Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Ujinga hao ndiyo wale mtu anapikia chumbani anakuchotea chakula unaenda kufakamia tu kama bataMaji ya kupewa hujui ni masafi au yana mchanganyiko gani kuweka huko, ni ujasiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga hao ndiyo wale mtu anapikia chumbani anakuchotea chakula unaenda kufakamia tu kama bataMaji ya kupewa hujui ni masafi au yana mchanganyiko gani kuweka huko, ni ujasiri.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Sasa na yeye alikua anaweka hayo maji ukeni ili iweje? Alitaka papuchi ipate baraka iwe na wageni wengi au[emoji16]
Kanisani kwao ni fujo, ila waumini wao hizo fujo wanazifuata kwenye makanisa ya kilokole na niwateja wazuri tu huko!Hakika mkuu!
Jana Jumamosi kanisani kwetu(Wasabato) Ibada wakati wa hubiri ghafla zikasikika kelele za mwanamke nje, aliyepandisha mapepo!( Kawaida kwa Wasabato habari za kupagawa mapepo kanisani na fujo zingine hakuna) basi akapatiwa msaada hapo yakamwacha.. ndipo ktk kuhojiwa anasema Alipewa mafuta ya upako ya Nabii mmoja maarufu!
Embu futa picha madam na linganisha na mbususu yako na yakePicha
Ndiyo akafuate panga sasa si katoka kabila bishi?Kuna jamaa mmoja kutoka kabila bishi nchini, yeye kapewa mafuta kutoka kwa nabii kaambiwa apake usoni hivi sasa kaungua uso wote ana rangi mbili.
Kuzaa ni bahati ila kuolewa ni sheriaAt fourty five anatafuta kuzaa.
Kipindi Cha ujana alikua anaitanyia nini?
LohPicha
Serkali haina kazi ss itafute maendeleo na kuhakikisha ulinzi bado kuna mtu anajitakia Mambo yakeUmmy Msika (45)mkazi wa Kata ya Bomambuzi Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro ameiomba mamlaka za kiuchunguzi kumsaidia kuchunguza na kumkamata rafiki yake aitwaye Mama Bahati kwa madai kuwa alimpatia maji ya baraka yaliyopelekea kumuathiri sehemu zake za siri. https://t.co/kX1YFZDpZ2
View attachment 2198764
Mkuu..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa na yeye alikua anaweka hayo maji ukeni ili iweje? Alitaka papuchi ipate baraka iwe na wageni wengi au[emoji16]
Unataka uone mbumbusi ya mke mwenzakoPicha