Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
We jamaa apewe muongozo gani wa tiba😀😀Weka picha apewe muongozo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa apewe muongozo gani wa tiba😀😀Weka picha apewe muongozo...
Picha ya k??Picha
Binadamu waone kwanza ukubwa wa tatizo ndiyo apewe muongozo...We jamaa apewe muongozo gani wa tiba😀😀
Hamna instructions, hamna mahali imeandikwa ingredients, hamna expire date, hamna mahali pameandikwa side effects. Hlf unaweka sehemu nyet kabisa.Maji ya kupewa hujui ni masafi au yana mchanganyiko gani kuweka huko, ni ujasiri.
Sawa tabibuBinadamu waone kwanza ukubwa wa tatizo ndiyo apewe muongozo...
Pengine alitaka kukausha bwawa [emoji23]Alikuwa anatafuta kuzaa au?Pole sana kwake.
Ujinga tu. Kila siku tunafundishwa na wataalam wa afya kuwa tusiweke chochote sehemu za siri... Kuna watu hawaelewipapuchi zinawwekwa mambo mengi mara hiriki,limau,mdalasini na sasa maji ya baraka
Shida ndio inochekwa.Maake cheke kwanza
Kwa kukosa maarifa...Tunapotea
HakikaKwa kukosa maarifa...
Mambo ya ushosti hayo, adui wa kwanza ni rafiki yakoUmmy Msika (45)mkazi wa Kata ya Bomambuzi Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro ameiomba mamlaka za kiuchunguzi kumsaidia kuchunguza na kumkamata rafiki yake aitwaye Mama Bahati kwa madai kuwa alimpatia maji ya baraka yaliyopelekea kumuathiri sehemu zake za siri. https://t.co/kX1YFZDpZ2
View attachment 2198764
huenda hawapati hizo habari,rafiki yangu mmoja ni docta juzi kati kanisimulia mara nyingi wanakutana na wadada wenye papuchi chafu so inabidi wawape elimu ya kusafishaUjinga tu. Kila siku tunafundishwa na wataalam wa afya kuwa tusiweke chochote sehemu za siri... Kuna watu hawaelewi
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa na yeye alikua anaweka hayo maji ukeni ili iweje? Alitaka papuchi ipate baraka iwe na wageni wengi au[emoji16]
[emoji22]huenda hawapati hizo habari,rafiki yangu mmoja ni docta juzi kati kanisimulia mara nyingi wanakutana na wadada wenye papuchi chafu so inabidi wawape elimu ya kusafisha
Wewe Dada unapokea vipi maji usiojua kachota wapi kama kachanganya na jiki wewe unapeleka tu kwa bibi? Mambo mengine yakujitakia kuomba omba vitu kwa watu vina madhara kwanini usiyafuate mwenyewe huko alichukua? Pole sana tuwekee na pic kabisa ili tuone kulivyoharibika ,[emoji3][emoji3]Ummy Msika (45)mkazi wa Kata ya Bomambuzi Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro ameiomba mamlaka za kiuchunguzi kumsaidia kuchunguza na kumkamata rafiki yake aitwaye Mama Bahati kwa madai kuwa alimpatia maji ya baraka yaliyopelekea kumuathiri sehemu zake za siri. https://t.co/kX1YFZDpZ2
View attachment 2198764