Moshi: Adai kupatiwa maji ya baraka yalioathiri uke wake!

Maji ya kupewa hujui ni masafi au yana mchanganyiko gani kuweka huko, ni ujasiri.
 
Dawa na vyakula huwa na aleji kwa baadhi ya watu, hata hivyo alipokea maji hayo kwa hiari na sharti ayanywe yeye akaoshea.
 
Tusubiri kitatokea nini, ila ukweli ni kwamba yeye (muathirika) alikuwa na maamuzi ya kutumia hayo maji au laa. Kwakuwa aliamini na kutumia hapo sioni kesi kwa aliyempatia hayo maji.

🤣🤣, unataka miujiza hadi kwenye mbususu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…