sasa wewe umeona wapi nimesema Kuna tatizo?
Kwa nn Marekani amewahi kuitetea Ukraine kuwa haihusiki?
 
Kipi kiwafanye wahofie kutangaza kama Isis ndiyo wahusikaji
Ikiri vipi kuwa kundi ambalo russia na allies wake kama iran hudai lipo backed na US kuwa ndo limewapa hicho kipigo?
Kwa hiyo wakubali kuwa wao walipuuzia taarifa za kiintelejensia za US? Ili ionekane kuwa Russia ni dhaifu?
Mbele ya muuaji kama Putin kuna kiongozi gani wa usalama wa urusi atasema ukweli?

Najua mlengo wako wewe na wenzio humu na na ndo maana unaandika haya unayoandika.
 
Vyovyote vile lakini Russia ameonesha weakness kubwa, tuliishia kuwabeza MOSAD ila kumbe hata KGB nao wanafeli vile vile.
Ubora wa hivi vyombo vya kiusalama vinapimwa kwa namna mbili. Mosi, kulizuia tukio kabla halijaleta madhara. Pili, tukio likishatokea utapambana nalo vipi kulidhibiti.

Hoja inayotolewa na wadau kuwa FSB ni Shiraka bora la kijasusi kuliko MOSSAD, hii hoja si ya watu wa JF. Hii hoja ndivyo inavyofahamika hivyo ulimwengi mzima.

Kwa sababu huwezi ukalinganisha nchi ambayo inayopambana kiusalama na mataifa makubwa ya NATO tangu kipindi cha vita baridi mpaka leo 2024 ukalinganisha na Mossad inapambana na waarabu ambao hata kulinda nchi zao hawajui nchi zao ambao zinalindwa na hao NATO?!
 
Ubora wa hivi vyombo vya kiusalama vinapimwa kwa namna mbili. Mosi, kulizuia tukio kabla halijaleta madhara. Pili, tukio likishatokea utapambana nalo vipi kulidhibiti.

Hoja inayotolewa na wadau kuwa FSB ni Shiraka bora la kijasusi kuliko MOSSAD, hii hoja si ya watu wa JF. Hii hoja ndivyo inavyofahamika hivyo ulimwengi mzima.

Kwa sababu huwezi ukalinganisha nchi ambayo inayopambana kiusalama na mataifa makubwa ya NATO tangu kipindi cha vita baridi mpaka leo 2024 ukalinganisha na Mossad inapambana na waarabu ambao hata kulinda nchi zao hawajui nchi zao ambao zinalindwa na hao NATO?!
FSB kuwa ni shirika bora la kijajusi kuliko mossad ni kwa mujibu wa credible source ipi?
Hiyo russia wakati inameguka kutoka soviet na hata russia kupoteza ushawishi kwa nchi hizo ambazo now zimealign to western hiyo FSB ilikuwa wapi?
 
Ikiri vipi kuwa kundi ambalo russia na allies wake iran akiwemo hudai lipo backed na US kuwa ndo limewapa hicho kipigo?
Kwa hiyo wakubali kuwa wao walipuuzia taarifa za kiintelejensia za US? Ili ionekane kuwa Russia ni dhaifu?
Mbele ya muuaji kama Putin kuna kiongozi gani wa usalama wa urusi atasema ukweli?
.
Najua mlengo wako wewe na wenzio humu na na ndo maana unaandika haya unayoandika.
mnajadili mambo kiwepesi wepesi kiasi kwamba mnalisha watu matango pori tofauti na uhalisia ulivyo!Hii ni changamoto sana kwa JF!

Nilikuwa namsikiliza US security advisor pamoja na wataalamu kadhaa kupitia runinga!
Walichosema ni kuwa huwa kuna intelligence sharing kati ya vyombo vya usalama i.e CIA na FSB!Lakini kutokana na tension kuwa kubwa kati ya Russia na US juu ya Ukraine,kumekuwa na kutokuaminiana!US alitoa tu taarifa Russia kuwa kumepangwa tukio la kigaidi katika sehemu ya mikusanyiko wiki 2 zilizopita,akasema tukio hilo litatokea within 48 hours!Hakutoa additional information juu ya wahusika au intel hizo kazipataje kutokana na kutokuaminiana na Russia hivyo kutoa source ya intel ni Risk!
Upande wa Russia kukawa na hisia kuwa huenda US anafanya michezo ya propaganda ili kujenga hali ya hofu kwa watu wa Russia!Na masaa 48 yakapita kweli bila shambulio kutokea!Tukio limekuja kutokea wiki 2 baadae!
Fikiri kama leo Russia ampe US tip kuwa kunaweza kutokea shambulio dhidi ya ndege za abiria ndani ya US!Russia asimpe details US za kumshawishi kuwa kuna tukio kama hilo!Je,US atafanyaje?US anaweza kuground ndege zote zisipae kwa muda usiojulikana?Based on what?A tip with no evidence from unfriendly country?
Haya mambo sio mepesi kama wengi humu mnavyoyachukulia!
 
mnajadili mambo kiwepesi wepesi kiasi kwamba mnalisha watu matango pori tofauti na uhalisia ulivyo!Hii ni changamoto sana kwa JF!

Nilikuwa namsikiliza US security advisor pamoja na wataalamu kadhaa kupitia runinga!
Walichosema ni kuwa huwa kuna intelligence sharing kati ya vyombo vya usalama i.e CIA na FSB!Lakini kutokana na tension kuwa kubwa kati ya Russia na US juu ya Ukraine,kumekuwa na kutokuaminiana!US alitoa tu taarifa Russia kuwa kumepangwa tukio la kigaidi katika sehemu ya mikusanyiko wiki 2 zilizopita,akasema tukio hilo litatokea within 48 hours!Hakutoa additional information juu ya wahusika au intel hizo kazipataje kutokana na kutokuaminiana na Russia hivyo kutoa source ya intel ni Risk!
Upande wa Russia kukawa na hisia kuwa huenda US anafanya michezo ya propaganda ili kujenga hali ya hofu kwa watu wa Russia!Na masaa 48 yakapita kweli bila shambulio kutokea!Tukio limekuja kutokea wiki 2 baadae!
Fikiri kama leo Russia ampe US tip kuwa kunaweza kutokea shambulio dhidi ya ndege za abiria ndani ya US!Russia asimpe details US za kumshawishi kuwa kuna tukio kama hilo!Je,US atafanyaje?US anaweza kuground ndege zote zisipae kwa muda usiojulikana?Based on what?A tip with no evidence from unfriendly country?
Haya mambo sio mepesi kama wengi humu mnavyoyachukulia!
Tango pori lipo wapo hapo?
 
Ikiri vipi kuwa kundi ambalo russia na allies wake kama iran hudai lipo backed na US kuwa ndo limewapa hicho kipigo?
Mbona ikulu ya kremlin waliitangaza kutaka kushambuliwa na Ukraine hali ya kuwa Ukraine inasaidiwa na Nato? Sasa hoja yako hapa ni ipi?
Kwa hiyo wakubali kuwa wao walipuuzia taarifa za kiintelejensia za US? Ili ionekane kuwa Russia ni dhaifu?
Unafahamu kuwa kipindi cha Trump, US iliwapatia taarifa za kijasusi Russia na uongozi wa Kremlin walizipokea?

Vilevile unafuatilia vyombo vya habari? Russia haijapatiwa taarifa ya kijasusi na US kuhusu shambulia la kigaidi. Bali US ndiyo waliweka tangazo lao kwenye tovuti yao kwenye ubalozi wao Moscow. Ndiyo maana Maria Zarakova amewakumbusha US kuwa; kuna proper channel za kufikisha taarifa kama hizo na wala si kwa nyinyi kwa utaratibu huo nyinyi (US) mliyoufanya.

Kama hufahamu ni kuwa Russia waliwapatia pia taarifa US kuhusu shambulio la kigaidi la 9/11 kabla ya kutokea. US waliipokea hiyo taarifa. Lakini hiyo taarifa ilifuata proper channel.

Na vilevile inakubidi ufahamu duniani ndivyo mataifa yanavyoishi chombo kimoja cha usalama kinawapatia taarifa zinazowahusu chombo kingine cha usalama. Hivyo, hakuna kipya juu ya hili.
Mbele ya muuaji kama Putin kuna kiongozi gani wa usalama wa urusi atasema ukweli?
Hahaha! Swali lako linanikumbusha Trump kipindi cha urais wake mwandishi naye akasema Putin ni muuwaji. Unafikiri nchi yetu ni safi sana haina hatia? Putin ni muuwaji kamuua nani?
Najua mlengo wako wewe na wenzio humu na na ndo maana unaandika haya unayoandika.
Wazee wetu na wana taaluma wetu wanatuambia, mtu akishindwa hoja hukimbilia kukushambulia wewe binafsi badala ya kujadili hoja.
 
FSB kuwa ni shirika bora la kijajusi kuliko mossad ni kwa mujibu wa credible source ipi?
Hiyo russia wakati inameguka kutoka soviet na hata russia kupoteza ushawishi kwa nchi hizo ambazo now zimealign to western hiyo FSB ilikuwa wapi?
Soviet union ilianguka 1991,FSB iliundwa 1995!
So FSB haikuwepo wakati wa kuanguka kwa Soviet!
 
Mbona ikulu ya kremlin waliitangaza kutaka kushambuliwa na Ukraine hali ya kuwa Ukraine inasaidiwa na Nato? Sasa hoja yako hapa ni ipi?
Unafahamu kuwa kipindi cha Trump, US iliwapatia taarifa za kijasusi Russia na uongozi wa Kremlin walizipokea?

Vilevile unafuatilia vyombo vya habari? Russia haijapatiwa taarifa ya kijasusi na US kuhusu shambulia la kigaidi. Bali US ndiyo waliweka tangazo lao kwenye tovuti yao kwenye ubalozi wao Moscow. Ndiyo maana Maria Zarakova amewakumbusha US kuwa; kuna proper channel za kufikisha taarifa kama hizo na wala si kwa nyinyi kwa utaratibu huo nyinyi (US) mliyoufanya.

Kama hufahamu ni kuwa Russia waliwapatia pia taarifa US kuhusu shambulio la kigaidi la 9/11 kabla ya kutokea. US waliipokea hiyo taarifa. Lakini hiyo taarifa ilifuata proper channel.

Na vilevile inakubidi ufahamu duniani ndivyo mataifa yanavyoishi chombo kimoja cha usalama kinawapatia taarifa zinazowahusu chombo kingine cha usalama. Hivyo, hakuna kipya juu ya hili.
Hahaha! Swali lako linanikumbusha Trump kipindi cha urais wake mwandishi naye akasema Putin ni muuwaji. Unafikiri nchi yetu ni safi sana haina hatia? Putin ni muuwaji kamuua nani?
Wazee wetu na wana taaluma wetu wanatuambia, mtu akishindwa hoja hukimbilia kukushambulia wewe binafsi badala ya kujadili hoja.
Unalinganisha kipindi cha Trump ambaye ni rafiki kindakindaki wa Putin na kipindi ambacho hakukuwa na tension kati ya US na Russia kama ilivyo sasa? seriously?
Huyu Trump aliyekuwa backed na putin kwenye election?
 
mnajadili mambo kiwepesi wepesi kiasi kwamba mnalisha watu matango pori tofauti na uhalisia ulivyo!Hii ni changamoto sana kwa JF!

Nilikuwa namsikiliza US security advisor pamoja na wataalamu kadhaa kupitia runinga!
Walichosema ni kuwa huwa kuna intelligence sharing kati ya vyombo vya usalama i.e CIA na FSB!Lakini kutokana na tension kuwa kubwa kati ya Russia na US juu ya Ukraine,kumekuwa na kutokuaminiana!US alitoa tu taarifa Russia kuwa kumepangwa tukio la kigaidi katika sehemu ya mikusanyiko wiki 2 zilizopita,akasema tukio hilo litatokea within 48 hours!Hakutoa additional information juu ya wahusika au intel hizo kazipataje kutokana na kutokuaminiana na Russia hivyo kutoa source ya intel ni Risk!
Upande wa Russia kukawa na hisia kuwa huenda US anafanya michezo ya propaganda ili kujenga hali ya hofu kwa watu wa Russia!Na masaa 48 yakapita kweli bila shambulio kutokea!Tukio limekuja kutokea wiki 2 baadae!
Fikiri kama leo Russia ampe US tip kuwa kunaweza kutokea shambulio dhidi ya ndege za abiria ndani ya US!Russia asimpe details US za kumshawishi kuwa kuna tukio kama hilo!Je,US atafanyaje?US anaweza kuground ndege zote zisipae kwa muda usiojulikana?Based on what?A tip with no evidence from unfriendly country?
Haya mambo sio mepesi kama wengi humu mnavyoyachukulia!
Ndiyo vijana wa siku hizi ndugu.
Hawajafunzwa kukubali ukweli. Wao ukimpa taarifa kama hizo anaona umemfanya ameonekana mjinga hana thamani. Hivyo hukimbilia kubisha au kukushambulia wewe binafsi au yote mawili atayafanya hayo yote kwako.

Malcolm Lumumba kuna kipindi alisema hawa vijana wa siku hizi bhana hana muda wa kujenga nao hoja. Anachokifanya yeye anawapa desa tu Pdf hiyo akaisome. Akiamua kukubali mwenyewe sawa na akiamuq kukataa yeye mwenyewe sawa.
 
Unalinganisha kipindi cha Trump ambaye ni rafiki kindakindaki wa Putin na kipindi ambacho hakukuwa na tension kati ya US na Russia kama ilivyo sasa? seriously?
Huyu Trump aliyekuwa backed na putin kwenye election?
Mara nyengine siri ya kuwa na afya njema ni kutopenda kubishana sana. Miongoni mwa wazee wetu walikuwa wakisema hivyo!

Upo sawa ndugu kwa ulichokiandika.
 
Soviet union ilianguka 1991,FSB iliundwa 1995!
So FSB haikuwepo wakati wa kuanguka kwa Soviet!
FSB ni succesor wa KGB so kwa maana ya watendaji walikuwepo ambapo walitoka KGB na kwenda kuunda FSB. So watendaji hao hao walikuwapo huko KGB na still soviet ilianguka
 
Russia imeshasema hawataki wasemewe ni yupi kahusika bali wao wenyewe ndiyo watajua nani kahusika.

Kwa mujibu wa Russia waliyohusika ukiangalia size ya miili yao na urefu na pia uchambuzi wao unaonyesha wametumia fake mustach na ndevu (kumbuka kuna baadhi ya magaidi wamekamatwa).

Uchambuzi wa awali wa Russia unaonyesha kuwa hawa ni Ukraine na baadhi wamewatambua hivyo!

-Marekani ndiye wa kwanza kusema Isis ndiyo imehusika.

-US ikafika mbele zaidi ikamkingia kifua Ukraine kuwa hahusiki na hili.

Russia inafahamu hii michezo; wao wametoa kauli moja tu; watachunguza wenyewe! Dunia nzima hata mpige kelele mseme ni Isis, yeye atachunguza mwenyewe.
Kama hivi au sio?
 

Attachments

  • 20240323_131913.jpg
    20240323_131913.jpg
    159.3 KB · Views: 3
FSB ni succesor wa KGB so kwa maana ya watendaji walikuwepo ambapo walitoka KGB na kwenda kuunda FSB. So watendaji hao hao walikuwapo huko KGB na still soviet ilianguka
Umeuliza swali na umejibiwa!FSB iliundwa for Russia,KGB ilikuwa for USSR!
 
Haya matukio yanatokea sehemu tofauti tofauti kwa nchi kubwa ambazo sisi dunia ya tatu tunazipa kipaombele, na wadau tofauti tofauti wametoa baadhi ya data kuthibitisha mazingira ya namna hiyo. Labda hoja yako uiweke kiushabiki lakini ukiiweka kimantiki ni suala ambalo linafahamika na halihitaji fikra kubwa juu ya hili.

Ukiwa kama unafuatilia tangu mzozo wa Russia na Ukraine jumlisha NATO na ukiunganisha matukio jawabu juu ya hili lipo wazi kwa maana yupi anahusika na yupi ahusiki. Ukraine mara nyingi imekuwa ikihamisha attention baada ya kuzidiwa kwenye uwanja wa vita. Tangu mwanzo wa 2022 wamekuwa wakifanya matukio ya kigaidi ndani ya Russia mpaka mwaka huu 2024.

Hivyo, haihitaji fikra kubwa kujua kuwa matukio kama haya huwa yanatokea kwa nchi tofauti tofauti za ulimwengu wa kwanza. Na haihitaji fikra kubwa kujua anayehusika na hilo tukio ni nani: Russia anatambua hili na ndiyo maana wao na vyombo vya habari vya kwao vimekataa taarifa zinazosambaa kusema kuwa Isis ndiyo imehusika. Kumbuka kuna baadhi ya magaidi wamekamatwa. Kwa msingi huo Russia ndiyo itakayokuwa na taarifa sahihi zaidi kuliko hizi zinazosambazwa.
Ukraine haikua na haja ya kufanya tukio kama hili ndani ya Urusi sababu ingepunguza uungwaji mkono wake kwa nchi za magharibi.
 
Back
Top Bottom