Hata baba yake aliyowafanyia wapemba Mola anajuaMzee mahita kwa nini anaruhusu mtoto wake kutumika kufanya dirt jobs utafikiri kawa kapuku, au mtoto wa nje nini huyu jamaa? Kazi ya mauaji si laana tupu aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata baba yake aliyowafanyia wapemba Mola anajuaMzee mahita kwa nini anaruhusu mtoto wake kutumika kufanya dirt jobs utafikiri kawa kapuku, au mtoto wa nje nini huyu jamaa? Kazi ya mauaji si laana tupu aisee.
Zombe yupo anaweweseka aliyotendaMahita na kingai watakufa kifo km cha firauni
Ndege wafananao mkuuMzee mahita kwa nini anaruhusu mtoto wake kutumika kufanya dirt jobs utafikiri kawa kapuku, au mtoto wa nje nini huyu jamaa? Kazi ya mauaji si laana tupu aisee.
Mahakama ipo chini ya raisiKwanza, unamuomba rais kuingilia mahakama. Kama Mbowe na wenzake hawana hatia, ni kazi ya mahakamas kuamuwa kuwa hawana hatia. Je, kumshauri raisi aingilkie huo ni utawala bora. Kwani wewe una wasiwasi gani? Kama Mbowe hakutenda kosa la ugaidi, ataachiwa.
Umesahau kuwa IGP MAHITA aliua watu 200+Mzee mahita kwa nini anaruhusu mtoto wake kutumika kufanya dirt jobs utafikiri kawa kapuku, au mtoto wa nje nini huyu jamaa? Kazi ya mauaji si laana tupu aisee.
Urio hakuwa Komando pamoja na kuwa Luteni ndio maana alitoa chenji mapema baada ya kufinywa
Hivi hatuwezi kuwabana hawa Mahita na Kingai wakatuonesha Ben Saanane alipo.Hisia zina tuma kuwa jamaaa wanajua kila kitu
Mkuu pole kwa kupoteza marafiki zako Dodoma kwa kuunguzwa na moto wakidhabiwa wanyonya damu. Sasa hivi niko makini kwenye treni na hawa wasomali washika visu.Hahahhaaa inasikitisha
Hahaha we jamaa mskandinavia wewe eti Mbususu entusiant😂😂Tumechoka liwalo na liwe. Braza Freeman narudi homu kukuweka huru
Mkuu pole kwa kupoteza marafiki zako Dodoma kwa kuunguzwa na moto wakidhabiwa wanyonya damu. Sasa hivi niko makini kwenye treni na hawa wasomali washika visu.
Ndio ni kweli huko sahihi. Lakini kumbuka kale kaahadi kako ka kuniua aiseeeKibatala sio mtu wa kawaida
Kuna ukweli na uongo kiasi gani kwenye hii kesi kutoka pande zote>>>>?????Jamuhuri inavuliwa nguo na Kingai.
Hao akina Kingai ndio lile kundi la mwendawazimu la watu wasiojulikana. Hii kesi inazidi kuwaanika watu wasiojulikana.Duh 🙄 hii kesi nadhani inaweza kutupeleka kusiko tarajiwa.
Lakini Moses hakuwahi kupelekwa mahabusu... Labda walitupa juu kwa juu!
Hii kesi inaelekea kubaya Sana wangekuwa na akili wangeifuta. Hebu ona
Lijenje ni komandoo
Nayeye alikuwa ni sehemu ya watuhumiwa
Lakini hatajwi na hawajasema watamleta kwanini ?
Simply wameshamuuwa Yani polisi wamemuuwa komandooo uwiiii
Hata Mimi nimeshangaa sana sio Jaji wala Mawakili wa Serikali wanaolitaja hilo jina aisee. Wakina Kibatala wanajitahidi kuchomeka jina linatajwa lakini Jaji na Mawakili wa Serikali wanajifanya hawajalisikia.Halafu jaji kashausoma mchezo, hivyo hataki kabisa kumtaja huyo Lijenje maana anajua itakuwa dhahama. Hawa vyombo vya dola kwani ndio hasa waliokuwa wanajiita watu wasiojulikana. Na kundi hili liliasisiwa kipindi cha JK, na lilikuja kupewa nguvu kubwa sana na Magufuli.