Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Duh pole dada ndio mambo ya maji ya upako hayoUmmy Msika (45)mkazi wa Kata ya Bomambuzi Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro ameiomba mamlaka za kiuchunguzi kumsaidia kuchunguza na kumkamata rafiki yake aitwaye Mama Bahati kwa madai kuwa alimpatia maji ya baraka yaliyopelekea kumuathiri sehemu zake za siri. https://t.co/kX1YFZDpZ2
View attachment 2198764
Maji ya kupewa hujui ni masafi au yana mchanganyiko gani kuweka huko, ni ujasiri.Ummy Msika (45)mkazi wa Kata ya Bomambuzi Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro ameiomba mamlaka za kiuchunguzi kumsaidia kuchunguza na kumkamata rafiki yake aitwaye Mama Bahati kwa madai kuwa alimpatia maji ya baraka yaliyopelekea kumuathiri sehemu zake za siri. https://t.co/kX1YFZDpZ2
View attachment 2198764
Upako wa kina mwamposa.Duh pole dada ndio mambo ya maji ya upako hayo
Na huwambii kitu hapo kwa mafuta na upako.Upako wa kina mwamposa.
Dawa na vyakula huwa na aleji kwa baadhi ya watu, hata hivyo alipokea maji hayo kwa hiari na sharti ayanywe yeye akaoshea.Ummy Msika (45)mkazi wa Kata ya Bomambuzi Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro ameiomba mamlaka za kiuchunguzi kumsaidia kuchunguza na kumkamata rafiki yake aitwaye Mama Bahati kwa madai kuwa alimpatia maji ya baraka yaliyopelekea kumuathiri sehemu zake za siri. https://t.co/kX1YFZDpZ2
View attachment 2198764
Picha ya uke ulioathirika au?Picha
huenda mama wa watu anakutana na vibamia toka usichana wake hadi uzeeni so kahisi mikosiSasa na yeye alikua anaweka hayo maji ukeni ili iweje? Alitaka papuchi ipate baraka iwe na wageni wengi au😁
Itakuwa alikuwa anatafuta kuzaa. Yaani mtu akiwa anatafuta mtoto hata akiambiwa ale mavi atakula.Sasa na yeye alikua anaweka hayo maji ukeni ili iweje? Alitaka papuchi ipate baraka iwe na wageni wengi au😁