Moses Lijenje aliyetajwa kutupwa na Polisi kesi ya ugaidi ya Mbowe na wenzake ni nani?

nigaidi
 
Ukifuatilia toka mwanzo Adamo alisema wanapobadilishwa vituo hulazimishwa na kupewa majina tofauti na majina yao halisi so unaweza kukuta huyo Moses lijenje ni katika mlolongo huo
Inamaana katika jeshi la polisi Kuna kitengo Cha Utesaji na mauaji,Basi kwa vile bado kesi iko mahakamani tunaiomba mahakama ufuate muongozo namna ya kuhukumu kesi hii na ushahidi uchujwe vizuri na haki itendeke.
 
Hii kesi inaelekea kubaya Sana wangekuwa na akili wangeifuta. Hebu ona
Lijenje ni komandoo
Nayeye alikuwa ni sehemu ya watuhumiwa
Lakini hatajwi na hawajasema watamleta kwanini ?
Simply wameshamuuwa Yani polisi wamemuuwa komandooo uwiiii
 
Urio hakuwa Komando pamoja na kuwa Luteni ndio maana alitoa chenji mapema baada ya kufinywa
 
Kwahiyo vipolisi vimemuuwa koMandoo wa jw my goodness
 
Kuna watu wengi sana wameuawa pale, natumaini siku moja yaliyopo gizani yatamulikwa.[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827]
ku stabilize territory Kuna Mambo mengi kiongozi,tuliyempoteza juz angekuwa na tamaa ya madaraka Sasa hv kingwete ngwete asingekuwepo ,maana alim interfere jamaa kwa kiasi kikubwa,sema tuliyempoteza majuz aliona bora ajitoe yy sucrifice Mambo yaishe!!
 
Acha uzwazwa wewe masalia ya Kayafa
 
Nawazatu. Itakuwa Moses alimweka roba hatari mahita kias kwamba wenzake wakaona atakata roho wakaamua kumlipua ,maana Naona aligoma kupelekeshwa.
 
Hii kesi isikilizwe kijeshi tu.raia wasiwepo.
Ingawa hao makomando baada ya kutoka jeshini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…