Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka yako inatoshaBila picha ya jinsi mbususu ilivoathirika hii thread itakuwa haijakamilka.
sasa km mtoto mtamu mbona mnatubania mbususu utongoze weeee!!...ulie lie!! mate yakauke mdomoni....tuumwe na mbu...mara tukoswe koswe mapanga ya baba zenu...kuuumbe watoto mnataka.Itakuwa alikuwa anatafuta kuzaa. Yaani mtu akiwa anatafuta mtoto hata akiambiwa ale mavi atakula.
Yalikuwa maji ya betri ya gari kadanganywa ni ya baraka kumbe yanakwenda kutifua mbususu!!Ummy Msika (45)mkazi wa Kata ya Bomambuzi Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro ameiomba mamlaka za kiuchunguzi kumsaidia kuchunguza na kumkamata rafiki yake aitwaye Mama Bahati kwa madai kuwa alimpatia maji ya baraka yaliyopelekea kumuathiri sehemu zake za siri. https://t.co/kX1YFZDpZ2
View attachment 2198764
itakuwa na makovu sasa 😥😥Huyo kapaka spirit huko chini kababuka tu.itapona aiache kwanza
Hakika mkuu!The so called "maji ya upako" yanawaliza wengi mno
Kuwa desperate na miujiza kunawaweka kuwa preys rahisi mnoHakika mkuu!
Jana Jumamosi kanisani kwetu(Wasabato) Ibada wakati wa hubiri ghafla zikasikika kelele za mwanamke nje, aliyepandisha mapepo!( Kawaida kwa Wasabato habari za kupagawa mapepo kanisani na fujo zingine hakuna) basi akapatiwa msaada hapo yakamwacha.. ndipo ktk kuhojiwa anasema Alipewa mafuta ya upako ya Nabii mmoja maarufu!
ALipewa maji hayo kwa ajili ya kufanyia nini?Ummy Msika (45)mkazi wa Kata ya Bomambuzi Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro ameiomba mamlaka za kiuchunguzi kumsaidia kuchunguza na kumkamata rafiki yake aitwaye Mama Bahati kwa madai kuwa alimpatia maji ya baraka yaliyopelekea kumuathiri sehemu zake za siri. https://t.co/kX1YFZDpZ2
View attachment 2198764
Mambo yakutafuta miujizaALipewa maji hayo kwa ajili ya kufanyia nini?
Ya Nini tenaPicha